Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,065
Ni kawaida wapinzani kuhangaika wala hakuna cha ajabu kwani hana jipya atakalolifanya
wasiwasi wangu na hawa wanasiasa wa 'kisasa' ni kwamba wamekaa kimaslahi zaidi.akiona tu amekosa kanafasi kakula mailage basi anakuwa MBOGO,anaanza kubomoa hoja
Ndiyo yaliyomkuta mate wangu mwita!ukweli mwita hakusoma alama za nyakati!