Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

of course the boy is ageedibly smart upstairs, no one can deny that but, unfortunately, as its widely a known fact, kwamba kizuri nacho pia hakikosi kasoro. kwa maana hiyo basi jamaa naye pia anazo kasoro nyingi tu na kubwa kuliko zote ni hii ya u-superioty complex. he is too arrogant kuweza kujizuia mihemko, tamaa za kutaka mambo ya harakaharaka na kujiona yeye ndiye yeye; kwamba eti kafanikisha sana kuliko wengine na kwa hiyo eti anastahili sana kuliko wengine. of course, to be sincere, in a way this is true lakini the truth inachafuliwa na tabia ya jamaa kukosa kuwa humble na reserved. sisi wengine, ambao ni wakweli kwake, tunamsemaga kwa uwazi si kwa sababu tuna mchukia ila tunamtaka ajifunze, ajitulize ili azidi kuwa mtu muhimu sana katika harakati za ukombozi na ujenzi wa taifa jipya la Tanzania. Kimsingi wanamapinduzi wengi tunamkubali, tunamheshimu, Tunampenda na tunamhitaji sana. kitu tunachomwomba kuliko vyote ni kuwa atulie, atulize bolu (play it cool zito) na mara zote aitangulize CDM mbele naye aje nyuma, tena kwa mbaaaaaaali taratibu. akifanya hivyo sisi wanamapinduzi tutazidi kumpenda na haitachukua miaka mingi kabla hatujamvuta kwenye kiti cha mbele kabisa kwa sababu ni kweli kuwa, with time, the guy deserves and is, of course, capable. only tu atulie, asiwe kama kumbikumbi kutaka kuruka angani haraka coz, after all, kumbikumbi huruka na huliwa.

Mheshimiwa Zitto....Maneno KUNTU haya...
 
Last edited by a moderator:
mnatakakuendelea na matamko,maendamano,migomo,sumu,kugawa namba za watu, wizi wa wake za watu,matumizi mabaya ya ruzuku na misuguano isiyoisha .r.i.p.chadema

Huna mpya kajipange uje kivingine hivi ni umelala doroooooo
 
tulitegemea hili la kumfutia mashtaka lifanyike ,hongera wapambanaji wa cdm hakuna kurudi nyuma .
 
Yeyote aliyepo TZ asikiunge mkono chama tawala jana nimemsikia mbunge kamshikia bango LUKUVI anaongoza kubambikia watu kesi huko ISIMANI hatujui Mwigulu kawatia ndani wangapi? Bibi na babu mnisikie mjomba mwanasumaku ujiuzulu hata nafasi yako ya ujumbe wa nyumba kumi kule Kazuramimba
 
Watanzani hasa vijana wameumbwa kushabikia mambo hata wasiyo yajua.
 
Mpaka sasa ni Lwakatare na CDM 3 : 1 Mwigulu Nchemba na CCM
Katika uwanja wenu wa nyumbani.

tunapanda pamosi, tunashuka pamosi na tunabana kiungoni pamosi...kama barca vile, ya enzi zile lakini, tunapress tu waaa, waaa, mara kituuuu!! watu weweeeeeeeeee......
 
Mahakama Kuu ya Tanzania
imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa
Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.

Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja
tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.

Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA
walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa CHADEMA
waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.

Mwanafamilia mmoja wa Lwakatare huku akibubujikwa machozi akasema mkono
wa Mungu umeonekana dhidi ya shetani mtoa roho za watu.

Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano
ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter
Kibatala na Naronyo Kicheere.

Mungu ni mwema! Huu ni mwanzo wa ushindi dhidi uovu na dhuluma
 
Tunawapigia BUNGENI,.. Tunawapigia MAHAKAMANI.... Tunawapigia KWA WANANCHI maskini.... Dakika 90+ Chadema MABINGWA wa Siasa Tanzania.
 
-
Kuna ugonjwa wa akili umeingia, Mtu masaa 24 anawaza UKRISTU/UISLAM alltime.. Ukristu wenu na Uislam wenu Pelekeni huko Kwenye Nchi Zenu.. SISI NI WATANZANIA..

Dini hizi ni propaganda Za kiutawala tu, habu acheni mambo ya Dini-Dini embu njooni wote TUACHENI DHAMBI, TUMWAMINI NA KUMFUATA YESU.. Yesu SIO ukristu wala Uislam Yesu ni YESU TU.. !

Wewe ni kiboko, jinsi ulivyoanza na jinsi ulivyomaliza majanga matupu..
 
Again, Nazipongeza Mahakama zetu, kwa kurudisha Misingi ya HAKI na kufuata Sheria na Katiba za Nchi.
Kimsingi ni kama Kesi Imekwisha aka Kiwshiney, maana Hoja kuu ya Ugaidi imekwisha, na Kesi ya Madai au Jinai ina dhamana. Kikubwa ni kujipanga kwa Kesi iliyobaki.
Hongera Kamanda Lwakatare, kila la Kheri uungane na Familia na Ndugu na Jamaa na Marafiki katika shughuli zako za Kifamilia na kujenga Nchi yetu.




Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.

Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.

Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa CHADEMA waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.

Mwanafamilia mmoja wa Lwakatare huku akibubujikwa machozi akasema mkono wa Mungu umeonekana dhidi ya shetani mtoa roho za watu.

Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.
 
pigo kubwa sana kwa mwigulu na vijana wake wa lumumba wa hapa mtandaoni, aya singo ya ugaidi imeisha. njooni na nyingine. mkono wa bwana wetu yesu kristo upo juu yetu, naye atatupigania kila siku.
 
Back
Top Bottom