Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,130
- 41,804
Mwigulu njoo na project mpya, hii imeshafeli...
Kwakweli akipange!
Mwigulu njoo na project mpya, hii imeshafeli...
Kama mimi ningekuwa Mwigulu , ningechukua uamuzi mgumu ! Ningejiuzulu Ubunge na hata uongozi wa Chama ili kujisitiri na Aibu yangu binafsi na kulinda heshima ya CHAMA CHANGU !
Mwigulu hamuogopi Mungu na
ana sifa za ziada za kishetani!
Kwa nini.
1. Kwa mipango yake ya
kishetani ya ugaidi
amesababisha Rwekatare
kuteseka mbaroni kwa takribani
mwezi mmoja sasa. Mtu anaye
weza kutesa
nafsi ya mtu mwingine hana
tofauti na shetani anaye tesa
roho na nyama
za mwili wa binadamu.
2. Kwa mipango yake ya
kishetani, Mwigulu alishindwa
kufikiria maradhi
ya Rwekatare (Kisukari) maradhi
yanayo hitaji namna ya uangalizi
maalumu kwenye vyakula na
hata mazoezi. Ni shetani pekee
ndio mwenye
sifa ya kutomjali binadamu
anaye teseka kwa maradhi.
3. Familia ya Rwekatare na hasa
watoto wameteseka na
kuathirika
kisaikolojia kwa kipindi chote
ambacho baba yao alitegewa
mtego wa
kishetani. Nani mwenye uwezo
wa kupangusa maumivu ya
kisaikolojia
waliyo yapata watoto hao kwa
kipindii chote baba yao alipo
kuwa
anaitwa gaidi?! Ni binadamu
mwenye roho ya aina gani
anaweza kuwa na
furaha huku akijua kuwa watoto
wako wanaumia na kuteseka?
4. Ni binadamu wa aina gani
anayeweza kuandaa shutma za
uongo na
kuwaaminisha watanzania kuwa
niza kweli huku akimtaja Mungu
kuwa
anaweza kumpelekea ushahidi
wake?! Na tangu lini Mungu
akawa na shufaa
ya kupokea ushahidi kutoka kwa
wanadamu?!
5. Imeandikwa, "mpende jirani
yako kama unavyoipenda nafsi
yako"
ikaandikwa tena "Usimshuhudie
mwenzako uongo", ni binadamu
wa aina
gani anaye yafanya haya huku
akiwa amekusudia tena na
kuapa ndani ya
nyumba inayopewa sifa ya
utukufu?! Mtu huyu ana hofu ya
Mungu ndani
yake?!
Mimi namuona Mwigulu kama
shetani kwa kuwa amekuwa na
mipango ya
kishetani ambayo sasa
imekwama pamoja na ushetani
wake.
Ni aibu kwa kiongozi mwandamizi wa chama kushtakiwa kwa kutaka kumpa mtu sumu
Umenivunja mbavu bhojo.
Wakola waitu hivi nimekusevu kwenye sumsung s4,nokia lumia auuuuuu,
Umenivunja mbavu bhojo.
Kweli jasiri haach asili
Zitto ulitaka Lwakatare atoswe na chama na pia chama kifanye uchunguzi wa ndani.Pamoja na kujua kwamba chama kilisimama na wewe katika sakata lako la Buzwagi na ilipovunjwa kamati yako ya POAC lakini uliamua kuendelea kutoa matamko huku kuhusiana na Mawasiliano aliyoanika hadharani Mabere Marando huku ukiweka wazi kuwa kuna njama za kumgeuza rafiki yako Dennis Msacky uliyemuita victim kuwa mtuhumiwa.
Jambo hili lilizua shinikizo kubwa kwenye mitandao la kukutaka ujiuzulu.
Je,baada ya uamuzi wa mahakama bado unataka Lwakatare ajiuzulu?
Je,Ni kwa nini sasa usijiuzulu wewe ili uchunguzwe kwa kauli zako hizi zinazotia mashaka?
Leo serengeti inashuka mpaka raha.
Alivyokua anajishebedua siku ile pale bungeni utadhani yuko kwenye jukwaa la mipasho,haya sasa limemshuka acha avalishwe nepi mtoka pabaya aso na haya kama rafikie wa mashaka mpayukaji nepi na mzee wao chimpanzee."teh,teh,teh.,HUO NDO UZALENDO ALOENDA KUJIFUNZA JKT"???aibu.Mwigulu amewewereka sana bungeni akidai yupo tayari kutoa ushahidi duniani mpaka mbinguni kuwa kulikuwa na njama za kigaidi. Nadhani salamu toka High Court amezipata.
Mwanzo wa ubaya mwisho wake ni aibu....ahsanteni