Shozylin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 297
- 607
Ukiachana na hasara nazo zipata ndugu yetu mfuga kuku kwenye biashara yake kutokana na uzembe wa kuto fatilia mwenendo wa biashara yake bado Tatizo la hesabu kuto ku balance ni Tatizo kwa wafanya biashara wa huduma za KIFEDHA.
Mimi ni mkongwe pia kwenye biashara hii na hili Tatizo ni janga pia kwangu Kuna wakati unakaa unawazaa Nini kimesababisha? Unakosa majibu. Bahati mbaya hatuna CCTv camera kufatilia wateja kama ulizidisha pesa wakati wa kutoa pesa kwa mteja.
Kuna siku nikabaini Tatizo la salio kuto kubalance kupitia laini yangu ya uwakala baada ya kufanya miamala, nikagundua Voda walikata salio, baaadae wakaliongeza zaidi ilikua mchana na jioni yake wakalikata salio walio ongeza ila wakakata na 2000 yangu.
Niliripotia Tatizo Hilo kupitia Vodacom WhatsApp lakini hawakunipa ufafanuzi mpaka leo, nimeweka na ushahidi wa picha hapo chini.
Nikiwa Kama mkongwe kwenye biashara hii nakiri wazi kua hili Tatizo la salio kuto ku balance na linachangiwa na vitu vingi Sana.
Moja wapo ni -
* Kuzidisha pesa wakati wa kumpa pesa mteja au kutuma pesa. na usipo kua makini katika akili yako hili litakuhusu.
* Chuma ulete naweza kukiri wazi kua hili Tatizo lipo ila moja Kati ya njia ya kulidhibiti ni kufunga hesabu mala kwa mala yaani kutwa mala tatu kama dozi ila Mimi nakiri wazi kutwa mala tatu hua nakua mzembe, hua nafunga mala moja tu kwa siku.
Wadau wanasema kua chuma ulete hachukui pesa iliyo hesabiwa yeye anadili na pesa iliyo "shaghala baghara." Aka landamlee hapo ndipo anapita nazo. Ila Sina uhakika Sana na njia hii ya udhibiti ila inasaidia.
* Wizi na udokozi wa mfanya kazi au mtu wa nje ya ofisi anaweza kuwa kibaka au mtu Aliye zoea Sana kuingia ofisini kwako .. hii inatokea na usimwamini mtu % Mia weka udhibiti wa fedha zako. Usiruhusu kila mtu mtu kuizoea ofisi yako kisa tu ni mshikaji wako.
Mimi binafsi jumapili hua sio siku rasmi ya kazi mfano Jana nimefungua saa 9 jioni nikafunga saa Moja skupiga hesabu.
Leo mchana nimefunga hesabu nimekuta loss ya 20k yaan ndani ya siku tatu nimetengeneza hasara ya 30k hapa kichwa Cha Moto sjui imepoteaje poteaje. Ila najilaumu Sana Jana kutokufunga hesabau.
Mala nyingi ninapo funga mwenzi hua sikosi hasara ya 20k,10k, 5k, ila kamisheni hunisaidia na kupaisha mtaji kila mwisho wa mwezi.
Mpaka hapa bado najifunza namna Bora ya kuendesha hii ofisi kiukweli ina changamoto.
Mimi ni mkongwe pia kwenye biashara hii na hili Tatizo ni janga pia kwangu Kuna wakati unakaa unawazaa Nini kimesababisha? Unakosa majibu. Bahati mbaya hatuna CCTv camera kufatilia wateja kama ulizidisha pesa wakati wa kutoa pesa kwa mteja.
Kuna siku nikabaini Tatizo la salio kuto kubalance kupitia laini yangu ya uwakala baada ya kufanya miamala, nikagundua Voda walikata salio, baaadae wakaliongeza zaidi ilikua mchana na jioni yake wakalikata salio walio ongeza ila wakakata na 2000 yangu.
Niliripotia Tatizo Hilo kupitia Vodacom WhatsApp lakini hawakunipa ufafanuzi mpaka leo, nimeweka na ushahidi wa picha hapo chini.
Nikiwa Kama mkongwe kwenye biashara hii nakiri wazi kua hili Tatizo la salio kuto ku balance na linachangiwa na vitu vingi Sana.
Moja wapo ni -
* Kuzidisha pesa wakati wa kumpa pesa mteja au kutuma pesa. na usipo kua makini katika akili yako hili litakuhusu.
* Chuma ulete naweza kukiri wazi kua hili Tatizo lipo ila moja Kati ya njia ya kulidhibiti ni kufunga hesabu mala kwa mala yaani kutwa mala tatu kama dozi ila Mimi nakiri wazi kutwa mala tatu hua nakua mzembe, hua nafunga mala moja tu kwa siku.
Wadau wanasema kua chuma ulete hachukui pesa iliyo hesabiwa yeye anadili na pesa iliyo "shaghala baghara." Aka landamlee hapo ndipo anapita nazo. Ila Sina uhakika Sana na njia hii ya udhibiti ila inasaidia.
* Wizi na udokozi wa mfanya kazi au mtu wa nje ya ofisi anaweza kuwa kibaka au mtu Aliye zoea Sana kuingia ofisini kwako .. hii inatokea na usimwamini mtu % Mia weka udhibiti wa fedha zako. Usiruhusu kila mtu mtu kuizoea ofisi yako kisa tu ni mshikaji wako.
Mimi binafsi jumapili hua sio siku rasmi ya kazi mfano Jana nimefungua saa 9 jioni nikafunga saa Moja skupiga hesabu.
Leo mchana nimefunga hesabu nimekuta loss ya 20k yaan ndani ya siku tatu nimetengeneza hasara ya 30k hapa kichwa Cha Moto sjui imepoteaje poteaje. Ila najilaumu Sana Jana kutokufunga hesabau.
Mala nyingi ninapo funga mwenzi hua sikosi hasara ya 20k,10k, 5k, ila kamisheni hunisaidia na kupaisha mtaji kila mwisho wa mwezi.
Mpaka hapa bado najifunza namna Bora ya kuendesha hii ofisi kiukweli ina changamoto.