Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

mungu wa magaidi? Mungu wa walisha sumu? Mungu wa watekaji?
Kuhusu Sumu kamuulize Mwakyembe aliyempa ni nani?.
Ugaidi Rage alikuwa anamtisha nani kwenye mkutano wa hadhara?.
Kuna na ugaidi dhidi ya wanyama pori (MAJANGIRI) je unawajua?.

Ni kweli hawa wote wa MUNGU!.
 
Bado kuna toilet pepa wa magamba wanaleta ushabiki wa kizembe,endeleeni kutafuta ugali wenu wazee akili ndogo

Kamwe akili ndogo haiwezi kupambana na akili kubwa.njooni kivingine sasa!!
 
Nadhani kamanda Zitto alikuwa na haraka ya kutaka Lwakatare asimamishwe wakati hajawa well informed, alikuwa bado yuko kambini JKT.

Bila shaka atakuwa amejifunza kitu kupitia hukumu hii ya mahakama kuu na akumbuke kwamba viongozi wenzake hawakushinikiza ajiuzulu ama awajibishwe wakati alipotuhumiwa kupokea rushwa katika kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma POAC.

Kama alifanya hivyo kwa kusukumwa au shinikizo la watu fulani ama yeye mwenyewe basi awe makini mara nyingine kujiingiza katika mambo yenye utata kama hili.

of course the boy is ageedibly smart upstairs, no one can deny that but, unfortunately, as its widely a known fact, kwamba kizuri nacho pia hakikosi kasoro. kwa maana hiyo basi jamaa naye pia anazo kasoro nyingi tu na kubwa kuliko zote ni hii ya u-superioty complex. he is too arrogant kuweza kujizuia mihemko, tamaa za kutaka mambo ya harakaharaka na kujiona yeye ndiye yeye; kwamba eti kafanikisha sana kuliko wengine na kwa hiyo eti anastahili sana kuliko wengine. of course, to be sincere, in a way this is true lakini the truth inachafuliwa na tabia ya jamaa kukosa kuwa humble na reserved. sisi wengine, ambao ni wakweli kwake, tunamsemaga kwa uwazi si kwa sababu tuna mchukia ila tunamtaka ajifunze, ajitulize ili azidi kuwa mtu muhimu sana katika harakati za ukombozi na ujenzi wa taifa jipya la Tanzania. Kimsingi wanamapinduzi wengi tunamkubali, tunamheshimu, Tunampenda na tunamhitaji sana. kitu tunachomwomba kuliko vyote ni kuwa atulie, atulize bolu (play it cool zito) na mara zote aitangulize CDM mbele naye aje nyuma, tena kwa mbaaaaaaali taratibu. akifanya hivyo sisi wanamapinduzi tutazidi kumpenda na haitachukua miaka mingi kabla hatujamvuta kwenye kiti cha mbele kabisa kwa sababu ni kweli kuwa, with time, the guy deserves and is, of course, capable. only tu atulie, asiwe kama kumbikumbi kutaka kuruka angani haraka coz, after all, kumbikumbi huruka na huliwa.
 
''Ikithibitika kuwa video hiyo ni feki na nimeitengeneza najiuzuru ubunge, unaibu katibu mkuu na nina acha siasa na nakwenda kuokoka upya’’ Mwigulu Nchemba, 09/04/13 19:29. JF
 
Zitto ulitaka Lwakatare atoswe na chama na pia chama kifanye uchunguzi wa ndani.Pamoja na kujua kwamba chama kilisimama na wewe katika sakata lako la Buzwagi na ilipovunjwa kamati yako ya POAC lakini uliamua kuendelea kutoa matamko huku kuhusiana na Mawasiliano aliyoanika hadharani Mabere Marando huku ukiweka wazi kuwa kuna njama za kumgeuza rafiki yako Dennis Msacky uliyemuita victim kuwa mtuhumiwa.

Jambo hili lilizua shinikizo kubwa kwenye mitandao la kukutaka ujiuzulu.

Je,baada ya uamuzi wa mahakama bado unataka Lwakatare ajiuzulu?

Je,Ni kwa nini sasa usijiuzulu wewe ili uchunguzwe kwa kauli zako hizi zinazotia mashaka?
 
mnatakakuendelea na matamko,maendamano,migomo,sumu,kugawa namba za watu, wizi wa wake za watu,matumizi mabaya ya ruzuku na misuguano isiyoisha .r.i.p.chadema
 
Bado kuna toilet pepa wa magamba wanaleta ushabiki wa kizembe,endeleeni kutafuta ugali wenu wazee akili ndogo

Kamwe akili ndogo haiwezi kupambana na akili kubwa.njooni kivingine sasa!!
Umeona eh............. ngoja tuendelee kuwaunga mkono ili waongeze malipo maan leo imekuwa BLUE WEDNESDAY kwao!.
 
Kuna watu humu ukiandika
mazuri ya CHADEMA na ukaandika mabaya ya CCM, wanakuona ni wa kawaida
kwa kuwa unaandika wanayoyapenda wao. Lakini siku utakapoandika mabaya
ya CDM na kuyasifia mazuri ya CCM, hata kama yana ukweli, watu watakujia
juu. Wanadhani ukiwa CHADEMA basi unatakiwa uwe mnafiki na kusifia kila
kitu hata kile chenye kutishia mstakabali wa chama.

Ninajua wengi hivi sasa wanapenda mageuzi na wanayatafuta kwa hali na
mali, kiasi cha kwamba wapo tayari kuona chadema inaingia madarakani
despite mapungufu yake. Lakini mageuzi ya namna hii yatatuumiza. kama
hatutaclear baadhi ya weakness zetu, basi tunaweza kuingia madarakani
halafu tukafanya vibaya kuliko hata hao CCM. Jifunzeni kutoka kwa
Fredrick Chiluba kule Zambia.

Ni lazima tujenge utamaduni wa kukosoana. Na ni lazima tutambue kwamba
CHADEMA kinaongozwa na binadamu wenye tabia kama za wale wa CCM.
Kunahitajika kuonyana na kukaripiana ili kurudishana kwenye mstari na
kuweza kujitofautisha na CCM. Kama tutaamini kila wafanyacho chadema ni
kizuri, na hata wakikosea tunatafuta namna ya kuyapaka mafuta makosa
yao, basi tutakimaliza hiki chama yumkini hata ikulu kinaweza kisiingie.
Tukosoane ili tujengane.
cc.
Kdm255
nakubaliana na wewe, udhaifu wa chama na viongozi ni lazima usemwe, hii itaisaidia chadema kukua kuwa imara zaidi kuliko kusifiana tu
 
mnatakakuendelea na matamko,maendamano,migomo,sumu,kugawa namba za watu, wizi wa wake za watu,matumizi mabaya ya ruzuku na misuguano isiyoisha .r.i.p.chadema

Ungetoa RIP kwanza kwa CCM ambayo tayari iko ICU kuliko CDM ungeeleweka.
 
Back
Top Bottom