Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,614
- 15,942
Nashindwa kuelewa tunaambiwa vikosi vya umoja wa mataifa MONUSCO pamoja na SADC kazi yao ni kulinda amani huko mashariki ya DRC lakini kazi wanayoifanya ni kusaidia vikosi vya serikali ya Congo kupambana na M23.
Je kuna uhalali kuendelea kuwepo kwa vikosi hivyo vya kimataifa katika ardhi ya Congo?
Nadhani wakati umefika sasa Umoja wa mataifa na SADC kuondoa majeshi yao kwakua jukumu walilopewa wameshindwa kulifanya kinachoendelea huko kwa sasa ni uhuni mtupu au wao ndio wezi wa madini ya Congo?
Je kuna uhalali kuendelea kuwepo kwa vikosi hivyo vya kimataifa katika ardhi ya Congo?
Nadhani wakati umefika sasa Umoja wa mataifa na SADC kuondoa majeshi yao kwakua jukumu walilopewa wameshindwa kulifanya kinachoendelea huko kwa sasa ni uhuni mtupu au wao ndio wezi wa madini ya Congo?