Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

TISS, wamepata pigo kubwa sana, Nchimbi kapata pigo kubwa sana, Mwigulu hapa Dodoma anahanya hanya.

Viva CHADEMA mpango mtakatifu na daima hakuna anayeweza kukabiliana nao isipokuwa Mungu pekee.
 
leo nipo radh kupata ban endapo tu nitaona gamba anaongea utumbo kweny h thread

KLuna wakati huwa natamani kupolomosha matusi kadri ya uwezo wangu lakini bahati mbaya wazazi wangu huwa wanaingia JF sana ndicho hunifanya niwe mvumilivu na kejeri za magamba na we nakuomba tanguliza busara zaidi kuliko jaziba na ukipenda tukana kwa akili....
 
wabongo tusichoke kuwaunga mkono watetezi wa haki zetu,pole sana Lwakatare,wa tz wengi sana tupo tayari kwa mabadiliko, tumechoka kupuuzwa, kuonewa na kuhujumiwa raslimali zetu mkombozi wetu ni CHADEMA, wananchi tuzidi kuwaunga mkono viongozi wenye upeo wa juu, tusikubali hadaa za wsio na mashiko:gossip:
 
Mungu ni mwaminifu sana, maombi ya watz hakika yamesikika, sasa waje na swaga lingine maana hili nimepigwa chini wajue tu kwamba watz wa sasa ni waelewa sana na wanajua hujuma zote zinazofanywa na ccm pamoja na timu zao za umafia.
WASALIMIE SANA MWIGULU,
"KUCHAGUA CCM NI KUANDAA MAUTI YAKO NA FAMILA YAKO"
 
Lukolo😛ata picha kidogo.
CCM hawana huruma na raia yeyote yule labda mafisadi wenzao.
1. Muulize mrs Amran Kombe atakujuza.
2. Waulize akina Jenerali Ulimwengu, Hussein Bashe, Ezekia Wenje na wengineo walioambiwa siyo raia! Nchi hii! CCM!
3. Waulize akina Kubenea, Dr Ulimboka, Kibanda etc
4.Orodha ni ndefu! Waulize walimu,madaktari,wafanyakazi wa ngazi ya chini,wakulima,wafanyabiashara,askari wa rank on file i.e wale wa kirungu, CSEE 2012 Candidates, ACSEE 2013. Waulize hata tembo wetu, eti hata twiga siku hizi! Hadi simba wazee!Uliza yeyote yule kasoro fisadi WAISIFU CCM KWA LIPI?. Ndugu zangu CCM hawastahili sifa hata kama watajenga madaraja mawinguni! Hata kama watajenga vyuo vikuu kama UDOM, NELSON MANDELA etc kila mkoa. Watu wengi sana wamebambikizwa kesi nzitonzito na police force kwa maelekezo ya CCM. Hili hali wezi toka CCM wakiachwa. CCM WANASTAHILI LAANA TU.
 
Kwa kiongozi mwanamizi kama lwaka ni aibu na fedheha kukutwa na kosa la kutaka kulisha mtu sumu...ni doa kubwa sana kwa chama chake
 
Mahakama kuu imeamua kuyafutilia mbali mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili bwana Lwakatare(CHADEMA). Sasa hivi amebakiwa na shitaka moja la utekaji(JINAI) ambalo limepewa dhamana.
 
CCM wanajibomoa kwani wameshazoea SI-HASA na kutegemea Poli-CCM.
Bado Selekasi za Arusha maana zile za Zanzibar zimeshaisha.
 
acha kukurupuka wewe...breaking news kweli hizi au umetoka kulala?uwe una tabia ya kupitia post zilizopita
 
Kwa kiongozi mwanamizi kama lwaka ni aibu na fedheha kukutwa na kosa la kutaka kulisha mtu sumu...ni doa kubwa sana kwa chama chake

pia ni kashfa kubwa kwa TAIFA tajiri lenye Rasilimali nyingi kuwa MASKINI. Kidumu chama cha Mapinduzi.
 
Back
Top Bottom