M-sure....

Mbona mnanijadili sana humu ndani? Mwenye jina kaja! Mshua ni mtu mwenye pesa nyingi na anayejiheshimu. Mtanashati na msataarabu. Binafsi nilimaanisha hivyo!
 
Mbona mnanijadili sana humu ndani? Mwenye jina kaja! Mshua ni mtu mwenye pesa nyingi na anayejiheshimu. Mtanashati na msataarabu. Binafsi nilimaanisha hivyo!
Mimi mshua wa kitaa.
 
Sometimes utasikia 'jamaa mzungu sana'
yule m sure hana shida....

Hiyo ya uzungu na uswahili huwa siielewi kabisa.

Huwa naiona ni ulimbukeni na ujinga fulani hivi.

Kwa sababu tabia za kishenzi hazijalishi rangi ya ngozi lakini huku kwenye jamii yetu tunazihusisha tabia za kistaarabu na uzungu na zile za kishenzi na uswahili.

Ni jamii ya ajabu sana sisi.
 
Hiyo ya uzungu na uswahili huwa siielewi kabisa.

Huwa naiona ni ulimbukeni na ujinga fulani hivi.

Kwa sababu tabia za kishenzi hazijalishi rangi ya ngozi lakini huku kwenye jamii yetu tunazihusisha tabia za kistaarabu na uzungu na zile za kishenzi na uswahili.

Ni jamii ya ajabu sana sisi.

Effects za kutawaliwa ndo hizi

Udongo Ulaya

Viazi ulaya..

English Figure
 
Uelewa wangu neno la m, sure ni kijana mtanashat msafi, unaekwenda kwa alama za nyakati, sijui kama nitakosea mkuu...!
 
Hiyo ya uzungu na uswahili huwa siielewi kabisa.

Huwa naiona ni ulimbukeni na ujinga fulani hivi.

Kwa sababu tabia za kishenzi hazijalishi rangi ya ngozi lakini huku kwenye jamii yetu tunazihusisha tabia za kistaarabu na uzungu na zile za kishenzi na uswahili.

Ni jamii ya ajabu sana sisi.
Sio culture mkuu? Kuna western culture na culture zetu huku. Western culture ndio mambo ya kizungu.
 
Sio culture mkuu? Kuna western culture na culture zetu huku. Western culture ndio mambo ya kizungu.
Mazee...hujawahi kuona au kusikia watu wakihusisha tabia za kifitini, usabasi, umbea, na kadhalika na mambo ya Kiswahili?

Utasikia...'flani ana mambo ya Kiswahili' kisa tu labda anaonekana ni mmbea?

Sasa hizo tabia ni culture specific kweli?

Mbona hata Wazungu wanazo?

Tena wao ndo wame-normalize kabisa hayo mambo hadi yapo kwenye magazeti na kwenye runinga na kwingineko.

Hujawahi kuona Wazungu wakisutana?

Hujawahi kuona Wazungu wakitetana?

Wanasema tembea ujionee.
 
M-sure ni neno linalopendwa kutumika haswa kumaanisha mtu asiye na maringo, yupo simple, rafiki sana kwa kila mtu, mwenye pesa za hapa na pale na hupenda kusaidia wengine.
 
Mazee...hujawahi kuona au kusikia watu wakihusisha tabia za kifitini, usabasi, umbea, na kadhalika na mambo ya Kiswahili?

Utasikia...'flani ana mambo ya Kiswahili' kisa tu labda anaonekana ni mmbea?

Sasa hizo tabia ni culture specific kweli?

Mbona hata Wazungu wanazo?

Tena wao ndo wame-normalize kabisa hayo mambo hadi yapo kwenye magazeti na kwenye runinga na kwingineko.

Hujawahi kuona Wazungu wakisutana?

Hujawahi kuona Wazungu wakitetana?

Wanasema tembea ujionee.
Ni kweli vitu vya ajabu ajabu vinahusishwa na uswahili kama anaechelewa anaitwa mswahili etc.

May be the real waswahili wana hayo mambo while wabara hawana?!
 
Ni kweli vitu vya ajabu ajabu vinahusishwa na uswahili kama anaechelewa anaitwa mswahili etc.

May be the real waswahili wana hayo mambo while wabara hawana?!

Mazee...just be observant na utagundua kuwa nyingi ya hizo tabia ni za kibinadamu zaidi na si kijiografia.

Hata wazungu wapo wengi tu ambao hata iweje wao watachelewa tu popote pale waendapo.

Fanya kazi na wazungu halafu jaribu kuwa observant uone....utagundua mengi mno ya kitabia ambayo hata huku kwetu yapo.

Hata huko Usukumani wambea na wafitini wapo wengi tu mbona.

Nina dingi yangu mdogo mmoja hivi...jamaa ni mzushi na mchonganishi balaa.

Huyo naye sijui ni mswahili ama vipi....
 
Mazee...just be observant na utagundua kuwa nyingi ya hizo tabia ni za kibinadamu zaidi na si kijiografia.

Hata wazungu wapo wengi tu ambao hata iweje wao watachelewa tu popote pale waendapo.

Fanya kazi na wazungu halafu jaribu kuwa observant uone....utagundua mengi mno ya kitabia ambayo hata huku kwetu yapo.

Hata huko Usukumani wambea na wafitini wapo wengi tu mbona.

Nina dingi yangu mdogo mmoja hivi...jamaa ni mzushi na mchonganishi balaa.

Huyo naye sijui ni mswahili ama vipi....


Nafikiri asili ya hilo neno ni watu wa bara kuwaponda wa pwani

hata wazaramo waliwahi wakati fulani kupondwa hivi

utasikia acha mambo ya kizaramo

Mikoani pia wenyeji hupondwa

niliwahi kuwa dodoma....kitu kidogo utasikia 'we mgogo nini'

kama tusi vile....

Niliwahi kwenda mkoa mwingine utakuta mtu ambae hajafika dar anajiita mzaramo

hajui Dar wazaramo wanapondwa......
 
Mazee...just be observant na utagundua kuwa nyingi ya hizo tabia ni za kibinadamu zaidi na si kijiografia.

Hata wazungu wapo wengi tu ambao hata iweje wao watachelewa tu popote pale waendapo.

Fanya kazi na wazungu halafu jaribu kuwa observant uone....utagundua mengi mno ya kitabia ambayo hata huku kwetu yapo.

Hata huko Usukumani wambea na wafitini wapo wengi tu mbona.

Nina dingi yangu mdogo mmoja hivi...jamaa ni mzushi na mchonganishi balaa.

Huyo naye sijui ni mswahili ama vipi....
Well...uko sahihi but why hizi tabia za kibinadamu zikaitwa uswahili na si uafrika au usukuma.
 
mtu mzima,kauzu flani,pesa pesa ipo,hucheki na mtu .una heshima lakini .ipo strict na mambo yako
 
Well...uko sahihi but why hizi tabia za kibinadamu zikaitwa uswahili na si uafrika au usukuma.
Kujua chanzo halisi mara nyingi huwa ni vigumu sana.

Nachoweza kuhisi labda ndo sababu ni 1. masalia/ athari za ukoloni ambapo tuliaminishwa kuwa kila cha wakoloni kilikuwa bora kuliko vya kwetu...kama vile dini, elimu, mavazi, na kadhalika. Hata lugha yao tunaiona ni bora kuliko yetu. Mtu anayeongea Kiingereza vizuri tunamwona ana akili nyingi...

2. Ulimbukeni wetu.....
 
Back
Top Bottom