BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,044
Anaye amini Watutsi huyo hawajui. Wakongo wanawajua vizuri sana ndiyo maana wana msimamo mkali dhidi yao. Kama ulisikiliza vizuri hotuba ya raisi Kabila, ule ndiyo msimamo wa Wakongo. M23 will never be re-integrated into the FARDC na kwamba maofisa wa kijeshi (about 150) wa M23 watashitakiwa, nadhani ni kati ya hao masalia (about 200) waliokuwa wakipigana kwenye ngome yao ya mwisho. Kumbuka 90% ya M23 ni askari kutoka Rwanda kwahiyo ukiwaingiza katika jeshi la Kongo utakuwa umemrahisishia kazi Kagame ya kufanya atakavyo. Wakongo walikosea mwanzo kuwaingiza jeshini lakini sasa wamegundua kwamba walikosea na hawawezi kufanya makosa tena.