Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,550
Jeshi la Rwanda lililoivamia nchi ya Congo DRC kwa kujiita M23, imepokea KIPIGO kitakatifu toka kwa Jeshi la Congo na makundi ya Wazalendo.
Baada ya jeshi la Congo kufanya mashambulizi makali ya Anga dhidi ya Jeshi vamizi la M23, wamefanikiwa kuwaua wanajeshi wengi wa Rwanda wakiwemo makomandoo.
Waliokufa vibaya ni Jeneral André Nyamvumba, huyu ni Mtaalamu WA vita toka Rwanda ambaye amebobea kwenye matumizi ya teknolojia ya IT katika uwanja WA vita.
Mwingine ni Kanali Gaston wa M23 naye Amekufa, Pia Kanali Erasto Bahat naye amekufa.
Walio jeruhiwa vibaya ni pamoja na Jenerali Mulokole na Godefroid Niyombare.
Watusi ni watu hatari sana. Hapa Kuna jambo la kujifunza ili kuwaelewa Hawa Watusi na mikakati Yao.
Ukiangalia katika waliojeruhiwa utaona Jina la mtu mmoja ambaye Alifanya mapinduzi huko Burundi ambayo yalifeli baada ya Tanzania kuingiliwa kati kuyazima.
Huyu Jeneral Godefroid Niyombare alijaribu kumpindua Raia wa Burundi Peter Nkurunziza na kufurushwa na Makomandoo WA Tanzania.
Sasa mtu huyuhuyu Leo anaonekana akiwa kwenye jeshi la Rwanda Bali limevamia Congo.
Utagundua kuwa Kagame ndiye alitaka kumpindua Raia WA Burundi na ndio navuruga amani ya Afrika Mashariki.
Hawa Watusi Agenda Yao ni kuikamata Congo na Burundi Kisha wakipata nguvu ya Uchumi wake kuivamia Tanzania.
Kuwaelewa Hawa watu unatakiwa kufiatilia sana. Pia Jenerali Nyakarundi hajulikani alipo.
Mashambulizi yamefanya na ndihivita za Congo kwa ushirikiano na Makundi ya Wazalendo.
Hongera sana DRC
Baada ya jeshi la Congo kufanya mashambulizi makali ya Anga dhidi ya Jeshi vamizi la M23, wamefanikiwa kuwaua wanajeshi wengi wa Rwanda wakiwemo makomandoo.
Waliokufa vibaya ni Jeneral André Nyamvumba, huyu ni Mtaalamu WA vita toka Rwanda ambaye amebobea kwenye matumizi ya teknolojia ya IT katika uwanja WA vita.
Mwingine ni Kanali Gaston wa M23 naye Amekufa, Pia Kanali Erasto Bahat naye amekufa.
Walio jeruhiwa vibaya ni pamoja na Jenerali Mulokole na Godefroid Niyombare.
Watusi ni watu hatari sana. Hapa Kuna jambo la kujifunza ili kuwaelewa Hawa Watusi na mikakati Yao.
Ukiangalia katika waliojeruhiwa utaona Jina la mtu mmoja ambaye Alifanya mapinduzi huko Burundi ambayo yalifeli baada ya Tanzania kuingiliwa kati kuyazima.
Huyu Jeneral Godefroid Niyombare alijaribu kumpindua Raia wa Burundi Peter Nkurunziza na kufurushwa na Makomandoo WA Tanzania.
Sasa mtu huyuhuyu Leo anaonekana akiwa kwenye jeshi la Rwanda Bali limevamia Congo.
Utagundua kuwa Kagame ndiye alitaka kumpindua Raia WA Burundi na ndio navuruga amani ya Afrika Mashariki.
Hawa Watusi Agenda Yao ni kuikamata Congo na Burundi Kisha wakipata nguvu ya Uchumi wake kuivamia Tanzania.
Kuwaelewa Hawa watu unatakiwa kufiatilia sana. Pia Jenerali Nyakarundi hajulikani alipo.
Mashambulizi yamefanya na ndihivita za Congo kwa ushirikiano na Makundi ya Wazalendo.
Hongera sana DRC