Well said masopakyindi so calm today. I hope you get better soon!.Mbombo ngafu!!
Hongreni lakini and may the better side win.
Maskini mnajitahidi hivyohivyo ili mradi msije kosa posho ya leo......limewashukaje leo'
Ni akili ndogo kutaka kuongoza akili kubwa.Mwigulu move zake zinachuja haraka sijui kwann?
CCM imebuma!
Wenzako wote wamekimbilia Facebook kule kwenye Tanuru la Mavi, wewe bado upo hapa? kweli wewe una roho ngumu.Subirini hukumu na bado na ile kesi ya uchochezi ya padri na DJ wanaenda jela
Tehe tehe tehe tehe mpaka kesho asubuhi....Acha matumizi mabaya ya kichwa wewe....Hata Yesu alishtakiwa acha Rwakatare.....Hakuna aibu hapo aibu ni kwa waliomstaki kwa mashtaka ya uongo na ambayo hayapo!
Chadema wamehonga ili lwakatare abadilishiwe mashtaka
Ni aibu ya mwaka kwa Zitto Kabwe.Anajutia kuvujisha barua maana hakujua kama ingeishia hivi sasa waliotaka ajiuzulu walikua na Hoja.Zitto jiuzulu kwa kitendo chako cha kutoa shutuma kwa ofisi ya katibu mkuu wa chama chako upishe uchunguzi huru
Unaamini kuwa serikali yetu na mihimili yake (hasahasa mahakama) inaongeka?.Chadema wamehonga ili lwakatare abadilishiwe mashtaka
Asante kwa taarifa mkuu........Hoja hii inaungwa mkono?.......Ndiyooooooooooooooooo
Kesi nyingi wanazoshinda wana colude na mahakama na majajiCHADEMA uliwahi kusikia lini wanahonga majaji? Akili za UlukUVI usije nazo hapa.
Kwani ni CCM au ni Mwigulu? Ukisoma gazeti la Dira ya Mtanzania la tarehe 6-12 Mei 2013 ukurasa kwa 1 utaona kuwa Mwugulu anadai analo bomu jingine ambalo akililipua CDM itasambaratika. Bila shaka hili ndilo aliloomba aombwe kabla hajalilipua. Kulingana na gazeti hilo anawatumia Juliana Shonza na Mtela Mwampamba. Kwa hiyo sherehe ya kufutiwa baadhi ya mashataka bwana Lwakatare isiwe kubwa sana but with reservations.:humble:
Chadema wamehonga ili lwakatare abadilishiwe mashtaka