Lwakatare Hajawahi Kusimamia Ndoa Yangu

Lwakatare Hajawahi Kusimamia Ndoa Yangu

Bwana mdogo your better than this..... Hebu uwe unafikiria kwanza kabla hujaandika na kupost vitu vinavyohusu maisha yako. Kunyamaza yaweza kuwa busara zaidi.
 
We dogo umechanganyikiwa
Usimsmizi wa ndoa yako unatuhusu nini
Mbona hata mimi Lwakatare hakusimamia ndoa yangu na sijapost hiyo habari
Sasa tupo katika muda wa kutafakari katiba ya kishenzi iliyotungwa na mafisadi baada ya kutupwa rasimu ya wananchi
Acha kututoa kwenye mstari dogo
Acha kuweweseka msaliti wewe
 
Hii habari haijawa timely,naomba kuuliza
  1. mlikkuwa na uhusiano gani kifamilia na Lwakatare,
  2. vp uliwahi kuishi kwake?
  3. Je una ugomvi nae?
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
Hapa Mkuu Singo, swali la tatu lilikuwa very crucial, lakini sikiliza majibu yake!

  1. sijawahi kuishi kwake. nimewahi kufika kwake mara mbili tu na mara zote sikuwahi kukaa zaidi ya saa mbili. lakini waongo wa chadema wamekuwa wanadanganya humu kuwa nimewahi kuishi kwake.
  2. huyu ndugu ni rafiki yangu tu
Mkuu Jose, hilo swali la tatu ni muhimu sana hujalijibu!, The motive behind hilo swali la tatu, ni kukusafisha wewe kwa kukutaka ujustify ule u mafia uliomfanyia una any justification?!, au ni katika kusaka tuu ushujaa, kama ile kazi nzuri iliofanywa na "Bukoba Boy" kule You Tube?!.

Pasco
 
Hapa Mkuu Singo, swali la tatu lilikuwa very crucial, lakini sikiliza majibu yake!


[/LIST]
Mkuu Jose, hilo swali la tatu ni muhimu sana hujalijibu!, The motive behind hilo swali la tatu, ni kukusafisha wewe kwa kukutaka ujustify ule u mafia uliomfanyia una any justification?!, au ni katika kusaka tuu ushujaa, kama ile kazi nzuri iliofanywa na "Bukoba Boy" kule You Tube?!.

Pasco

hilo swali ana likwepa mkuu,maana anajua alicho kifanya ni unyama na haimpendezi Mungu wake,bila shaka huku kutapa tapa kwake ni matokeo ya laana ya lwax yameanza kujitokeza.
 
View attachment 187933

Wakuu,

Kumekuwa na madai ya uongo na kupotosha hapa kwa muda mrefu hapa kuwa Lwakatare ndiye alisimamia ndoa yangu. madai haya yalitolewa kwa mara ya kwanza na Tundu Lissu hadharani na tangu hapo mashabiki wa chama chetu cha CHADEMA wameendelea kuamini kuwa ni kweli Lwakatare alikuwa msimamizi wa ndoa yangu.

Napenda leo kusema rasmi kuwa ndugu Lwakatare hajawahi kuwa msimamizi wa ndoa yangu kwa maana ya patron (best man) wala kwa maana ya kuwa mfadhili mkuu. aliyesimamia ndoa yangu ni kijana mwenzangu anaitwa Prosper Mberwa (pichani kulia kwangu, na mke wake Savera (pichani kushoto kwa mke wangu). hawa wengine waliosimama nasi ni ndugu zetu wanafamilia wa pande zote mbili.

Nalizimika kusema kuwa Lwakatare alichangia harusi yangu kama wengine na alichangia SH. ELFU 30. namshukuru kama wote walionichangia.Picha hii ni authentic,ilipigwa Morogoro Hotel, jioni ya siku ya ndoa yangu tarehe 28 july,2012.

sasa wanaosema Lwakatare ndiye aliyesimamia ndoa yangu wanapotosha umma kwa sababu gani? uongo huu wa nini? maana siyo vizuri watu wanaoaminika na jamii kudanganya. "you can fool some people all the time, and you can fool all the people for some time, but you can not fool all the people all the times". sasa baadhi anzeni kuona kuwa watu hawa mnaowaamini sana wakati mwingine hudanganya.

kwani we ni nani hadi ujiweke na mipicha yako humu.eti ndoa yako humu inamhusu nani sijui kama utaweza kuisimamia hiyo ndoa kwa upuuzi huuu
 
Mbona unajitetea saaana

kwahiyo picha unaweza tudanganya
weka ilepicha wakati mnafunga ndoa pale mnaposign ama kula kiapo

chonde chonde usifanye ulemchezo wa kuedit
 
Mkuu Joseph Ludovick, asante kwa taarifa ya harusi na kiwango cha baadhi ya michango uliochangiwa!, hii ni muendelezo wa ile "insanity" niliokueleza kule kwenye ile thrad yango nyingine!, heshima ni kitu cha bure, shukrani ni kitu cha bure na kutoa ni moyo na sio utajiri!. Nilikuambia natatizwa na "the motive behind" some of you threads hata kama utadai lengo lako ni safi na unafanya kwa nia njema kabisa, "to tell the truth in good faith!", na hivi ndivyo unavyoonekana hapa, but the "underlying motive" ni very visible!, lengo sii tu ni kuudharau moyo wa kujitolea, na mchango in deeds aliojitolea kwa kujitoa kwenye harusi yako, with dedication, and time spent, hayo yote hukuyaona, hukuyajali, na hukuyathamini, bali pia umekuja kumdhalilisha kwa kuexpose monenary side ili kujionyesha thamani ya mchango wake kwako ni ndogo sana, hivyo kujidistance nae ili kuu justify ule u "Yuda Iskariote" uliomfanyia, ionekane uliyafanya yote yale kwa sababu hakuwa mtu wako wa karibu!.

Kama unajua wazi kuwa mtajwa alikuwa ni mwana kamati kwenye kamati yako, basi amesimamia harusi yako!.

A man insane, hufikia stage ya kutoweza kupambanua jema na baya, and sometimes some of his actions ni threat to himself!.

Wajemeni, kama kuna ndugu wa Joseph Ludovick humu anayenisoma hapa, nawashauri, msaidieni ndugu yenu huyu, he seriously need help!.

Thanks.

Pasco

ZZK chukua ushauri mzuri huu, msaidie ndugu yako.
 
Ulipewa elfu 50/na Mwigulu utese watu wasio na hatia Ukonga ukaziona NYINGI lkn free money elfu 30 unaziona CHACHE
 
View attachment 187933

Wakuu,

Kumekuwa na madai ya uongo na kupotosha hapa kwa muda mrefu hapa kuwa Lwakatare ndiye alisimamia ndoa yangu. madai haya yalitolewa kwa mara ya kwanza na Tundu Lissu hadharani na tangu hapo mashabiki wa chama chetu cha CHADEMA wameendelea kuamini kuwa ni kweli Lwakatare alikuwa msimamizi wa ndoa yangu.

Napenda leo kusema rasmi kuwa ndugu Lwakatare hajawahi kuwa msimamizi wa ndoa yangu kwa maana ya patron (best man) wala kwa maana ya kuwa mfadhili mkuu. aliyesimamia ndoa yangu ni kijana mwenzangu anaitwa Prosper Mberwa (pichani kulia kwangu, na mke wake Savera (pichani kushoto kwa mke wangu). hawa wengine waliosimama nasi ni ndugu zetu wanafamilia wa pande zote mbili.

Nalizimika kusema kuwa Lwakatare alichangia harusi yangu kama wengine na alichangia SH. ELFU 30. namshukuru kama wote walionichangia.Picha hii ni authentic,ilipigwa Morogoro Hotel, jioni ya siku ya ndoa yangu tarehe 28 july,2012.

sasa wanaosema Lwakatare ndiye aliyesimamia ndoa yangu wanapotosha umma kwa sababu gani? uongo huu wa nini? maana siyo vizuri watu wanaoaminika na jamii kudanganya. "you can fool some people all the time, and you can fool all the people for some time, but you can not fool all the people all the times". sasa baadhi anzeni kuona kuwa watu hawa mnaowaamini sana wakati mwingine hudanganya.

ludovic, mm mwezi wa 7 na 8 nilkuwa na harusi 8 zingine za marafiki,wafanyakaz wenzangu na ndugu na zote hakuna ya kukwepa ilinibidi nitoe 40,000 kila harusi ili kuondoa lawama. sasa unapotoa dharau kwa waliokuchangia sio jambo jema. huwez jua lwakatare alikuwa namajukumu gani hadi kutoa 30,000 kama ni kweli. halafu kusimamia harusi sio lazima awe kwenye hio picha,yawezekana alitoa usafili na vitu vingine au alikuletea watu wengi waliokuchangia.shukuru hata kwa kupewa kidogo!
 
sijawahi kuishi kwake. nimewahi kufika kwake mara mbili tu na mara zote sikuwahi kukaa zaidi ya saa mbili. lakini waongo wa chadema wamekuwa wanadanganya humu kuwa nimewahi kuishi kwake. huyu ndugu ni rafiki yangu tu

Dhambi ya usaliti na kuhusika kwako kwenye utekaji na utesaji wa Kibanda vitakusumbua na kukutafuna maisha yako yote... Muhimu ni wewe kufanya kitubia cha dhati na kuomba msamaha kwa matendo dhalili uliyomtendea Kibanda na wengineo
 
I got a schedule to do.....not this ----

Jose you are a ----
 
Nalizimika kusema kuwa Lwakatare alichangia harusi yangu kama wengine na alichangia SH. ELFU 30. namshukuru kama wote walionichangia.Picha hii ni authentic,ilipigwa Morogoro Hotel, jioni ya siku ya ndoa yangu tarehe 28 july,2012.

Kwa kuona kuwa alikuchangia kiasi kidogo ndiyo maana uliamua kumsaliti na kuamua kumfanyia hila/njama za kumbambikia tukio la ugaidi. Jirudi na kutubu makosa yako kijana kabla dunia haijakuumbua zaidi...
 
View attachment 187933

Wakuu,

Kumekuwa na madai ya uongo na kupotosha hapa kwa muda mrefu hapa kuwa Lwakatare ndiye alisimamia ndoa yangu. madai haya yalitolewa kwa mara ya kwanza na Tundu Lissu hadharani na tangu hapo mashabiki wa chama chetu cha CHADEMA wameendelea kuamini kuwa ni kweli Lwakatare alikuwa msimamizi wa ndoa yangu.

Napenda leo kusema rasmi kuwa ndugu Lwakatare hajawahi kuwa msimamizi wa ndoa yangu kwa maana ya patron (best man) wala kwa maana ya kuwa mfadhili mkuu. aliyesimamia ndoa yangu ni kijana mwenzangu anaitwa Prosper Mberwa (pichani kulia kwangu, na mke wake Savera (pichani kushoto kwa mke wangu). hawa wengine waliosimama nasi ni ndugu zetu wanafamilia wa pande zote mbili.

Nalizimika kusema kuwa Lwakatare alichangia harusi yangu kama wengine na alichangia SH. ELFU 30. namshukuru kama wote walionichangia.Picha hii ni authentic,ilipigwa Morogoro Hotel, jioni ya siku ya ndoa yangu tarehe 28 july,2012.

sasa wanaosema Lwakatare ndiye aliyesimamia ndoa yangu wanapotosha umma kwa sababu gani? uongo huu wa nini? maana siyo vizuri watu wanaoaminika na jamii kudanganya. "you can fool some people all the time, and you can fool all the people for some time, but you can not fool all the people all the times". sasa baadhi anzeni kuona kuwa watu hawa mnaowaamini sana wakati mwingine hudanganya.

Kwa hiyo umekaaaaaaaaa ukafikiriiiiiiiiiiiii ukaona uje utuambie leo hii kwani huu uvumi ni wa mwaka gani? na kwa nini useme leo. Toka zako hapa unawaza chadema usiku na mchana haya waza jingine la uandika kesho.
 
Kwani bajeti nzima ya harusi yako ilikuwa ni shilingi ngapi? Manake inawezekana hiyo Tshs. 30,000/- ni zaidi ya nusu ya bajeti nzima ya harusi yako!
 
Back
Top Bottom