cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,670
- 78,169
Nimefurahi umeamia Chadema chama cha Tanzania bara as wewe ni mbara, hao wa cuf wivu nawe waachie huko na kukuonea wivu wa kuwa mbara na cheo ulichokuwa nacho, hii inaonyesha kuwa wameona wafatilie zaidi ushindi zanzibar, na ndio kukuachia wewe mbali na kusahau kuwa umechangia mengi katika chama chao
Natumaini huko chadema wamekukaribisha salama, na weye kazania kuwa muongozi wa jimbo unalotoka aschana na vyeo
hivi chadema si ya wachaga au imechanganya?
Natumaini huko chadema wamekukaribisha salama, na weye kazania kuwa muongozi wa jimbo unalotoka aschana na vyeo
hivi chadema si ya wachaga au imechanganya?