Lwekatare wa CUF kuhamia CHADEMA

Lwekatare wa CUF kuhamia CHADEMA

Mkuu Kingwele,

Hicho chama huwa sikitamki mara kwa mara. Na wala sina mahusiano nacho hata chembe. Si kwa sababu ya chuki binafsi bali utofauti katika mitizamo. Ukisema Omutwale ni mfuasi mwadilifu wa Lwakatare na watu fulani hapa JF utakuwa una hoja. Maskini ya Mungu, wala huyo Lwakatare hajawahi na wala hajanikatia kwenye kale ka "Opportunity Cost Tranfer Fee" alikopewa, bali ni ile "extreme affection" niliyowahi kujieleza kuwa nayo kwake mwanzoni kabisa mwa sakata hili. Na huu ni mfano hai kuwaonyesha WaTZ, umaarufu wa Lwakatare si wa chama bali wa kwake yeye kama Lwakatare.

Mkuu Kingwele, nikuandalie Rubisi au utatumia Mramba? Karibu Uhuru platform!

Mkulu, Niko safarini nakwenda Bukoba kwa ajili ya tukio la leo.
Tutakutana Uhuru platform.
Wengi wanashangaa kwa nini kuna shamra shamra za Chadema Bukoba. Lakini wajaribu kuulizia Tambwe alipokelewaje alipokwenda Sisi Maf...... Mi sijali wanasema nini lakini nimelipa nauli ili nikashuhudie nililotamani miaka mingi. Kwamba tunabaki na chama kimoja chenye nguvu cha upinzani Tz.
Kwa taarifa tu kwa wale wasioelewa, kumekuwa na uhusiano mzuri kati ya Lwakatare na Chadema hata alipokuwa bado kafu.
Miaka nenda miaka rudi, ni Chadema hawa hawa huwa wanakuja kumpigia kampeni wakati wa uchaguzi. Nimeshuhudia kwa macho yangu kwa miaka mingi sasa.
 
Mkulu, Niko safarini nakwenda Bukoba kwa ajili ya tukio la leo.
Tutakutana Uhuru platform.
Wengi wanashangaa kwa nini kuna shamra shamra za Chadema Bukoba. Lakini wajaribu kuulizia Tambwe alipokelewaje alipokwenda Sisi Maf...... Mi sijali wanasema nini lakini nimelipa nauli ili nikashuhudie nililotamani miaka mingi. Kwamba tunabaki na chama kimoja chenye nguvu cha upinzani Tz.
Kwa taarifa tu kwa wale wasioelewa, kumekuwa na uhusiano mzuri kati ya Lwakatare na Chadema hata alipokuwa bado kafu.
Miaka nenda miaka rudi, ni Chadema hawa hawa huwa wanakuja kumpigia kampeni wakati wa uchaguzi. Nimeshuhudia kwa macho yangu kwa miaka mingi sasa.

Mkuu hilo linakuja, tunawatakia heri katika harakati hizo! Mungu awatangulie.
 
Kwa taarifa tu kwa wale wasioelewa, kumekuwa na uhusiano mzuri kati ya Lwakatare na Chadema hata alipokuwa bado kafu.
Miaka nenda miaka rudi, ni Chadema hawa hawa huwa wanakuja kumpigia kampeni wakati wa uchaguzi. Nimeshuhudia kwa macho yangu kwa miaka mingi sasa.
OOOOOOKKKKK!
MU una Prove mwenyewe kuwa chadema ni CCM No.2, na huyu Lwaks alikuwa mamluki eeeeh, sina shaka kuwa ni nyinyi mliokuwa mnamtia vijiti vya masikio alete disturbances kwa wanangangari siyo? Hizo mbinu tumezowea kuziona SISI M No.1, eni wei, nyote ni ndege wa ubawa mmoja siku zote mnakuwa pamoja.
 
aande popote hata akitaka CCM kwani imekuwa kawaida ya wanasiasa wa hapa nchini kupenda ujiko na madaraka. wananiboa woteee hasa nikikumbuka mhe. fulani ambaye alitolewa wizara ya mambo na ndani kupelekwa wizara nyingine ikawa kosa alitaka abakie anapotaka yeye. sasa na huyu "Mlangila" naye kupunguziwa madaraka imekuwa tabu
 
Mkulu, Niko safarini nakwenda Bukoba kwa ajili ya tukio la leo.
Tutakutana Uhuru platform.
Wengi wanashangaa kwa nini kuna shamra shamra za Chadema Bukoba. Lakini wajaribu kuulizia Tambwe alipokelewaje alipokwenda Sisi Maf...... Mi sijali wanasema nini lakini nimelipa nauli ili nikashuhudie nililotamani miaka mingi. Kwamba tunabaki na chama kimoja chenye nguvu cha upinzani Tz.
Kwa taarifa tu kwa wale wasioelewa, kumekuwa na uhusiano mzuri kati ya Lwakatare na Chadema hata alipokuwa bado kafu.
Miaka nenda miaka rudi, ni Chadema hawa hawa huwa wanakuja kumpigia kampeni wakati wa uchaguzi. Nimeshuhudia kwa macho yangu kwa miaka mingi sasa.

Hopefully hawajachukuwa watu kutoka majimbo mengine na kusingizia kama ni wana CUF wa BKB, Maana whata they did kule Busanda ilikuwa ni aibu tupu.

Jamaa wamekwenda kuchukua vijana kutoka all the way TARIME na kuwapeleka Busanda.
 
Tayari msafara wa kwenda katika uwanja wa uhuru platform ukiongozwa na Dr Slaa na Lwakatare mwenye umeshapita mitaani Bukoba na hivi sasa wako uwanjani.
DSC_1121 i.jpg

IMGP2128 i.jpg

IMGP2129 i.jpg

IMGP2130 i.jpg
More updates comming.
 
Salaam kutoka Pemba ,wanasema huenda uchaguzi mkuu usifanyike huko ,na wao kujikata kivyao ,kabla sijatulia baada ya ziala ya mida mwingi mikoani ,huku nikifuatilia kwa undani zaidi mazoezi ya vyama pinzani .
Nimemegewa kuwa kuna 10% ambayo inahitajika ili ile kampouni ya gesi kule Mtwara iweze kuuza gesi nchi za nje ,niliongea na kijana mmoja ambae alinipa undani wa kuzorota kwa kampuni ile ,kuwa kuna wakubwa wanaikwamisha lakini kama ingeruhusiwa kuwekeza kama ilivyo tazamia ingeweza kusukumiza gesi Tz nzima na kueneza umeme wa nguvu hio kwa mikoa yote ,huku wao wakifaidika na uuzaji wa gesi hiyo.Kampuni hiyo ambayo makao yake makuu ni Canada tayari ilikwisha panga kuwalipa wazalendo kwa fedha ya kigeni ,kuwapatia vitendea kazi ambayo ni magari kila ofisa mzalendo angeweza kuwa na gari na mshahara mnono na kwa muda mfupi wangeweza kueneza umeme TZ nzima,Je ni nani aliezuia wazalendo wasilpwe dolars na kuwatilia mguu wasipewe magari.
Kijana amezidi kutonya kuwa ukiritimba wa 10% umeifanya kampuni hiyo kuanza kuzorota na kupunguza wafanyakazi wake ,kwa sasa inaendesha generetor 3 ,wanatumia moja ambayo inaeneza umeme mpaka Lindi ,ila wataalam hao wamedai kuwa wanendesha kwa hasara na kinyume cha makubaliano ,faida ambayo walitegemea ni kupewa kibali cha kuuza gesi.Kibali ambacho kuna madai ya kinyang'anyiro cha 10%.
Zaidi mzalendo huyo amedai kuwa gesi iliyopo haina utata wowote ule wa kueneza umeme Tz nzima (Huyo mzalendo ni mtaalamu haswa) na amedai kuwa baada ya kuekewa vizingiti kwa muwekezaji huyo generator zinazotumika zimeanza kusinzia na kutoa mingurumo mikubwa tofauti na mwanzo.
Mzalendo amesisitiza kuwa gesi ambayo ingetumika kueneza umeme Tz nzima si lolote si chochote ni sawa na kukata kucha,kuna visima kumi na nne vya gesi hai ,gesi kutoka machimboni kuzifikia generator ni safi na ndio inayoipatia Mtwara umeme na sehemu za karibu.Kuna Paka fisadi anataka kufungwa kengele.
 
Salaam kutoka Pemba ,wanasema huenda uchaguzi mkuu usifanyike huko ,na wao kujikata kivyao ,kabla sijatulia baada ya ziala ya mida mwingi mikoani ,huku nikifuatilia kwa undani zaidi mazoezi ya vyama pinzani .
Nimemegewa kuwa kuna 10% ambayo inahitajika ili ile kampouni ya gesi kule Mtwara iweze kuuza gesi nchi za nje ,niliongea na kijana mmoja ambae alinipa undani wa kuzorota kwa kampuni ile ,kuwa kuna wakubwa wanaikwamisha lakini kama ingeruhusiwa kuwekeza kama ilivyo tazamia ingeweza kusukumiza gesi Tz nzima na kueneza umeme wa nguvu hio kwa mikoa yote ,huku wao wakifaidika na uuzaji wa gesi hiyo.Kampuni hiyo ambayo makao yake makuu ni Canada tayari ilikwisha panga kuwalipa wazalendo kwa fedha ya kigeni ,kuwapatia vitendea kazi ambayo ni magari kila ofisa mzalendo angeweza kuwa na gari na mshahara mnono na kwa muda mfupi wangeweza kueneza umeme TZ nzima,Je ni nani aliezuia wazalendo wasilpwe dolars na kuwatilia mguu wasipewe magari.
Kijana amezidi kutonya kuwa ukiritimba wa 10% umeifanya kampuni hiyo kuanza kuzorota na kupunguza wafanyakazi wake ,kwa sasa inaendesha generetor 3 ,wanatumia moja ambayo inaeneza umeme mpaka Lindi ,ila wataalam hao wamedai kuwa wanendesha kwa hasara na kinyume cha makubaliano ,faida ambayo walitegemea ni kupewa kibali cha kuuza gesi.Kibali ambacho kuna madai ya kinyang'anyiro cha 10%.
Zaidi mzalendo huyo amedai kuwa gesi iliyopo haina utata wowote ule wa kueneza umeme Tz nzima (Huyo mzalendo ni mtaalamu haswa) na amedai kuwa baada ya kuekewa vizingiti kwa muwekezaji huyo generator zinazotumika zimeanza kusinzia na kutoa mingurumo mikubwa tofauti na mwanzo.
Mzalendo amesisitiza kuwa gesi ambayo ingetumika kueneza umeme Tz nzima si lolote si chochote ni sawa na kukata kucha,kuna visima kumi na nne vya gesi hai ,gesi kutoka machimboni kuzifikia generator ni safi na ndio inayoipatia Mtwara umeme na sehemu za karibu.Kuna Paka fisadi anataka kufungwa kengele.

MKUU MWIBA ASANTE kwa taarifa nzuri ya kinacho endelea huko mtwara,
Ila hapa kama umeposit wrong site, kwanini usiifungulie thread yake? ama ukaipeleka kule kwa ndugu zake DOWANS? hapa tupo tunajadili mpiganaji Lwakatare na maisha mapya anayo yaanza leo Ndani ya chama mbadala,
Yes, CHADEMA!
 
MKUU MWIBA ASANTE kwa taarifa nzuri ya kinacho endelea huko mtwara,
Ila hapa kama umeposit wrong site, kwanini usiifungulie thread yake? ama ukaipeleka kule kwa ndugu zake DOWANS? hapa tupo tunajadili mpiganaji Lwakatare na maisha mapya anayo yaanza leo Ndani ya chama mbadala,
Yes, CHADEMA!

Sawa ila huyo hakuondoka bure huko CUF kuna kitu nasikia amefanya ,sikupata uhakika ila nasikia alipora fedha katika uchaguzi wa Tarime au kuna jambo lilitokea kati ya Tarime au Mbeya. Na ndilo lililompiga na chini ndani ya CUF.
 
Sawa ila huyo hakuondoka bure huko CUF kuna kitu nasikia amefanya ,sikupata uhakika ila nasikia alipora fedha katika uchaguzi wa Tarime au kuna jambo lilitokea kati ya Tarime au Mbeya. Na ndilo lililompiga na chini ndani ya CUF.
Mkuu Mwiba ,long time no see mkuu.
karibu tena
 
Sawa ila huyo hakuondoka bure huko CUF kuna kitu nasikia amefanya ,sikupata uhakika ila nasikia alipora fedha katika uchaguzi wa Tarime au kuna jambo lilitokea kati ya Tarime au Mbeya. Na ndilo lililompiga na chini ndani ya CUF.

BUT Prof, Lipumba alikanusha kwamba hakuna tuhuma zozote dhidi yake, bali ni kupokezana vijiti vya uongozi!

Ama unataka kusema prof, alisema asicho kimaanisha?

Bytheway, mpambanaji ndo kaisha tua ndani ya chama mbadala, sasa tusubili kushuhudia maisha yake mapya katika uwanja mpya. Binafsi namtakia heri na afike mbali.
 
Mkuu Kingwele,

Hicho chama huwa sikitamki mara kwa mara. Na wala sina mahusiano nacho hata chembe. Si kwa sababu ya chuki binafsi bali utofauti katika mitizamo. Ukisema Omutwale ni mfuasi mwadilifu wa Lwakatare na watu fulani hapa JF utakuwa una hoja. Maskini ya Mungu, wala huyo Lwakatare hajawahi na wala hajanikatia kwenye kale ka "Opportunity Cost Tranfer Fee" alikopewa, bali ni ile "extreme affection" niliyowahi kujieleza kuwa nayo kwake mwanzoni kabisa mwa sakata hili. Na huu ni mfano hai kuwaonyesha WaTZ, umaarufu wa Lwakatare si wa chama bali wa kwake yeye kama Lwakatare.

Mkuu Kingwele, nikuandalie Rubisi au utatumia Mramba? Karibu Uhuru platform!

wewe na Mchukia Ufisadi nani PR wa LWEKATARE?naomba mnipongezi mimi nilijua toka february kuwa Lwekatare anakwenda Chadema alikuwa anatafuta sababu tu.ila hizi makala na barua zake ilitakiwa aziseme alipokuwa naibu katibu mkuu,kusema hivi sasa ni unafiki.

amekuwa Naibu katibu mkuu kwa miaka kumi alitaka awe hadi lini? Mzee KAWAWA ni mtu wa mfano kwenye madaraka.ukimshusha anakubali.mimi ningekuwa Lwakatare nisingetoka kwani lengo kuwatumia watu wa Bukoba hivyo angejiimarisha kwenye ubunge na kufanya vitu vyake bungeni.

huko Chadema atakuwa nani?au atapewa umakamu MWENYEKITI? hivi Mbowe akijiunga na CCM atapewa umakamu Mwenyekiti au ukatibu mkuu wa CCM bila kupitia mafunzo ya chama na kukaa chini kwanza?
kama anawatuka CUF alikuwa nayo toka 1991 miaka zaidi ya 18 ikitokea mtafaruku Chadema itakuwaje?
 
Kanda2 said:
naomba mnipongezi mimi nilijua toka february kuwa Lwekatare anakwenda Chadema alikuwa anatafuta sababu tu

Nimeishakuwekea THANKS hapo juu, angalia. Niambie jingine Mkuu nitafanya.
 
Tangu saa nane, ndio sasa mkutano unakwisha na watu wote wameendelea kuwa wavumilivu.
Mkutano umekuwa na watu wengi sana lakini umeondoka na wengi wa viongozi wa juu wa chama cha kafu.
Nawaletea updates pamoja na picha soon.
 
Wakuu.
Leo katika pita pita zangu katika Mkoa wa Kager kikazi nimejikuta navutika kuudhuri mkutano wa CHADEMA uliolenga kumpatia Lwakatare kadi mpya ya chma hicho.

Kikukubwa hapa ni kwamba Lwakatare amesema kuwa alipokuwa n cheo ndani ya CUF alikuwa akilipwa sh 300,000 kwa mwezi hivyo amewaomba wananchi waone ni jinsi gani alivyokuwa anafanya kazi nyingi na kulipwa kiduchu.

amesema kuwa baada ya kutemwa aliazisa mradi binafsi wa kuuza parachichi n chips jijini dar ambapo sasa anapata sh 800,000 kwa mwezi.

pia amejinuga chadema pamoja na wafuasi lukuki wakiwemo pia viongozi kribu wote wa CUF wa Bukoba mjini.

walitoa saport katika jukwa ni slaa,prof baregu na c.Ngaiza.

amepokea rasmi kadi mpya n kurejesha ya CUF
Hayo ndiyo ya Bukoba LEO HII

KWA HERI/MPAHO
 
Mi nilisema huyu jamaa ni mshamba wa kutupwa, yaani hawa ndio wabunge wetu wa upinzani wa ngama.
 
BUT Prof, Lipumba alikanusha kwamba hakuna tuhuma zozote dhidi yake, bali ni kupokezana vijiti vya uongozi!

Ama unataka kusema prof, alisema asicho kimaanisha?

Bytheway, mpambanaji ndo kaisha tua ndani ya chama mbadala, sasa tusubili kushuhudia maisha yake mapya katika uwanja mpya. Binafsi namtakia heri na afike mbali.

Hata mahakamani mtuhumiwa na mawakala wake wanatakiwa wakanushe katika hatua za mwanzo.
Ila sidhani kama CUF watapiga makelele kwa hilo,kwani ni waungwana sana na wanaifahamu haki ya kila raia ya kujiunga na chama atakacho na kwa wakati wowote na kama utachunguza wengi waliojiengua au kuenguliwa ndani ya CUF hawakusomewa makosa yao na uongozi wa CUF kwenye mihadhara zaidi ya kutakiwa heri huko waendako.
Na wapo wengi tu walioondoka wenyewe na walioondolewa kwa nguvu za Chama ila hakuna alieuliwa & the CUF goes on.
 
Huyu Lwakatare atakuja kuwaletea shida sana CHADEMA, mark my words.
 
Back
Top Bottom