Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 242
Kama haitachachawa profesa anapiga kelele ya nini? Kisha teka viongozi wangapi -- wale wa maana kutoka CCM au Chadema? Chama chake ni kukimbiwa tu na viongozi na anashindwa kunasa hata mmoja kutoka kwingine. Why should it be one way traffic?