Mmh!kirahisi hvyooo!!usinitanieee!!MPESA sijui kwa nini wako hvyoMpesa ni majanga sana usalama ni hamna kabisa kuna jirani yangu aliweka pesa km 6mil dakika kidogo line haisomi network kuwapandia hewani huduma kwa wateja kaambiwa line imekuwa swarped kuirudisha 6mil hamna kwenye acc kuwarudia huduma kwa wateja kaambiwa hela imetolewa namber iliyotoa na hela ilikoenda hazionekani jamaa alihumia hivyo
Wewe ni Mwiziii na tapeliiii...!! nyauuu kabisaaKuna mtu alikosea kwangu cku Io afu nlkua nashida sana na pesa na Kama zali naona muamala wa 315k from no where fasta nilikimbia kwa wakala in 5min nikiwa Na Chang mkononi Mara paap jamaa anapig kua alikosea Na alikua anatuma ada nkamwambia mkuu yan Kama mungu mm na mgonjwa apa ndo nimepata unafuu Leo atafanyiwa OP.... nisamehe.nikakata nikazma cmu. NB ckua mwizi
Mtu hakai sehemu moja lafudhi ya kisukuma aweza kuwa Ana lafudhi hiyo yuko dar kesho. Inawezekana huko alikotolea hela si kwake ilimkuta tu akiwa safarini akaenda kwa wakala wa karibu akatoa hela akaendelea Na safari yake.Hata wakala akihojiwa atasema sawa nilimpa Ila simjui kama mkazi wa eneo hili au laWalichoniambia MPESA nimwombe mwizi arudishe hela zangu na ameamua kukaa kimya.
Jina la mwizi ni SAMWELI DEU MWENYE NAMBA 0759548421 na anaolafudhi ya kisukuma yet wanajidai hawawezi kumpata
Walichoniambia MPESA nimwombe mwizi arudishe hela zangu na ameamua kukaa kimya.
Jina la mwizi ni SAMWELI DEU MWENYE NAMBA 0759548421 na anaolafudhi ya kisukuma yet wanajidai hawawezi kumpata
Nataka kuagiza honda Japan vipi paypal ita nisaidiaWewe ulishatumia paypal kununua bidhaa nje kokote duniani na ukatuma hela na muuzaji akaingia mitini? paypal wanakuwa responsible kumtafuta mwizi na hela zako unarudishiwa
Kwanza ukiwapigia watakupa mxtangazo kama dakika tano kwanza ndo uje kuongea na mtoa huduma.Nimetuma hela kwa mtu anaitwa Samweli Deus kimakosa na in ten minutes nikawapigia MPesa kwa dial 100 na niliongea na dada aliyeko kitengo cha lugha ya Kiingereza na akaniambia nimpe receipt number ya hiyo transaction. Amekuwa fasta kucheki na kuniambia niliyemtumia hela ameshazichukua kwa wakala na THEY CAN DO NOTHING na itanibidi mimi nimpigie mwizi wa hela zangu na akikataa niripoti polisi. Hii ilikuwa accident na sijawahi kosea tangu nianze kutumia hii huduma. Nimesikitika kuwa MPESa haina mechanism ya security kuhakikisha watumiaji wa huduma hawaibiwi. Kwao wanahesabu wamefanya business bila kujali mteja kaibiwa;. Nimejiuliza maswali yafuatayo:
1. VODA hawana uwezo wa kumtrack mteja wao aliyewaibia wateja wengine?
2. Namba ya aliyechukua hela zangu ni 0759548521 inakuwaje Vodacom wanashindwa kunisaidia kupata hela zangu na badala yake kuniambie is non of their business.
3. TCRA inawabanaje hawa wenye kutoa hizi huduma kuhakikisha fedha za mteja hazichopolewi hata pale anapokosea namba au ni kilio cha samaki.
4. Im sure voda wanamjua hata wakala aliyetoa hela na ni rahisi kwa wao kumtumia kumtia mbaroni mwizi ; how come hawataki kujishughulisha na kumwachia aliyeibiwa afanye negotiation na mwizi?
5. Aliyeibiwa yuko Arusha na aliyeiba yuko kanda ya Ziwa na wao wana muscles za kufuatilia nchi nzima ni kwa nini tusione kuwa MPESA siyo salama?
Naomba tusaidiwe hata kama tulikosea ili kupata hela zangu na bado ninaamini wana uwezo wa kufanya hivyo onlu nimekutana tu na VERY WRONG IRRESPONSIBLE AND SHORTSIGHTED STAFF.
PayPal inafanya kazi Tanzania?
Hapo hutakiwi kumuita mwizi kabisa. Na wewe huna mamlaka na hizo pesa. Cha msingi kuwa mpole mwombe achukue ¼ ya hiyo pesa kuliko kupoteza kabisa.Kama mtu akiokota fedha yako kisha ukamjua na ukamweleza na una uhakika huyo utamwita nani.
Asante Mkuu, kwa makosa yetu tusitafute excuse zisizo na mashiko!
Hapana huu si ushauri mzuri. Nadhani ipo haja ya vodacom kuboresha mifumo ya ulinzi wa fedha ili kuwalinda wateja wema. Ulinzi huu ni pamojSiwakubali Vodacom, lakini kwa hilo sioni kosa lao ila umezidisha malalamiko wakati makosa ni yako! Umesema we are not perfect, kwanini unataka wao wawe perfect! Nevertheless, kama hujaridhika washitaki.
Yaaani unitumie fedha, halafu uniite mwizi...wallah nakushitaki.Du kumbe hata jina la mwizi umewapa. Huu ni uzembe
Makosa ni yako unatakiwa uwe makini sana. Nadhani jina la mpokeaji huwa linaonekana kabla ya kutuma.Nimetuma hela kwa mtu anaitwa Samweli Deus kimakosa na in ten minutes nikawapigia MPesa kwa dial 100 na niliongea na dada aliyeko kitengo cha lugha ya Kiingereza na akaniambia nimpe receipt number ya hiyo transaction. Amekuwa fasta kucheki na kuniambia niliyemtumia hela ameshazichukua kwa wakala na THEY CAN DO NOTHING na itanibidi mimi nimpigie mwizi wa hela zangu na akikataa niripoti polisi. Hii ilikuwa accident na sijawahi kosea tangu nianze kutumia hii huduma. Nimesikitika kuwa MPESa haina mechanism ya security kuhakikisha watumiaji wa huduma hawaibiwi. Kwao wanahesabu wamefanya business bila kujali mteja kaibiwa;. Nimejiuliza maswali yafuatayo:
1. VODA hawana uwezo wa kumtrack mteja wao aliyewaibia wateja wengine?
2. Namba ya aliyechukua hela zangu ni 0759548521 inakuwaje Vodacom wanashindwa kunisaidia kupata hela zangu na badala yake kuniambie is non of their business.
3. TCRA inawabanaje hawa wenye kutoa hizi huduma kuhakikisha fedha za mteja hazichopolewi hata pale anapokosea namba au ni kilio cha samaki.
4. Im sure voda wanamjua hata wakala aliyetoa hela na ni rahisi kwa wao kumtumia kumtia mbaroni mwizi ; how come hawataki kujishughulisha na kumwachia aliyeibiwa afanye negotiation na mwizi?
5. Aliyeibiwa yuko Arusha na aliyeiba yuko kanda ya Ziwa na wao wana muscles za kufuatilia nchi nzima ni kwa nini tusione kuwa MPESA siyo salama?
Naomba tusaidiwe hata kama tulikosea ili kupata hela zangu na bado ninaamini wana uwezo wa kufanya hivyo onlu nimekutana tu na VERY WRONG IRRESPONSIBLE AND SHORTSIGHTED STAFF.
Kama utatoa pesa usiyoijua chanzo chake hutakwepa kuitwa mwizi. Na ukijifanya kushtaki utanyea ndoo tu kwani sheria ni msumeno na watoa hukumu mahakamani Hutumia references mbalimbali kabla ya kutoa hukumu.Yaaani unitumie fedha, halafu uniite mwizi...wallah nakushitaki.
Kuna siku nilikuwa na ahadi sehemu na nilipokuwa kukawa na vibanda vya Mpesa tu ilibidi nihamishe toka tigo kuipeleka huko ili nitoe!.Ili kulinda usalama wa jambo hilo Dakika 10 si nyingi sana...
Mzee una hasira nae huyo jamaa!.Walichoniambia MPESA nimwombe mwizi arudishe hela zangu na ameamua kukaa kimya.
Jina la mwizi ni SAMWELI DEU MWENYE NAMBA 0759548421 na anaolafudhi ya kisukuma yet wanajidai hawawezi kumpata
Kunatakiwa angalau kuwepo na mfumo wa kuzuia kutoa pesa mara tu uipokeapo kwa angalau dakika 10, ili kuwezesha mtumaji kama amekosea aweze kuwasiliana huduma kwa wateja na pesa irudishwe