Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Wote wanaofurahia kubadilishwa kwa masjtaka dhidi ya lwaka ni wauwaji na ni magaidi

Watafiti wa dawa za binadamu huwa wanaanzia utafiti wao kwa wanyama wadogo kama panya na wakifanikiwa wanaanza kutibu watu.

Magamba kupitia daktari wao bingwa, Kinana wanafanya opposite. Wanaanzia na wanyama wakubwa kama tembo, wanawang'oa meno na pembe, baadae wakifanikiwa wanahamia kwa binadamu kung'oa kucha, meno, na macho.
 
kwa kuwa ni mkristo kaachiwa na mwisho wa siku pia hata hilo kosa moja hatakuwa nalo.
ila muislam mwenzetu SHEHE PONDA, ndugu yetu, kipenzi chetu kesho atafungwa tu.
waislam ndani ya tanzania tunaishi kama watumwa.
IPO SIKU.
ni vizuri ukawa unafuatilia matibabu mara kwa mara
 
hii ni habari njema sana na ni dalili ya ushindi hata kwa shitaka lililobaki naamini nalo lita panguliwa tuu. Ni wazi kwenye hili Dpp alikwenda pasipo na kufanya mambo bila kufata sheria, hivi kweli inaingia akili Dpp hajui maana ya ugaidi,DPP hajui kuwa kama hakuna watu kuanzia watatu si ugaidi? Katika hili alitekeleza matakwa ya anao wasikiliza si kwamba hajui maana ya ugaidi.

Na kwa hili lililo baki ni wazi sasa tutakwenda kujua uhalisia au ufake wa hiyo clip na bila shaka hapa tutajua mengi na jina la msaki lili wekwa kwenye hiyo clip kima lengo na soon kila kitu kitakuwa wazi na tutamjua vizuri mwigulu nchemba na sarakasi zao maana hadi sasa sijajua ni clip hipi imetumika kati ya iliyowekwa humu jf na youtube au iliyo pelekwa polisi maana inasemekana ni vitu viwili tofauti lakini tutajua tuu.
 
Hao washitakiji si walisema wamekamilisha ushahidi?inakuaje tena kesi inapanguliwa kabla hata haijaanza.au ugaidi unakua ugaidi akifanya mwislamu.kupanga kuteka nyara ni kupanga kufanya ugaidi.
Sasa wanamshitaki kwa kosa la utekaji,kwani aliteka mtu wapi?ukweli ni kwamba watamuachia tu na kesi itakufa kimiujiza.
Wakati kuna watu wananyimwa dhamana kwa kosa la kuvamia ardhi.
 
Usalama wa Msack na Zitto sasa upo mashakani

Sasa kama unaamini hivi kwanini wasiombe ulinzi wa polisi. kwa mtu anaye jua nyendo za ccm hawezi kushindwa kujua kwa nini jina la msack na zitto lilikuwa muhimu kutajwa kwenye hile clip.
 
watu kama Hawa kina MsemajiUkweli ganga njaa ndo wanaomuyumbisha zitto, kwamba wanamatumani kuwa kwa unafki wao, siku zito akipata hiki atawapa kile. ndugu yangu zitto hizi zakupewa toka kwa hawa wanafki changanya na za kwako (chambeche mkw.re......by the way haya ndo maneno pekee ya maana ambayo mkw.re keshawahi sema katika kipindi chake chooooooote cha magogoni, nearly 10 years now.)

Huyo ndiye mhusika mwenyewe.He was trying to bite what he cannot chew.Msaliti ni Msaliti tu
 
haya sasa ccm mnaona mnavyozidi kujipalia makaa ya mtoto kila kukicha??? mimi sijuh hao washauri wenu wa kisiasa wamesomea wapi kila kitu wanasema ndio mazeeeeeeeeeeee yani wananchi tunatamani 2015 hiwe kesho tuwaone mnavyo hahaha
 
Habari nilizozipata hivi punde wana jf ni kuwa Lwakatare mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa chadema anafutiwa mastaka ya ugaidi na kupewa jinai na kupata mdhamana, CHANZO CHA KUAMINIKA TOKA MAHAKAMANI. WANAO RATIBU MPANGO HUO ILI KUINUSURU SERIKALI NA FEDHEHA YA STAKA LILILOBEBA SURA YA KISIASA.
 
Hao washitakiji si walisema wamekamilisha ushahidi?inakuaje tena kesi inapanguliwa kabla hata haijaanza.au ugaidi unakua ugaidi akifanya mwislamu.kupanga kuteka nyara ni kupanga kufanya ugaidi.
Sasa wanamshitaki kwa kosa la utekaji,kwani aliteka mtu wapi?ukweli ni kwamba watamuachia tu na kesi itakufa kimiujiza.
Wakati kuna watu wananyimwa dhamana kwa kosa la kuvamia ardhi.

wana matatizo makubwa kwanza hawajui maana ya ugidi.
unaamini utumwa unaweza ukafanya mtu aonekane mjinga public presecutor hajui maana ya ugaidi?
 
Viroba ndio vimeisha sasa kaamka analeta habari za jana kama breaking news.
 
Sijui Lwakatare atajiskiaje kuona kwamba kuna kiongozi mnafiki alikua nyuma ya mpango huu
 
safi sana mahakama kuu kwa kutenda haki kilawakati katika jamii yetu kwani tunakoelekiwa na nyinyi msipotenda haki ndio mtakua mnatumaliza kabisa sisi walala hoi sasa wale ambao walikua wametumia nsafisi hiyo kwaajili ya kuzoofisha chadema vichwa vimeanza kuwauma mungu yuko pamoja na si walala hoi
 
haya sasa ccm mnaona mnavyozidi kujipalia makaa ya mtoto kila kukicha??? mimi sijuh hao washauri wenu wa kisiasa wamesomea wapi kila kitu wanasema ndio mazeeeeeeeeeeee yani wananchi tunatamani 2015 hiwe kesho tuwaone mnavyo hahaha


magamba wameweka matumaini yao kwenye kutumia katiba mpya fake, tume ya uchaguzi fake, TISS fake na jeshi la policcm fake...but tutakomaa nao tu kikamandakamanda. polepole hata hizi institutions za kitaifa zimeanza kujitambua kuwa wao si watumishi wa ccm wala cuf wala cdm wala tlp wala chausta bali ni watumishi wa serikali, ni watumishi wa watanzania. kitaeleweka tu no way kwa sababu mimba imeshafikisha miezi tisa sasa, mama lazima azae.

dhambi kubwa kuliko zote duniani ni UOGA...By G Lema.

nakala kwa RITZ.
 
hakika ile tomahawk missile aliyoidondosha mabere marando(zile number za simu za watu wanaoshiriki matukio ya kishetani) has reduced everything to ground level.
 
Back
Top Bottom