Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu nimepokea picha hizi toka Bukoba na kuambiwa kwamba Lwakatare amefika Bukoba na kulakiwa na umati mkubwa wa wafuasi wake pale uwanja wa ndege na kufanya maandamano makubwa ya kumpongeza na kisha kuhutubia mkutano mkubwa sana tangu 2005.
Nasikia kwa hili wafuasi wa Lwakatare walikuwa wanawa beep SISI M waliokuwa wanadhani huyu bwana kaisha kisiasa kwa sababu mshindani wake kwanza ni waziri mtoto au niseme mtoto wa waziri na isitoshe alishawapotosha wana SISI M kwamba alimshinda kaatika kesi ya uchaguzi iliyo mahakamani na anamdai pesa nyingi.
Habari zaidi zinasema pamoja na vitimbwi vingi vinavyofanywa kumaliza umaarufu wake katika jimbo la Bukoba mjini, lakini ni ajabu bado Lwakatale kaonekana ana wafuasi kibao. Wengi ni walala hoi na inasemekana huyu mpinzani wake mkuu wafuasi wake wengi ni wafanyabiashara au kwa jina lingine matajiri.
Ukweli ni kwamba SISI M bado wana shughuli 2010. Wasidhani jimbo la Bukoba mjini ni rahisi tena. Inaelekea jimbo hili ni Pemba ya bara. Lazima waje na mbinu kali ambazo alitumia Hon. Obama.
Haya nawashushia mambo.
View attachment 4133
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4134
Wafuasi wakiwa wamebeba majani ya miti kama moja ya upambaji wa maandano yao.
View attachment 4135
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4136
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4137
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4138
Mheshimiwa Lwakatare akiwa anapungia mkono wananchi kila alikopita katika mitaa ya Bukoba mjini.
View attachment 4139
Gari iliyobeba walinzi wa mh. Lwakatare katika msafara.
View attachment 4140
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4141
Hivi ni baadhi ya vitimbwi vilivyopanba maandamano hayo ya mh. Lwakatare
View attachment 4142
Hapa ni katika viwanja vya uhuru ambako ulifanyika mkutano wa hadhara.
View attachment 4143
Mkutano wa hadhara katika uwanja wa uhuru.
Nasikia kwa hili wafuasi wa Lwakatare walikuwa wanawa beep SISI M waliokuwa wanadhani huyu bwana kaisha kisiasa kwa sababu mshindani wake kwanza ni waziri mtoto au niseme mtoto wa waziri na isitoshe alishawapotosha wana SISI M kwamba alimshinda kaatika kesi ya uchaguzi iliyo mahakamani na anamdai pesa nyingi.
Habari zaidi zinasema pamoja na vitimbwi vingi vinavyofanywa kumaliza umaarufu wake katika jimbo la Bukoba mjini, lakini ni ajabu bado Lwakatale kaonekana ana wafuasi kibao. Wengi ni walala hoi na inasemekana huyu mpinzani wake mkuu wafuasi wake wengi ni wafanyabiashara au kwa jina lingine matajiri.
Ukweli ni kwamba SISI M bado wana shughuli 2010. Wasidhani jimbo la Bukoba mjini ni rahisi tena. Inaelekea jimbo hili ni Pemba ya bara. Lazima waje na mbinu kali ambazo alitumia Hon. Obama.
Haya nawashushia mambo.
View attachment 4133
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4134
Wafuasi wakiwa wamebeba majani ya miti kama moja ya upambaji wa maandano yao.
View attachment 4135
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4136
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4137
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4138
Mheshimiwa Lwakatare akiwa anapungia mkono wananchi kila alikopita katika mitaa ya Bukoba mjini.
View attachment 4139
Gari iliyobeba walinzi wa mh. Lwakatare katika msafara.
View attachment 4140
Hii ni sehemu ya maandamano ya wafuasi wa Lwakatare mjini Bukoba
View attachment 4141
Hivi ni baadhi ya vitimbwi vilivyopanba maandamano hayo ya mh. Lwakatare
View attachment 4142
Hapa ni katika viwanja vya uhuru ambako ulifanyika mkutano wa hadhara.
View attachment 4143
Mkutano wa hadhara katika uwanja wa uhuru.