Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,187
Oh! Amefuata mshahara mkubwa Chadema
Mkuu Bluray,Huyu Lwakatare atakuja kuwaletea shida sana CHADEMA, mark my words.
Uamuzi wa mtu fulani kuhama chama cha siasa ni haki yake ya msingi na ipo ndani ya katiba,lkn sikubaliani na repercussion ambayo inatolewa na wanasiasa wengi nyumbani tz eti ndiyo sababu iliyomsukuma kuhama chama fulani!
Lwakatare umesema tu kuwa CUF walikuwa wanakulipa laki 3 lkn hujaeleza maombi yako wewe ndani ya CUF kimshahara ilikuwa unataka kulipwa bei gani?Wala hujasema CHADEMA wamekuambia watakulipa bei gani?Typical no sense claim from one of highly regarded and respected opposition icon in tz.
Anyways,ni wakati sasa mzuri kwa CUF kuwaeleza watz wataziba vipi pengo la kisiasa kule Bukoba!
Yeah, mleta mada naye huenda alipokuwa anapitapita (kama alivyojieleza) maybe alikuta anazungumzia salary. Na pengine mleta mada hakuendelea kukaa kwenye mkutano kwa sababu zake za kikazi (kama alivyojieleza as well).kuna mwingine alikuwapo kwenye mkutano atujuze kama 300,000 ndiyo sababu ya msingi??
Uamuzi wa mtu fulani kuhama chama cha siasa ni haki yake ya msingi na ipo ndani ya katiba,lkn sikubaliani na repercussion ambayo inatolewa na wanasiasa wengi nyumbani tz eti ndiyo sababu iliyomsukuma kuhama chama fulani!
Lwakatare umesema tu kuwa CUF walikuwa wanakulipa laki 3 lkn hujaeleza maombi yako wewe ndani ya CUF kimshahara ilikuwa unataka kulipwa bei gani?Wala hujasema CHADEMA wamekuambia watakulipa bei gani?Typical no sense claim from one of highly regarded and respected opposition icon in tz.
Anyways,ni wakati sasa mzuri kwa CUF kuwaeleza watz wataziba vipi pengo la kisiasa kule Bukoba!
Mkuu Bluray,
Ungesoma maelezo vizuri ya Omtwale unaweza kubaini style ya uongozi wa CUF ni watu 3.Ukija upande wa CHADEMA maamuzi yao ni shirikishi,yaani viongozi wa juu hawana ukiritimba wanapenda maamuzi ya pamoja.Dhana hii ya uongozi ndiyo iliyomvutia Lwakatale kujiunga,ili aweze kutumia kipawa chake sawasawa kujenga jamii ya Kitanzania ambayo itajiamini na kushiriki kikamilifu katika kuliendeleza Taifa letu katika maendeleo endelevu.
Kule CUF wenye maamuzi ni Seif,Duni na Lipumba,wengine wanatakiwa kufuata maelekezo sahihi ya vinara hao!Kule CHADEMA hoja sahihi ndiyo kitu cha msingi sio nafasi aliyonayo mtoa hoja.
Kama angekuwa na lengo la kutaka kuonyesha kuwa alikuwa anajitolea, asingelinganisha hizo laki 3 na laki 8 anazozipata hivi sasa kwa kuuza maparachichiMkuu Malafyale,
Huyo mleta mada amechagua kipengele kimoja tu alichozungumza Lwakatale.Mimi ninachoelewa alikuwa anatoa maelezo ya uongozi ni kujitolea na ndio maana alikuwa anapokea mshahara wa Sh.300,000/= kwa mwezi.Naomaba watanzania msimuwekee mawazo yenu akilini kwake.
Kaka Yangu Mzee Mwanakijji, Kama amekwenda huko kwa ajili ya pesa basi atakuja kuondoka au kwenda CCM, maana ukitazama huyu mwandishi kiini cha kuandika ni kusema kuwa Lwakatare ameamua kwenda CHADEMA kwasababu CUF alikuwa anapewa Pesa Kiduchu sana, Hapa ni lazima tusubiri maana inawezekana akasosa ubunge na Kurudi CCM kabisa
Kwa mfumo huo hakuna haja ya kuwa na kiongozi maana hata mnapoelekea vitani basi anetakiwa kufuatwa amri zake ni platuni kamanda ,sasa kama maamuzi yanatakiwa yawe shirikishi kutapatikana vurugu mechi ndipo pale tulipoona Slaa kasema tusinunue Zito kasema tununue ,au umesahau ule mshike mshike wa generator za umeme.
Mkuu hapa tunaongelea shujaa kuhamisha viwanja, hayo yagenereta yana nafasi yake!
Tangiapo kuwa chama kimoja haina maana kila mtu hana ubongo wake wa kufikiria na kutoa maoni yake! Na kuwa kiongozi haina maana wewe ni
SI unitT ya unao waongoza, lazima uwasikilize maoni yao ndo gurudumu litasonga, huwezi ukawa good leader kwa mtindo wa 'one man show', and for CUF's case 3 man show, never!'