Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Uzi huu upo kitechnologia zaidi kuliko M23 yenyewe!
Wakati dunia inaamuka kuanza kutumia majeshi binafsi nchi za ulaya na USA ziko miaka 100 mbele yetu wakati huo Nchi za africa ziko karne mbili nyuma bado zinadanganywa na Western democracy, Human right, UN na rule of law,I CJ court.
Kifupi nchi za Africa na Waafrica wenyewe wamelala fofo hawaelewi kinachoendelea na kama wapo wanaoelewa bas kamwe hawatapata nafasi katika serikali wala kufanya maamuzi.
“Ni sawa na mtoto mchanga anaona mambo ya giza lakin hana uwezo wa kusema wala kuzuia lakini mtu mzima Haoni hivo hawezi pambana na asichokiona.”
Private military au Majeshi binafsi yameanza kipindi cha vita baridi na taaratibu yameshika kasi tangu hapo. Miaka ya 2000 katika vita ya Iraq ndipo kushamili na majeshi mashuhuli hapa ni kama PCM na Black water. Yapo mengi kutoka British pia
Nje za nchi za magharibi Russia ime make headline kubwa na kundi lake la Wagner huku likiwa na mchango katika ku annex crimea na katika vita ya Ukraine.
Pia katika mapinduzi mbalimbali katika nchi za Africa kama Mali,bukinafaso, Africa ya kati na kadharika
KWANINI PRIVATE ARMY
M23 Ni kundi linalopigana na DRC. Kwa haraka haraka Utaona jinsi hii project inavoratibiwa hutasikia Nchi zinazohusika zikishutumiwa hata zikishutumiwa inakua ni unafiki kupooza soo! Madai fake yanayotengenezwa kama justification kuua watu zaidi.
Ukweli nchi za maziwa makuu zinaelewa fika Jeshi hili private linamilikiwa na nani? Hivo nyingi zinajiepusha hata kama zinajua Adui anawatafuna taratibu
Nchi za magharibi zinatumia jeshi private au binafsi ili kuepusha mambo kadhaa;
- Watu wakiangalia mgogoro huu wanaona DRC na m23 lakini si kweli ni DRC vs Western mercenary. Kilichotokea Ethiopia kina reflect kinachotokea hapa Congo. Nani angeweza dhan jeshi la Tigray nusura liangushe jeshi la Ethiopia na Eritrea pamoja? Ni wenyewe hapana.
Ni pombe itapoisha ndipo utajua huna hata kwa kwenda nyumba ilishaisha,vitu vyote hamna tena, familia yako imefia huko naww umebaki mkimbizi!
Uhalisia uliopo Congo hata Hitler asingeweza kufanya hivo wala King leopard wa Congo hafiki.
“Wakati kwene Vita ya pili ya dunia shetani alituma Majeshi yake kuangamiza ila CONGO SHETANI AMESHUKA KABISA.“
Wakati dunia inaamuka kuanza kutumia majeshi binafsi nchi za ulaya na USA ziko miaka 100 mbele yetu wakati huo Nchi za africa ziko karne mbili nyuma bado zinadanganywa na Western democracy, Human right, UN na rule of law,I CJ court.
Kifupi nchi za Africa na Waafrica wenyewe wamelala fofo hawaelewi kinachoendelea na kama wapo wanaoelewa bas kamwe hawatapata nafasi katika serikali wala kufanya maamuzi.
“Ni sawa na mtoto mchanga anaona mambo ya giza lakin hana uwezo wa kusema wala kuzuia lakini mtu mzima Haoni hivo hawezi pambana na asichokiona.”
Private military au Majeshi binafsi yameanza kipindi cha vita baridi na taaratibu yameshika kasi tangu hapo. Miaka ya 2000 katika vita ya Iraq ndipo kushamili na majeshi mashuhuli hapa ni kama PCM na Black water. Yapo mengi kutoka British pia
Nje za nchi za magharibi Russia ime make headline kubwa na kundi lake la Wagner huku likiwa na mchango katika ku annex crimea na katika vita ya Ukraine.
Pia katika mapinduzi mbalimbali katika nchi za Africa kama Mali,bukinafaso, Africa ya kati na kadharika
KWANINI PRIVATE ARMY
- Kuepuka nchi kutuhumiwa na sheria za kivita
- Kuweza kutofautisha kati ya msimamo wa nchi na serikali
- Kukimbia uwajibikaji katika madhambi yanayofanywa na majeshi haya
- Kuficha uwepo wa serikali fulani ya nchi katika migogoro ya vita
M23 Ni kundi linalopigana na DRC. Kwa haraka haraka Utaona jinsi hii project inavoratibiwa hutasikia Nchi zinazohusika zikishutumiwa hata zikishutumiwa inakua ni unafiki kupooza soo! Madai fake yanayotengenezwa kama justification kuua watu zaidi.
Ukweli nchi za maziwa makuu zinaelewa fika Jeshi hili private linamilikiwa na nani? Hivo nyingi zinajiepusha hata kama zinajua Adui anawatafuna taratibu
Nchi za magharibi zinatumia jeshi private au binafsi ili kuepusha mambo kadhaa;
- Upinzani kutoka kwa waafrica (wangeweka majeshi yake waafrica wangeweza kuungana kupambana)
- Kutengeneza Image kwa Dunia kusema ni vita ya wenyewe kwa wenyewe (Jiulize hao watu wameishi wenyewe kwa zaidi ya miaka 400 wapigane leo, inaingia akilini?).
- UN inatumika kuendelea kufanya mgogoro usiishe
- Vyombo vyao vya ICJ, human right na media zinatumika kufubaza taarifa zisitoke na kuwachanganya waafrica wasifahamu kama nyumba inaungua wao wapo wanacheza mziki wa mzungu!!
- Watu wakiangalia mgogoro huu wanaona DRC na m23 lakini si kweli ni DRC vs Western mercenary. Kilichotokea Ethiopia kina reflect kinachotokea hapa Congo. Nani angeweza dhan jeshi la Tigray nusura liangushe jeshi la Ethiopia na Eritrea pamoja? Ni wenyewe hapana.
Ni pombe itapoisha ndipo utajua huna hata kwa kwenda nyumba ilishaisha,vitu vyote hamna tena, familia yako imefia huko naww umebaki mkimbizi!
Uhalisia uliopo Congo hata Hitler asingeweza kufanya hivo wala King leopard wa Congo hafiki.
“Wakati kwene Vita ya pili ya dunia shetani alituma Majeshi yake kuangamiza ila CONGO SHETANI AMESHUKA KABISA.“