Inaonekana wewe ndio uliomuandikia hizo barua zake zina makosa mengi ya kiswahili.
It goes without saying that my swahili is mgogoro?
Taratibu wasikusikie wenyewe walio pata kijana msomi na machachari
Inaonekana wewe ndio uliomuandikia hizo barua zake zina makosa mengi ya kiswahili.
Kyaruzi said:Inaonekana wewe ndio uliomuandikia hizo barua zake zina makosa mengi ya kiswahili.
It goes without saying that my swahili is mgogoro?
Taratibu wasikusikie wenyewe walio pata kijana msomi na machachari
Hiyo siyo kweli Nziku mimi naamini wale wanao hama hama ni watu wenye tamaa na uroho wa madaraka na kujiona wao ni miungu watu never Nziku lazima ukubaliane na maamuzi ya walio wengi
Yaliyojiri leo hii BK mjini:
Hadi kufikia jioni vitambaa vya kaki imekuwa bidhaa adimu madukani. Toka jana mafundi wamekuwa busy kushona magwanda ya wafuasi wa chama chenye mvuto mpya-BK; ambacho tayari kimeteka mjini
Kadi za chama hicho (..) zimekwisha ofisi kuu-BK. Wajasiriamali wamechangamkia fursa na kuomba vyeo vya ghafla kisha kutumia vyeo hivyo kuchukua kadi nyingi. Wakati ofisi kuu kadi ilikuwa inauzwa kwa TShs. 600, Wajasiriamali mtaani wanaiuza TShs. 1,000/= Duru zetu za kikachero hazijathibitisha kuwepo kwa mkono wa Kagasheki wala SISIm katika kununua kadi hizi.
Wajumbe wa Kaskazini wamewekewa ngumu kukodi ndege ya Any Time Cancelled Co. Ltd ambayo walikwisha i-book kwa safari ya kesho. Hivyo Wajumbe wa Kaskazini watatumia ndege za kawaida ambapo Prof. Mwesiga Baregu atatangulia asubuhi akiongozana na Dr. Slaa Kisha Mzee Ndessa Pesa na vigogo wengine watafuata.
Wale wenye msimamo mkali wa kidini (mimi simo) wameanzisha uvumi kuwa Maaskofu ndiyo waliomshauri Lwakatare atoke CUF na kwenda CHADEMA kwa ahadi ya kumpigia debe 2010. (Hii nitaelezea siku zijazo kampeni ya namna hii zinaweza kula kwa nani na kwa sababu gani)
Mwisho natoa salamu za pole kwa Mpambanaji na familia yake. Mungu ampe nguvu katika kipindi hiki kigumu. Tupo pamoja siku zote katika sala.
Nawakilisha.
Mwanakijiji,Yawezekana Lwakatare ni tumaini la Chadema kuelekea 2010?
Wewe nawe acha kutufunga kamba hapa hata hao wenye Chadema yao TanzaniaDaima hawajafikia ushabiki huu.
Let me tell you my friend, you are up for the biggest dissapointment na Cha-chechemea wako
Hukuna Lwakatale kusadia chochote mimi naamini atashindwa ameshindwa CUF ni chama cha udini lakini hiyo ni siri yake hawezi kusema anaenda chademe ni chama cha wachaga ashindwa pia chama ni CCM tu.Yawezekana Lwakatare ni tumaini la Chadema kuelekea 2010?
Hukuna Lwakatale kusadia chochote mimi naamini atashindwa ameshindwa CUF ni chama cha udini lakini hiyo ni siri yake hawezi kusema anaenda chademe ni chama cha wachaga ashindwa pia chama ni CCM tu.
Hukuna Lwakatale kusadia chochote mimi naamini atashindwa ameshindwa CUF ni chama cha udini lakini hiyo ni siri yake hawezi kusema anaenda chademe ni chama cha wachaga ashindwa pia chama ni CCM tu.
Yaliyojiri leo hii BK mjini:
Hadi kufikia jioni vitambaa vya kaki imekuwa bidhaa adimu madukani. Toka jana mafundi wamekuwa busy kushona magwanda ya wafuasi wa chama chenye mvuto mpya-BK; ambacho tayari kimeteka mjini
Kadi za chama hicho (..) zimekwisha ofisi kuu-BK. Wajasiriamali wamechangamkia fursa na kuomba vyeo vya ghafla kisha kutumia vyeo hivyo kuchukua kadi nyingi. Wakati ofisi kuu kadi ilikuwa inauzwa kwa TShs. 600, Wajasiriamali mtaani wanaiuza TShs. 1,000/= Duru zetu za kikachero hazijathibitisha kuwepo kwa mkono wa Kagasheki wala SISIm katika kununua kadi hizi.
Wajumbe wa Kaskazini wamewekewa ngumu kukodi ndege ya Any Time Cancelled Co. Ltd ambayo walikwisha i-book kwa safari ya kesho. Hivyo Wajumbe wa Kaskazini watatumia ndege za kawaida ambapo Prof. Mwesiga Baregu atatangulia asubuhi akiongozana na Dr. Slaa Kisha Mzee Ndessa Pesa na vigogo wengine watafuata.
Wale wenye msimamo mkali wa kidini (mimi simo) wameanzisha uvumi kuwa Maaskofu ndiyo waliomshauri Lwakatare atoke CUF na kwenda CHADEMA kwa ahadi ya kumpigia debe 2010. (Hii nitaelezea siku zijazo kampeni ya namna hii zinaweza kula kwa nani na kwa sababu gani)
Mwisho natoa salamu za pole kwa Mpambanaji na familia yake. Mungu ampe nguvu katika kipindi hiki kigumu. Tupo pamoja siku zote katika sala.
Nawakilisha.
Yaliyojiri leo hii BK mjini:
Hadi kufikia jioni vitambaa vya kaki imekuwa bidhaa adimu madukani. Toka jana mafundi wamekuwa busy kushona magwanda ya wafuasi wa chama chenye mvuto mpya-BK; ambacho tayari kimeteka mjini
Kadi za chama hicho (..) zimekwisha ofisi kuu-BK. Wajasiriamali wamechangamkia fursa na kuomba vyeo vya ghafla kisha kutumia vyeo hivyo kuchukua kadi nyingi. Wakati ofisi kuu kadi ilikuwa inauzwa kwa TShs. 600, Wajasiriamali mtaani wanaiuza TShs. 1,000/= Duru zetu za kikachero hazijathibitisha kuwepo kwa mkono wa Kagasheki wala SISIm katika kununua kadi hizi.
Wajumbe wa Kaskazini wamewekewa ngumu kukodi ndege ya Any Time Cancelled Co. Ltd ambayo walikwisha i-book kwa safari ya kesho. Hivyo Wajumbe wa Kaskazini watatumia ndege za kawaida ambapo Prof. Mwesiga Baregu atatangulia asubuhi akiongozana na Dr. Slaa Kisha Mzee Ndessa Pesa na vigogo wengine watafuata.
Wale wenye msimamo mkali wa kidini (mimi simo) wameanzisha uvumi kuwa Maaskofu ndiyo waliomshauri Lwakatare atoke CUF na kwenda CHADEMA kwa ahadi ya kumpigia debe 2010. (Hii nitaelezea siku zijazo kampeni ya namna hii zinaweza kula kwa nani na kwa sababu gani)
Mwisho natoa salamu za pole kwa Mpambanaji na familia yake. Mungu ampe nguvu katika kipindi hiki kigumu. Tupo pamoja siku zote katika sala.
Nawakilisha.
I love CHADEMA..... wanakwenda kisasa zaidi. Kuweza kuajiri watu 24/7 kushinda mtandaoni na kufanya spinning.. is not a joke!
Omutwale hongera amakweli unakula kwa jasho lako, maana kwa propaganda! utadhani ulipitia pale Kivukoni?
Rwabugiri said:Omutwale nimekuaminia ndugu yangu, kumbe data zote za Lwakatare zimelala kwako, asante kutujuvya, nimeshangaa yote ulo yaandika hapa, ndo haya hapa kutoka nipashe, kumbe hukuongeza chumvi.
I love CHADEMA..... wanakwenda kisasa zaidi. Kuweza kuajiri watu 24/7 kushinda mtandaoni na kufanya spinning.. is not a joke!
Omutwale hongera amakweli unakula kwa jasho lako, maana kwa propaganda! utadhani ulipitia pale Kivukoni?
[FONT=ArialMT, sans-serif]Lwakatare anapokelewa na Chadema baada ya juzi kutangaza rasmi kukihama CUF na kujiunga na chama hicho.[/FONT]
[FONT=ArialMT, sans-serif]Mapokezi hayo yatafanyika kesho ambapo ndege maalum itakodiwa kutoka jijini Dar es Salaam na kuwapitia wabunge wa Chadema mjini Dodoma na kisha kuelekea mjini Bukoba.[/FONT]