Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa CHADEMA waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.Mwanafamilia mmoja wa Lwakatare huku akibubujikwa machozi akasema mkono wa Mungu umeonekana dhidi ya shetani mtoa roho za watu.Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.
hakika ile tomahawk missile aliyoidondosha mabere marando(zile number za simu za watu wanaoshiriki matukio ya kishetani) has reduced everything to ground level.
kweli kabisa mkuu,shame on mwigulu nchembawatu wanatumia akili za degree za kukremu na vyeti vya kununua kutunga upuuzi wasioweza kuutetea!!! hawajui cdm kuna watu wamekaa madarasani kubukua elimu za kiukweee!! hizi elimu za magamba za madesa kaaaaaaaazi kwl kwl.
Ritz dont hunt what you cant kill baba, neither should you expect wishes to be horses....
cc chemba
Yani huyu DPP kumbe msanii ,anabambikia watu kesi.kama kesi ni dhaifu kiasi cha kutupwa ndani ya mda mchache maanake DPP ni kihiyo na ni msanii mzuri anaetumiwa na wanasiasa.
Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.
Huyu Mwigulu ni very S.ER.U.KAM.B.A!alidiriki kusema ndani ya bunge kuwa yupo tayari kutoa USHAHIDI hata MBINGUNI.
Tulianza na MUNGU na tutayasafisha Magamba kwa nguvu za MUNGU. PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEES!!!!
Lwakatare ni gaidi tu
Hiki kikosi we acha tu ... shetani hakatishi
Za kitalamu zimewashinda naona mumeamuwa kujifariji kwa kuzipiga kavu kavu tu.Hii inaitwa bora liende.