Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

Dah,cc huku tunatoana macho wakati hamas anaendelea kuchezea kichapo,ni heri na sisi tuendelee kuifaidi week end
tanzania ni moja tuipende tuitunze,na tusiwachoze wenye nguvu bila sababu wasije wakatudunda.
 
huo unabii si kweli wala israel hawana mpango wa kubomoa msikiti wa jerusalem.labda aje akae madarakani kiongozi kichaa.

In fact waisrael wameandaa plan B ya jinsi watakavyougawa mji wa jerusalem sehemu mbili kati yao na wapalestine.

umekuwa msemaji wao?
 
Teh teh teh! Mungu atashuka kwa hasira. Kweli dini ni kilevi. Kwa hayo unayoongea lazima utakuwa umelewa ulevi huo.
hata kipindi cha Nuhu/Noa watu kama wewe walikuwepo na walimwambia Nuhu mlevi, siku gharika ilipoanza waliteketea kama mshumaa uteketeavyo mbele ya moto mkali.

haya yote mkuu yalishatabiriwa na ni kweli mataifa ya kiarabu yakishirikiana na urusi, iran na mashariki ya mbali (china) kuna kipindi ambacho kimekaribia sana yataungana kuishambulia israel na israel hawatastahimili kwasababu jeshi hilo litakuwa kubwa mno na lenye nguvu mno. hiyo marekani unayoiona inaisapoti israel kuna kipindi pembe yake moja itavunjia (uwezo wake utapungua kinguvu) hivyo israel itabaki peke yake na atakayekuja kuiokoa israel ni Mungu wa Israel tu (Mungu wa baba zao Ibrahim Isaka na Yakobo). hayo yametabiriwa kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana, kitabu cha Ezekiel na kitabu cha Daniel miaka mingi sana hata kabla ya Yesu Mungu alishaongea kupitia manabii wake na utabiri huo ukatunzwa ndio vitabu vinavyotumika hata leo hii. vita ya al magedon ipo karibu sana, na ile ya gogu na magogu iliyotabiriwa ktk Bible takatifu. isipokuwa, Mungu atayaadhibu mataifa yatakayoivamia israel robo tatu yao itateketezwa na watakuwa kwenye wakati mguku kuliko kitu chochote kile.
 
hata kipindi cha Nuhu/Noa watu kama wewe walikuwepo na walimwambia Nuhu mlevi, siku gharika ilipoanza waliteketea kama mshumaa uteketeavyo mbele ya moto mkali.

haya yote mkuu yalishatabiriwa na ni kweli mataifa ya kiarabu yakishirikiana na urusi, iran na mashariki ya mbali (china) kuna kipindi ambacho kimekaribia sana yataungana kuishambulia israel na israel hawatastahimili kwasababu jeshi hilo litakuwa kubwa mno na lenye nguvu mno. hiyo marekani unayoiona inaisapoti israel kuna kipindi pembe yake moja itavunjia (uwezo wake utapungua kinguvu) hivyo israel itabaki peke yake na atakayekuja kuiokoa israel ni Mungu wa Israel tu (Mungu wa baba zao Ibrahim Isaka na Yakobo). hayo yametabiriwa kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana, kitabu cha Ezekiel na kitabu cha Daniel miaka mingi sana hata kabla ya Yesu Mungu alishaongea kupitia manabii wake na utabiri huo ukatunzwa ndio vitabu vinavyotumika hata leo hii. vita ya al magedon ipo karibu sana, na ile ya gogu na magogu iliyotabiriwa ktk Bible takatifu. isipokuwa, Mungu atayaadhibu mataifa yatakayoivamia israel robo tatu yao itateketezwa na watakuwa kwenye wakati mguku kuliko kitu chochote kile.
Unajuwa mkuu! kinachonifanya niseme hivyo, siamini kwamba anachokifanya Myahudi hivi sasa kua Mungu anakikibali. Nijuavyo mimi ni mwema.
 
huo unabii si kweli wala israel hawana mpango wa kubomoa msikiti wa jerusalem.labda aje akae madarakani kiongozi kichaa.

In fact waisrael wameandaa plan B ya jinsi watakavyougawa mji wa jerusalem sehemu mbili kati yao na wapalestine.
unfortunately haufuatilii siasa za israel. kitu cha kwanza ambacho israel hawatakuja kukifanya ktk maisha yao ni kuugawa mji wa yerusalem. jambo hilo hawataki kulisikia kwasababu wanaamini Jerusalem ni mji wa wayahudi tu na ni mji mtakakatifu wa Mungu. kwenye maandiko ya Biblia/torah Mungu amekataza kabisa kuugawa mji huo vipandevipande na alishaahidi atakayefanya hivyo ataadhibiwa. wanalijua hilo,ukiona wanasema wanataka kuugawa mji ni changa la macho tu kwani leo wanasema tutaugawanya kesho yake wanajenga makazi ya wayahudi na wanataka kuna siku wapalestina watakuja kujistukia ------------ wote eastern jerusalem hivyo jerusalem yote kukaliwa na wayahudi. kama haujui huo ndio mpango walio nao.

unakumbuka mwaka 2006 Ariel sharon aliwaondoa wayahudi westbank halafu akawa na mpango wa kuugawa mji wa Jerusalem, amini usiamini alipigwa na Mungu akapata kiarusi amekufa bila hata kuwa na akili ya kuamka kitandani. ukiugusa Mji wa Jerusalem unagusa mboni ya jicho la Mungu. amini usiamini. hivyo kuugawa au two state solution unayoisikia kwa wayahudi ni longolongo tu haitakuja kutokea na kadiri siku zinavyoenda hata west bank itakuwa imejaa wayahudi. wengi wanatoka nchi nyingine wanarudina wanahitaji makazi.
 
mbona hujajibu maswali yangu? Lugha, Utamaduni, Imani etc ni zipi?

What are peculiar aspects of Palestines that identify them as a nation which are peculiar exclusively to them and not to arabs? JIBU KWANZA HILI
ujue arab speaking peoples wametapakaa eneo kubwa sana la mashariki ya kati.hata huyo abrahamu asili yake ni mkalidayo wa irag na mpaka leo jamii hiyo ipo japo wanafahamika tu kama waarabu ila lugha wanayoongea ni tofauti kidogo na wanayoongea yemen,ama misri,kuwait ,saud etc.wanaweza kuwa waarabu lakini wao kwa wao wanajuana huyu mmisri,yule myemen etc.
 
unfortunately haufuatilii siasa za israel. kitu cha kwanza ambacho israel hawatakuja kukifanya ktk maisha yao ni kuugawa mji wa yerusalem. jambo hilo hawataki kulisikia kwasababu wanaamini Jerusalem ni mji wa wayahudi tu na ni mji mtakakatifu wa Mungu. kwenye maandiko ya Biblia/torah Mungu amekataza kabisa kuugawa mji huo vipandevipande na alishaahidi atakayefanya hivyo ataadhibiwa. wanalijua hilo,ukiona wanasema wanataka kuugawa mji ni changa la macho tu kwani leo wanasema tutaugawanya kesho yake wanajenga makazi ya wayahudi na wanataka kuna siku wapalestina watakuja kujistukia ------------ wote eastern jerusalem hivyo jerusalem yote kukaliwa na wayahudi. kama haujui huo ndio mpango walio nao.

unakumbuka mwaka 2006 Ariel sharon aliwaondoa wayahudi westbank halafu akawa na mpango wa kuugawa mji wa Jerusalem, amini usiamini alipigwa na Mungu akapata kiarusi amekufa bila hata kuwa na akili ya kuamka kitandani. ukiugusa Mji wa Jerusalem unagusa mboni ya jicho la Mungu. amini usiamini. hivyo kuugawa au two state solution unayoisikia kwa wayahudi ni longolongo tu haitakuja kutokea na kadiri siku zinavyoenda hata west bank itakuwa imejaa wayahudi. wengi wanatoka nchi nyingine wanarudina wanahitaji makazi.
sharon alikua ni mzee sana na hangeweza kuishi milele.

Mbona hata akina Ben gurion,golda meir walikufa,au nao walipewa pigo na mungu?.
Kila mtu atakufa,usipokufa kwa ajali,magonjwa ama vitani lazima utazeeka na utakufa tu.
Katika history ya israel hakuna mtu ametetea uwepo wa israel kama sharon.
 
hata kipindi cha Nuhu/Noa watu kama wewe walikuwepo na walimwambia Nuhu mlevi, siku gharika ilipoanza waliteketea kama mshumaa uteketeavyo mbele ya moto mkali.

haya yote mkuu yalishatabiriwa na ni kweli mataifa ya kiarabu yakishirikiana na urusi, iran na mashariki ya mbali (china) kuna kipindi ambacho kimekaribia sana yataungana kuishambulia israel na israel hawatastahimili kwasababu jeshi hilo litakuwa kubwa mno na lenye nguvu mno. hiyo marekani unayoiona inaisapoti israel kuna kipindi pembe yake moja itavunjia (uwezo wake utapungua kinguvu) hivyo israel itabaki peke yake na atakayekuja kuiokoa israel ni Mungu wa Israel tu (Mungu wa baba zao Ibrahim Isaka na Yakobo). hayo yametabiriwa kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana, kitabu cha Ezekiel na kitabu cha Daniel miaka mingi sana hata kabla ya Yesu Mungu alishaongea kupitia manabii wake na utabiri huo ukatunzwa ndio vitabu vinavyotumika hata leo hii. vita ya al magedon ipo karibu sana, na ile ya gogu na magogu iliyotabiriwa ktk Bible takatifu. isipokuwa, Mungu atayaadhibu mataifa yatakayoivamia israel robo tatu yao itateketezwa na watakuwa kwenye wakati mguku kuliko kitu chochote kile.
kwasasa israel wanajenga uhusiano na russia sasa sijui kama huo unabii utatimia.haya maneno yakumbuke utakapofikisha miaka 90 na hujaona unabii huo ukitimia.
 
ujue arab speaking peoples wametapakaa eneo kubwa sana la mashariki ya kati.hata huyo abrahamu asili yake ni mkalidayo wa irag na mpaka leo jamii hiyo ipo japo wanafahamika tu kama waarabu ila lugha wanayoongea ni tofauti kidogo na wanayoongea yemen,ama misri,kuwait ,saud etc.wanaweza kuwa waarabu lakini wao kwa wao wanajuana huyu mmisri,yule myemen etc.

Hili ndo jibu? Elungata be serious
 
Last edited by a moderator:
kwasasa israel wanajenga uhusiano na russia sasa sijui kama huo unabii utatimia.haya maneno yakumbuke utakapofikisha miaka 90 na hujaona unabii huo ukitimia.

soma vitabu husika uelewe, halafu nahitaji majibu ya maswali yangu
 
soma vitabu husika uelewe, halafu nahitaji majibu ya maswali yangu
hiyo habari ya magog zilikua na ngano tu za kale,kipindi hicho tawala za eneo hilo zikipigana.haina uhusiano na unabii ujao.huyo magog alikua ni mmoja wa watoto wa japhet.

This is the account of
Shem, Ham and
Japheth, Noah’s sons,
who themselves had
sons after the flood.
The sons of Japheth:
Gomer, Magog, Madai,
Javan, Tubal, Meshech
and Tiras.[3]
“
 
Hili ndo jibu? Elungata be serious
unataka kujua palestina wanaongea lugha gani?.kiarabu,palestina na nchi za kiarabu kwa mawazo yako unadhani ni mbali sana.wakati ni kama kisarawe na dar.

Wakazi wa palestine baada ya eneo hilo kuwa conguered na tawala za kiarabu wakawa wamekua absorbed kwa arab culture,wanaita arabisation.so haina maana kuwa wakazi wa hapo kama waamed,wamoabu,caanan,filist etc walitoweka No bali walijikuta wameabsorb culture za waarabu.

The Palestinian people
(Arabic: ﺍﻟﺸﻌﺐ ﺍﻟﻔﻠﺴﻄﻴﻨﻲ, ash-
sha‘b al-Filasṭīn&#299😉, also referred
to as Palestinians (Arabic:
ﺍﻟﻔﻠﺴﻄﻴﻨﻴﻮﻥ, al-Filasṭīniyyūn,
Hebrew: פָלַסְטִינִי&#1501😉, are the
modern descendants of the
peoples who have lived in
Palestine over the centuries,
and who today are largely
culturally and linguistically Arab
due to Arabization of the
region.[16][17][18][19][20][21]
[22][23] Despite various wars
and exoduses, roughly one half
of the world's Palestinian
population continues to reside
in historic Palestine, the area
encompassing the West Bank,
the Gaza Strip and Israel.[24] In
this combined area, as of 2004,
Palestinians constituted 49% of
all inhabitants,[25]
encompassing the entire
population of the Gaza Strip
(1.6 million), the majority of the
population of the West Bank
(approximately 2.3 million
versus close to 500,000 Jewish
Israeli citizens which includes
about 200,000 in East
Jerusalem), and 16.5% of the
population of Israel proper as
Arab citizens of Israel.[26] Many
are Palestinian refugees or
internally displaced
Palestinians , including more
than a million in the Gaza Strip,
[27] three-quarters of a million
in the West Bank,[28] and
about a quarter of a million in
Israel proper. Of the Palestinian
population who live abroad,
known as the Palestinian
diaspora, more than half are
stateless lacking citizenship in
any country.[29] 3.24 million of
the diaspora population live in
neighboring Jordan[30] where
they make up approximately
half the population, 1.5 million
live between Syria and
Lebanon, a quarter of a million
in Saudi Arabia, with Chile's half
a million representing the
largest concentration outside
the Arab world.
 
Last edited by a moderator:
Arabization
Arabization or Arabisation
(Arabic: ﺗﻌﺮﻳﺐ taʻrīb) describes
a growing cultural influence on
a non-Arab area that gradually
changes into one that speaks
Arabic and/or incorporates
Arab culture and Arab identity.
It was most prominently
achieved during the 7th
century Arabian Muslim
conquests which spread the
Arabic language, culture, and—
having been carried out by
Arabian Muslims as opposed to
Arab Christians or Arabic-
speaking Jews—the religion of
Islam to the lands they
conquered. The result: some
elements of Arabian origin
combined in various forms and
degrees with elements taken
from conquered civilizations
and ultimately denominated
" Arab".
After the rise of Islam in Hejaz,
Arab culture and language
spread through trade with
African states, conquest, and
intermarriage of the non-Arab
local population with the Arabs,
in Egypt, Syria, Palestine and
Sudan. The Arabic language
became common among these
areas; dialects also formed.
Although Yemen is traditionally
held to be the homeland of
Arabs, most[1] of the Yemeni
population did not speak
Arabic (but instead South
Semitic languages) prior to the
spread of Islam.
The influence of Arabic has also
been profound in many other
countries whose cultures have
been influenced by Islam.
Arabic was a major source of
vocabulary for languages as
diverse as Berber, Indonesian,
Tagalog, Malay, Maltese,
Portuguese, Sindhi, Punjabi,
Somali, Spanish, Swahili,
Turkish, Urdu, as well as other
languages in countries where
these languages are spoken; a
process that reached its high
point in the 10th to the 14th
centuries, the high point of
Arabic culture, and although
many of these words have
fallen out of use since then,
many remain. For example the
Arabic word for book /kita:b/ is
used in all the languages listed,
apart from Malay, Somali and
Indonesian (where it
specifically means "religious
book") and Portuguese and
Spanish (which use the Latin-
derived "livro" and "libro",
respectively).
Early Arabization of the Near
East
After Alexander the Great, the
Nabataean kingdom emerged
and ruled a region extending
from north of Arabia to the
south of Syria. It was created
by Arabian tribes originated
from the Arabian peninsula and
developed the Nabataean
alphabet which became the
basis of modern Arabic script.
The Nabataean language,
under heavy Arab influence,
amalgamated into the Arabic
language.
 
now you see nyakageni?.hata lugha ya kiarabu kuna kipindi haikuwepo imekuja kutokea mwanzoni wa karne ya 5 kuja mpaka ya 7.kwahiyo palestina kuongea kiarabu sio ishu,na kama hujui kiarabu ni moja ya lugha zinatumika israel as official language.
 
Back
Top Bottom