Lwekatare wa CUF kuhamia CHADEMA

Lwekatare wa CUF kuhamia CHADEMA

Nimefurahi umeamia Chadema chama cha Tanzania bara as wewe ni mbara, hao wa cuf wivu nawe waachie huko na kukuonea wivu wa kuwa mbara na cheo ulichokuwa nacho, hii inaonyesha kuwa wameona wafatilie zaidi ushindi zanzibar, na ndio kukuachia wewe mbali na kusahau kuwa umechangia mengi katika chama chao

Natumaini huko chadema wamekukaribisha salama, na weye kazania kuwa muongozi wa jimbo unalotoka aschana na vyeo

hivi chadema si ya wachaga au imechanganya?
 
Mtaji wa mwanasiasa yeyote makini ni jukwaa la kufanya siasa. Unapomnyang'anya mwanasiasa jukwaa ni sawa na kumnyang'anya askari silaha akiwa vitani. Walichofanya CUF ni kumnyang'anya Lwakatare jukwaa ili asifanye siasa; asingekubali. Watajilaumu milele kwa uamuzi wao huo.

Halafu kumfananisha Lwakatare na Hiza au Akwilombe ni makosa. Lwakatare alikuwa na faida mbili kubwa kwa CUF. Mosi, alikuwa anaisimika CUF huko Bukoba. Ukiongea na watu wengi wa Bukoba wanasema wazi kuwa anayependwa kule ni Lwakatare, sio CUF. Ndio kusema kuondoka kwa Lwakatare CUF ni kuiondoa CUF Bukoba. Pili, Lwakatare ndiye aliyekuwa anawasaidia CUF kuua dhana ya kuwa ni chama cha udini. Kuondoka kwake kunaihuisha na kuiimarisha dhana hii. Hizi ni sifa ambazo Akwilombe na Hiza hawakuwa nazo. Kwa hiyo kulinganisha kuondoka kwa Lwakatare na akina Hiza ni njia nzuri kujiridhisha kisiasa, lakini ukweli ni kwamba athari zao kwa CUF hazifanani hata kidogo. Tusubiri tuone.

Ni matumaini yangu kuwa CUF walipiga mahesabu yao vizuri na wakaona kutoka kwa Lwakatare hakungeleta madhara makubwa kisiasa. Vinginevyo, wajue huu ndio mwanzo wa mwisho wa chama chao bara. By the way, kwa muda mrefu tumelilia kubaki na vyama viwili tu, sasa coincidentally ndiyo hivyo tuna vyama viwili rasmi, tushindwe sisi!

Kitila,
Wonderful. Nimeweka post yangu kabla sijaona ya kwako na suprisingly zina mawazo yanayoshabihiana. Umesema kweli
Ubarikiwe mkuu.
 
......... Lwakatare alikuwa na faida mbili kubwa kwa CUF. Mosi, alikuwa anaisimika CUF huko Bukoba. Ukiongea na watu wengi wa Bukoba wanasema wazi kuwa anayependwa kule ni Lwakatare, sio CUF. Ndio kusema kuondoka kwa Lwakatare CUF ni kuiondoa CUF Bukoba. Pili, Lwakatare ndiye aliyekuwa anawasaidia CUF kuua dhana ya kuwa ni chama cha udini. Kuondoka kwake kunaihuisha na kuiimarisha dhana hii. Hizi ni sifa ambazo Akwilombe na Hiza hawakuwa nazo. Kwa hiyo kulinganisha kuondoka kwa Lwakatare na akina Hiza ni njia nzuri kujiridhisha kisiasa, lakini ukweli ni kwamba athari zao kwa CUF hazifanani hata kidogo. Tusubiri tuone.......

Habari zilizovunjika sasa hivi huko VOA kwa sauti yake mwenyewe Lwakatare ametamka kuwa mkutano wa wanachama wote wa tawi lake la CUF-Kideta (uliomalizika muda si mrefu) wameamua kwa kauli moja kumruhusu bwana Lwakatare aachane na CUF na kuhamia CHADEMA ambako wataambatana naye.
Tehetehe.....Natoka kidogo kwenda kupata kahawa
 
Siku nimekuja na breaking news za wananchi wa Bukoba kumtaka ahame kafu, wewe ndiye ulinisakama kuwa mi ni mwongo😀
Leo kwa sababu hii habari kaisema mwenyekiti wako Lipumba, unakuja kutuletea old stories!
Mwaka huu kafu mtaumia sana maana yuko na kiongozi mwengine yuko njiani kuwakimbia pia. Huyo simtaji. Time will tell😀
Sasa kama si maumivu kwenu wewe na Lipumba mbona mnaonyesha ku panic?
Mmeshapigwa bao bwana😀tena la kisigino😀
Kwangu mi sintajali anakwenda chama kipi cha upinzani. Ila ni hamu yangu kuona kafu inakufa mikononi mwa Lipumba na Seif😀
Hata hivyo kwa kuwa wadau wengi wanatamani kuona nchi inakuwa na chama kimoja chenye nguvu cha upinzani, naona ndoto zao zinaelekea kutimia maana kitabaki Chadema. Kafu tlp nccr kwishney😀
Alafu mwambie Lipumba kuwa Bukoba kafu kwishney. Kama ilivyo Pemba kafu bila Seif si kafu ndivyo ilivyo Bukoba kafu bila Lwakat.... si kafu😀
Mkuu hilo la kukwambia muongo mi nakataa, sjalelewa katika malezi hayo dharau na bezo kwa watu,awe mkubwa au mdogo na nikiteleza huwa mwepesi kujirudi, ila nichokumbuka kusema kuwa habari ile ilikuwa na maswali mengi na nilihoji maksudi ili nipate more details tu.
Kuhusu CUF kufa na chadema kuwa mbadala wake, hilo naona uendelee kuota maana kama mngekuwa na ubavu tungekuoneni kule Busanda,lakini zilikuwa kelele tu za kukusanya watu mkawaonyesha helikopta yenu tu.
Halafu CUF(siwasemie maana ndo walivyo) hawamtegemei mtu kushawishi maendeleo yake hayo mambo ya KI CCM, na ndo maana wanaogopa kuruhusu wagombea binafisi kwa kuwa chama chao na chadema wanawafata naona, kinategemea watu, nkupe mfno, Zitto alipotangaza ku'ngatuka karibu mfe nyote kwa Presha, mnajua hakuna anaweza kusimama kuliltea tena bungeni jimbo la K/kaskazini.
CUF mtandao wake kule zanzibar umeshaimarika wakati wowote wanashika dola hili tukubaliane kwanza(chadema hamjafika huko kwenye maji makubwa), ujenzi wa chama Tzbara ni mipango ya muda mrefu inthe long run, Kwa hiyo usilanginishe chadema na CUF havifanani bana we!!Chama kina wabunge kumi hawafiki ndo ukakifananishe na chama chenye nguvu ya kushika dola wapi na wapi!
 
Nimefurahi umeamia Chadema chama cha Tanzania bara as wewe ni mbara, hao wa cuf wivu nawe waachie huko na kukuonea wivu wa kuwa mbara na cheo ulichokuwa nacho, hii inaonyesha kuwa wameona wafatilie zaidi ushindi zanzibar, na ndio kukuachia wewe mbali na kusahau kuwa umechangia mengi katika chama chao

Natumaini huko chadema wamekukaribisha salama, na weye kazania kuwa muongozi wa jimbo unalotoka aschana na vyeo

hivi chadema si ya wachaga au imechanganya?

Ndio sababu wanataka kumuongeza na mhaya? hoja za chi chi emu zitakuwa zimefikia kikomo😀
 
Mkuu hilo la kukwambia muongo mi nakataa, sjalelewa katika malezi hayo dharau na bezo kwa watu,awe mkubwa au mdogo na nikiteleza huwa mwepesi kujirudi, ila nichokumbuka kusema kuwa habari ile ilikuwa na maswali mengi na nilihoji maksudi ili nipate more details tu.
Kuhusu CUF kufa na chadema kuwa mbadala wake, hilo naona uendelee kuota maana kama mngekuwa na ubavu tungekuoneni kule Busanda,lakini zilikuwa kelele tu za kukusanya watu mkawaonyesha helikopta yenu tu.
Halafu CUF(siwasemie maana ndo walivyo) hawamtegemei mtu kushawishi maendeleo yake hayo mambo ya KI CCM, na ndo maana wanaogopa kuruhusu wagombea binafisi kwa kuwa chama chao na chadema wanawafata naona, kinategemea watu, nkupe mfno, Zitto alipotangaza ku'ngatuka karibu mfe nyote kwa Presha, mnajua hakuna anaweza kusimama kuliltea tena bungeni jimbo la K/kaskazini.
CUF mtandao wake kule zanzibar umeshaimarika wakati wowote wanashika dola hili tukubaliane kwanza(chadema hamjafika huko kwenye maji makubwa), ujenzi wa chama Tzbara ni mipango ya muda mrefu inthe long run, Kwa hiyo usilanginishe chadema na CUF havifanani bana we!!Chama kina wabunge kumi hawafiki ndo ukakifananishe na chama chenye nguvu ya kushika dola wapi na wapi!

Mna mpango wa kushika dola ipi?
Najua bado mnaota kuja na visingizio vya kuibiwa kura. Mbona siku zote mnaibiwa Zanzibar tu?
Mi sioni tatizo maana kafu=Zanzibar na Chadema=bara.
Lwakatare ni wa Bara anatakiwa kuwa Chadema.
Hiyo post ya Chibidu hapo juu umeisoma. Bukoba hamna kitu maana tawi zima linajigeuza chama cha chadema😀
 
Mna mpango wa kushika dola ipi?
Najua bado mnaota kuja na visingizio vya kuibiwa kura. Mbona siku zote mnaibiwa Zanzibar tu?
Mi sioni tatizo maana kafu=Zanzibar na Chadema=bara.
Lwakatare ni wa Bara anatakiwa kuwa Chadema.
Hiyo post ya Chibidu hapo juu umeisoma. Bukoba hamna kitu maana tawi zima linajigeuza chama cha chadema😀
Bado hutaki kukubali kuwa matandao wa wanangangari Tanzania ni mkubwa na ndo maana vyama vingine vinawaonea gere, havishi kujifananisha nao(kama chadema), CUF ipo kila kona ya Tanzania, chadema hata Rufiji hamjafika.
Ndugu zetu wa BK nawafahamu kwa biashara za namna hii kwa hiyo nanyie chadema mjitayarishe msije mka Mchacha Wangwe huyo Lwakatare siku atakayochagiza kuwakimbia.
 
Lwakatare ni loser tu acheni aende kwa wachovu wenzio huko Chadema. CUF walikuwepo akina Mapalala, Nyaruba, Akwilombe, Hiza, Msafiri nk wameondoka na CUF bdo ngangari.

Lwakatare ni opportunist tu na kwa uchovu wa vyama vyetu atatengezewa cheo huko chadema nako atavurunda na his final destination ni CCM

Mark my words...

Mkuu uishi kucheua pumba?

Hizo pumba zipo sehemu gani hapo juu?
 
Ama kweli ukiwa mwalimu mchumi ni bora ubakie ktk kazi unayoijua vizuri.. sasa huyu Lipumba anachojaribu kusema ni kipi hapa?..Unataka kuimarisha Chama Bukoba kisha unamwondoa mtu ambaye kafanya kazi yake vizuri kitaifa na huko Bukoba, matokeo yake chama kimemomonyoka huko Bukoba..

Ni ishara zipi za wakati wake yeye kung'atuka! Ni kina nani ambao wako responsible na Uteuzi wa nafasi zao (yeye na Maalim) ktk nyadhifa walizoshika maanake anajigonga kichizi..Uteuzi unaoliondoa jina la aliyekuwa naibu katibu hauwezi kuwepo bila sababu za msingi hasa pale anaposisitiza Lwakatare kafanya kazi yake vizuri tu na ati sababu kubwa ni kukiimarisha chama Bukoba..wamekiimarisha vipi chama kama sii kuzua ugonvi na haya yote yasingetokea kama Lwakatare angebakia ktk majina ya uteuzi na akaja shindwa ktk uchaguzi..Wajumbe ndio sikio la chama ikiwa mtu hafai wajumbe hawataweza kumpakura hata kidogo..

Mkuu Mkandara,
Read between the line, Bukoba Mjini hakuna chama chochote kilichojiimarisha zaidi ya CCM. CUF unayoisikia huko Bukoba Mjini si kama ambavyo ungetegemea kuwa, Bukoba Mjini kuna wafuasi wa Lwakatare tu ambao wanaweza kuwa CHADEMA au hata NCCR- Mageuzi depending na huyo mfuasi yuko chama gani. Kama kweli Lwakatare alifanya kazi nzuri ya kuimarisha CUF Bukoba Mjini tunone kama akiondoka CUF itakuwa the same. Kwa muda wote aliokuwa Naibu Katibu Mkuu Bara alijiimarisha yeye mwenyewe Bukoba Mjini kwa wakati wote na kuacha chama hicho kikizorota sehemu zingine hapa bara, amechangia kuiua CUF bara.
 
Last edited:
Mkuu Mkandara,
Read between the line, Bukoba Mjini hakuna chama chochote kilichojiimarisha zaidi ya CCM. CUF unayoisikia huko Bukoba Mjini si kama ambavyo ungetegemea kuwa, Bukoba Mjini kuna wafuasi wa Lwakatare tu ambao wanaweza kuwa CHADEMA au hata NCCR- Mageuzi depending na huyo mfuasi yuko chama gani. Kama kweli Lwakatare alifanya kazi nzuri ya kuimarisha CUF Bukoba Mjini tunone kama akiondoka CUF itakuwa the same. Kwa muda wote aliokuwa Naibu Katibu Mkuu Bara alijiimarisha yeye mwenyewe Bukoba Mjini kwa wakati wote na kuacha chama hicho kikizorota sehemu zingine hapa bara, amechangia kuiua CUF bara.

Punda, hapa kuna mahali umesema ukweli na uongo mwingi pia.
*Ni kweli wapenzi wengi wa Lwakatare walitoka vyama mbali mbali Bukoba
*Si kweli kwamba Sisi Maf.... wana wanachama wengi Bukoba. Hii ni kujidanganya tu na kujipa moyo. Hapa imenidhihirishia kuwa huijui Bukoba.
*Si kweli kwamba kafu ina wanachama kidogo Bukoba. Nadhani kwa Bara ni kati ya maeneo yaliyo wanachama wengi.
*Si kweli kwamba Lwakatare alijiimarisha binafsi Bukoba, maana hata kafu wenyewe wamekili kuwa alifanya kazi nzuri katika kukiimalisha chama bara. Ni vizuri uelewe si kiongozi au mwanachama mmoja anayeweza kuleta mabadiliko katika chama. Always leaders works together to build a party. Hata Sisi Maf........ akijengwi na Kikwete, mbabaishaji Makamba na Mzee Pius pekee. Wala Chadema si kwamba kinajengwa na Mbowe na Zito au Dr Slaa pekee.
*Ni uongo kuwa Lwakatare amechangia kuiua kafu bara. Ningekubaliana na wewe kama ungeliyasema maneno haya mwaka jana na si kusubiri kaondoka kwenye chama mje na allegation hizi.
 
Bado hutaki kukubali kuwa matandao wa wanangangari Tanzania ni mkubwa na ndo maana vyama vingine vinawaonea gere, havishi kujifananisha nao(kama chadema), CUF ipo kila kona ya Tanzania, chadema hata Rufiji hamjafika.
Ndugu zetu wa BK nawafahamu kwa biashara za namna hii kwa hiyo nanyie chadema mjitayarishe msije mka Mchacha Wangwe huyo Lwakatare siku atakayochagiza kuwakimbia.

Junius,
Unanichekesha sana.
Ni wewe na Lipumba ambao mmesema siku zilizopita kuwa hata Lwakatare akitoka nyie Bukoba mmejijenga imara na hamna wasiwasi maana chama kiko imara BK.
Leo umejikanyaga kwa kusema Ndugu zetu wa BK nawafahamu kwa biashara za namna hii kwa hiyo.
Inaelekea mnazungumza bila kuijua Bukoba vizuri. Nimekwambia katika post yangu nyingine kwamba kama ilivyo Pemba. Kafu = Seif. Na Bk Kafu = Lwakatare. Still not believing?
 
Pili, Lwakatare ndiye aliyekuwa anawasaidia CUF kuua dhana ya kuwa ni chama cha udini. Kuondoka kwake kunaihuisha na kuiimarisha dhana hii. Hizi ni sifa ambazo Akwilombe na Hiza hawakuwa nazo. Kwa hiyo kulinganisha kuondoka kwa Lwakatare na akina Hiza ni njia nzuri kujiridhisha kisiasa, lakini ukweli ni kwamba athari zao kwa CUF hazifanani hata kidogo. Tusubiri tuone.

Ukweli ndiyo huo na CUF kama haitafanya jitihada za wazi kuua dhana hii ya udini, kitabaki chama cha Pemba na pengine Rufiji (kutokana na maelezo ya Junius).

Amandla......
 
Lipumba alisema hayo rohoni akiwa anaumia na kwa lugha nyingine tuseme CUF WAMEFULIA!

W amempoteza mpiganaji wa kweli na alikuwa mtu anayeiunganisha sana CUF tz bara kufuta ile nadharia ya kwamba CUF ni chama cha Pemba na cha waislamu. CUF wamekosa mwelekeo na wana kashafa ya kufadhiliwa na kigogo wa CCM hawajaijibu. Lwakatare shukuru Mungu kakuonyesha njia ya kutokea.

Last time lipumba alisikika akitetea kwa nguvu ufisadi kwa madai ya ubaguzi wa rangi. Hapo sikumwelewa na inatufanya hata sometimes tuamini kwamba unapoendelea kusoma saaana busara zinapungua. Ajibu hoja za lwakatare

Eti wahindi ni wenzetu kasema nani? sisi tukienda India tunakirimiwa hivyo hivyo kama tunavyofanya huku. Aaache kutumia neno Prof halitendei haki.
 
Ukweli ndiyo huo na CUF kama haitafanya jitihada za wazi kuua dhana hii ya udini, kitabaki chama cha Pemba na pengine Rufiji (kutokana na maelezo ya Junius).

Amandla......


Give me a break! hayo mambo ya ku bandwagon kampeni za CCM. Kwa hiyo Chadema nayo ni ya wachaga? Mbona hiyo nafasi ya Lwakatare kaingia somebody Joram i hope sio muislam!

Huyo Kitila "kachanganyikiwa" na masuala ya Housegirl wake sasa anamwaga utumbo tu
 
Pundamilia huna hoja. Lwakatare alikuwa naibu katibu mkuu unasema kaua CUF bara, kwani katibu mkuu ambaye ndiye bosi wake anafanya kazi gani asifanye yeye kukijenga chama bara?
 
Khee. Hivi huo muda wenu lini utafika? Si uliishia pale ulipomalizika uchaguzi wa 2005. Ondokeni Bwana-mnagharibu bahati za CUF

Yani Lipumba angejua hata urais mwaka kesho angeacha asigombee. mie nashangaa hivi kwanini vyama vya upinzani hawataki kuwaachia wanachama wao wagombee urais kila mwenyekiti wa chama anataka na yeye agombee urais kama sisiem. Hawa wapinzani wana wanachama wazuri tena wengine ni wahadhiri vyuo vikuu hebu wawape nafasi nao wagombee urais.
 
Ukweli ndiyo huo na CUF kama haitafanya jitihada za wazi kuua dhana hii ya udini, kitabaki chama cha Pemba na pengine Rufiji (kutokana na maelezo ya Junius).

Amandla......
Nimesema CUF ipo kila kona Tanzania, chadema hata Rufiji hawajafika.
 
Junius,
Unanichekesha sana.
Ni wewe na Lipumba ambao mmesema siku zilizopita kuwa hata Lwakatare akitoka nyie Bukoba mmejijenga imara na hamna wasiwasi maana chama kiko imara BK.
Leo umejikanyaga kwa kusema Ndugu zetu wa BK nawafahamu kwa biashara za namna hii kwa hiyo.
Inaelekea mnazungumza bila kuijua Bukoba vizuri. Nimekwambia katika post yangu nyingine kwamba kama ilivyo Pemba. Kafu = Seif. Na Bk Kafu = Lwakatare. Still not believing?
Bado chama kipo BK na ndo maana Mw'kiti akasisitiza kuwa Lwaks na aondoke lakini asikiharibu chama. Staki uamini kuwa hakutakuwa na chama BK baada ya Lwaks kuondoka, hata wale wawili uliosema hawakunyoosha mikono kumtaka ahame bado wapo.CUF ya Pemba na BK ni tofauti kabisa Pemba kinapendwa chama na si Maalim Seif na kwa taarifa yako tu hata leo Maalim Seif akisema anarudi CCM wapemba hatakuwa pamoja nae na watampiga marufuku kukanyaga Pemba na pengine hata akifa atazikwa Dodoma na si Mtabwe.
 
Back
Top Bottom