M-Pesa sio salama

M-Pesa sio salama

Vodacom kwa upande wangu hawana makosa, wewe kama huna uhakika na jina inakuwaje utume hela ?asee kazi ipo..
 
Hizi cases ni ngumu Ku trackback. Ndio maana kabla hujadhibitisha kutuma mtandao husika hukuonya uhakiki namba na jina la unaemtumia.


Look, imewahi kutokea kanda ya ziwa jamaa kaenda kununua mpunga kwa wakulima na kuwalipa kwa kutumia mtandao wa simu (mobile money)nusu saa baada ya malipo mlipaji aliwapigia watoa Huduma kuwa amekosea namba na amemtumia mtu ambae si sahihi hivyo akarudishiwa hela yake, mind u ameshaondoka na mzigo wa mkulima.

So, Usidhani ni rahisi kwa service provider kurudisha hela za kila anaekosea namba.

Jambo la msingi ni kuwa makini unapotuma pesa.
 
Kosa ni mtumaji mana lazima uhakiki no plus jina ndio utume pesa,kuna mtu hajawahi kushika 50 elfu siku ikiingia anatoa fasta na kuhamia bar,heri ukosee upokee mwanamke kurudisha ni rahisi sana kuliko mwanaume
Hivi mtoto anapokosea kunywa mafuta ya taa badala ya maji uunabaki ukimhukumu au unatafuta jinsi ya kumsaidia kwanza? Vibao vya barabarani viko kila mahali na bado ajali zinatokea!! hoja yako ni redundant
 
Hizi cases ni ngumu Ku trackback. Ndio maana kabla hujadhibitisha kutuma mtandao husika hukuonya uhakiki namba na jina la unaemtumia.


Look, imewahi kutokea kanda ya ziwa jamaa kaenda kununua mpunga kwa wakulima na kuwalipa kwa kutumia mtandao wa simu (mobile money)nusu saa baada ya malipo mlipaji aliwapigia watoa Huduma kuwa amekosea namba na amemtumia mtu ambae si sahihi hivyo akarudishiwa hela yake, mind u ameshaondoka na mzigo wa mkulima.

So, Usidhani ni rahisi kwa service provider kurudisha hela za kila anaekosea namba.

Jambo la msingi ni kuwa makini unapotuma pesa.
Hoja si VODA kurudisha hela bali kumwambia aliyechukua hela kuzirudisha itakuwa ina nguvu sana kuliko kuwaambia wateja wa negotiate
 
Kosa ni mtumaji mana lazima uhakiki no plus jina ndio utume pesa,kuna mtu hajawahi kushika 50 elfu siku ikiingia anatoa fasta na kuhamia bar,heri ukosee upokee mwanamke kurudisha ni rahisi sana kuliko mwanaume
kosa limeshatokea tayari hapa ni kuangalia jinsi ya kurekebisha hilo kosa lisijirudie tena. kwa upande wa mtumaji amefanya makosa ila anasaidiwaje? kwa kiasi kilichofikia huyo aliepokea pesa tayari ni mwizi
 
umeibiwa au umedondosha mwenzako kaokota??? hapo voda kosa lao ni lipi? yaani waweke mfumo utakaosoma akili yako kujua kwamba uliyemkusudia kumtumia siye uiliye mtumia kabla hujatuma au iweje??!! cha msingi kuwa makini tu na miamala yako.. Ikitokea umekosea hesabu umedondosha na inaweza kuokotwa na mtu yoyote..
 
...usitume fedha bila kuwa MTULIVU kimawazooo, usifanye haraka kufwata MENU....ni vizuri unayemtumia kuwasiliana nae dk chache kabla na baada ya kukamilisha mwamala
 
Siyo salama kwa sababu hakuna mechanism ya kuhakikisha usalama wa hela ya mteja. Huyu mtenja ndiye anayeifanya MPESA iwe MPESA. Na kama hutamjali akaogopa kuitumia huduma lazima mpesa itayumba
Ipi ni salama kwani kwa muktadha huo??
 
Eti wambane wakala? Wakala atawakumbuka wapita wateja wote? Kumbuka wengine ni wapita njia tu. Mtu akishachukua hela ambazo si zake ni mhalifu tu na wahalifu hushughulikiwa no polisi........... Vodacom Waco shogun hapo
 
Voda wanaaminije kama wewe umekosea kutuma hela??
Hoja si VODA kurudisha hela bali kumwambia aliyechukua hela kuzirudisha itakuwa ina nguvu sana kuliko kuwaambia wateja wa negotiate
 
TCRA hapa kweny kukosea miamala angalien upya, mitandao inatuonea sana
 
Mimi binafsi nilisharudisha hela nyingi zilizoingia siyo tu kwenye simu bali hata kwenye akaunti ya bank. kitendo cha hela kuingia na kukimbia kuito kwa dakika zisizozidi 10 na hujui zimetoka wapi ni wizi.
Wizi hapa ni attitude ya aliyezitoa hela ambazo siyo zake hakuna jina lingine linalomfaa
Amejibiwa maombi yake,pesa ndo inavyozunguka hivyo,ye angekua makini tu wakat wa kutuma
 
Kamanda Leo hii mechanism ya reversal kuifanya wewe mwenyewe imezinduliwa. So angalia matagazo ya Voda
 
Mm toka niibiwe hela kwny akaunti yangu ya simu sijawahi tena kuweka hela humu huu mwaka wa 2 sasa.


Nilichogundua security ya fesga zetu kwny mitandao ya simu ni ndogo sana halafu haya makampuni yote hayana msaada linapotokea tatizo la kifedha wanatoa majibu mepesi sana unaweza hata kumuua mtu
 
wakati watumiaji wa MPESA wanatakiwa wawe makini pia vodacom wanatakiwa watengeneze mazingira ya kuwalinda pale kosa linapotokea na fedha kuangukia kwa watu wasio waaminifu kama SAMWELI. kumaumu mtuma hela moja kwa moja siyo sahihi kwani hakuna binadamu asiyekosea. VODA wamfuatilie mteja aliyechukua hela kumsihi arudishe hela la mteja mwenzie
 
Mm toka niibiwe hela kwny akaunti yangu ya simu sijawahi tena kuweka hela humu huu mwaka wa 2 sasa.


Nilichogundua security ya fesga zetu kwny mitandao ya simu ni ndogo sana halafu haya makampuni yote hayana msaada linapotokea tatizo la kifedha wanatoa majibu mepesi sana unaweza hata kumuua mtu
Nafikiri itabidi wanasheria wawasaidie wateja ili waone kuna madhifu gani kwenye hii relationship ya VODA na Mteja ili tatizo likitokea ndani ya mtandao tuweze kuwafungulia mashtaka
 
Kinachowasaidia wametengeneza masharti yanayomnyima haki mteja ikiwa issue kama ya leo inatokea. kuna mtu kasema ni muda muafa ku review uendeshaji wa mitandao itoayo huduma za kifedha na kuwalazimu kuweka kifungu cha security kwa hela za mteja hata kama atakosea namba
 
Pole, ina naona unatoa lawama nyingi kwa voda as if wao ndo walifanya hilo kosa, wakati mwenye makosa ni wewe, mtu kashatoa na hela ulitaka wao wafanyaje? ingekuwa hela haijatolea ingekuwa rahisi kublock sasa mtu na hela katoa, au ulitaka wao ndo wabebe hilo deni wakulipe? unalaumu hadi wakala alietoa hizo hela, huyo wakala angejuaje huyo anaeenda kutoa hela si zake bali zimeenda kimakosa? hapo kweli ishu ilikuwa ni yako wewe kwenda polisi ili upate haki yako, na sio kuwalumu voda kwa MAKOSA YAKO WEWE MWENYEWE
 
Back
Top Bottom