Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

Lwaitama, Makwaiya: Israel Commits Genocide?

Hapo hata mimi waliniacha hoi. Eti taifa la Israeli limeanzishwa juzi tu. Ina maana vitabu vya dini vinatudanganya? Mjadala uliegemea upande 1 (biased). Walishindwa ku-balance mjadala.
Naomba maelezo kutoka kwa yeyote anaejua:
1. Je serikali ya palestina ilikuwa inaongozwa na kiongozi(rais, mfalme,sultani,waziri mkuu n.k) aliyeitwa nani (jina) hapo mnamo mwaka 1948 inaposemekana ndipo taifa la Israel lilipoundwa?
2. Hiyo palestina ilishawahi kutawaliwa kabla? Mkoloni aliitwa nani? (i.e. Nchi iliyoitawala palestina) Na ilipata uhuru mwaka gani?
3. Kwa kuwa inaaminika kuwa israel haikuwepo ila iliivamia ardhi ya palestina, je hawa wayahudi walizuka tu hapa duniani? Je hawana ardhi yao ya asili? Kama ipo ardhi yao ya asili, je ni wapi?
4. Kwenye vitabu vya dini, Biblia na Qur'an vyote vinatambua uwepo wa wana wa israel, je, kwa mujibu wa vitabu hivi, hawa wana waisrael walikuwa wanaishi wapi wakati huo? Hilo eneo/ nchi waliyokuwa wanaishi kipindi hicho, lipo hadi leo hii au lilitoweka halipo tena? Naomba nijibiwe kwanza hayo maswali japo ninayo mengine ya ziada.
 
Lweitama hata useme nini, Waizrael hawatawanyiki tena, watakaa hapohapo hata mfanye nini

Ezekel 37:21
21 Ukawaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitawatwaa wana wa Israeli toka kati ya mataifa walikokwenda, nami nitawakusanya pande zote, na kuwaleta katika nchi yao wenyewe;
22 nami nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi hiyo, juu ya milima ya Israeli; na mfalme mmoja atakuwa mfalme wao wote; wala hawatakuwa tena mataifa mawili, wala hawatagawanyikana kuwa falme mbili tena, hata milele.

Acha kusoma neno kwa kukariri ww bila kuangalia mantik yake,Mungu hana taifa la wauaji,israel hii sio taifa la mungu,hawa ni wauaji kama wengine.
 
Naomba maelezo kutoka kwa yeyote anaejua:
1. Je serikali ya palestina ilikuwa inaongozwa na kiongozi(rais, mfalme,sultani,waziri mkuu n.k) aliyeitwa nani (jina) hapo mnamo mwaka 1948 inaposemekana ndipo taifa la Israel lilipoundwa?
2. Hiyo palestina ilishawahi kutawaliwa kabla? Mkoloni aliitwa nani? (i.e. Nchi iliyoitawala palestina) Na ilipata uhuru mwaka gani?
3. Kwa kuwa inaaminika kuwa israel haikuwepo ila iliivamia ardhi ya palestina, je hawa wayahudi walizuka tu hapa duniani? Je hawana ardhi yao ya asili? Kama ipo ardhi yao ya asili, je ni wapi?
4. Kwenye vitabu vya dini, Biblia na Qur'an vyote vinatambua uwepo wa wana wa israel, je, kwa mujibu wa vitabu hivi, hawa wana waisrael walikuwa wanaishi wapi wakati huo? Hilo eneo/ nchi waliyokuwa wanaishi kipindi hicho, lipo hadi leo hii au lilitoweka halipo tena? Naomba nijibiwe kwanza hayo maswali japo ninayo mengine ya ziada.


Wenye Akili timamu tu! wanaweza kujiuliza maswali hayo watu huwa wanakurupuka tu wakati ubongo wanazo wanashindwa kujiuliza maswali rahisi kama haya.

ngoja tusubili majibu.
 
wanasema tuomba Mungu ubalozi wa israel usihame Nairobi na kufunguliwa Dsm, wanataka hapa uwepo wa palestina tu. lwaitama na huyo dada mwarabu ndio wanaongea hivyo sasaivi hapa. Mungu atawalaani hakika. mnachotakiwa kujua ni kwamba si kila mtu anaichukia israel, almost 50 percent of Tanzanians wanasapoti israel hapa tz na wangependa ubalozi wao uwepo hapa hivyo msifikiri hii nchi ni ya kwenu peke yenu, ni ya kwetu sote na sisi tungependa marafiki zetu waisrael wawe na ubalozi hapa hata kama ninyi hamuwapendi, ndio maana hata sisi kuna nchi ambazo hatupendi ubalozi wao uwepo hapa lakini kwaajili yenu tunaheshimu ziwe na ubalozi hapa.

wewe ni k.....
 
Mjadala huo wa chanel 10 umechefua sana upo very biased.
 
ulitaka mimi nitetee hamas? hamas ndio mass murderers terrorist kabisa. umeona mahandaki yaliyochimbwa kuelekea israel, umeona rocket zaidi ya alfu mbili zilizorushwa, ulitegemea israel inyamaze tu?halafu haujaona hamas wakiweka raia kama shield?

bofya hapa
]
Ndo maana nikakuita pin brained!
Has it not occured to you as to the reason for the mahandaki?
Gaza has been under a blockade for years, sijui situation hiyo kama unsiekewa au wajisemea tu.
Blockade ni a war step of containment.
Kwamba Hamas wameweza hata kujinasua toka hiyo blockade is just a futile attempt extricating itself from undue domination of Israeli military rule.
Ni sawasawa nikuweke jela ambayo una uhuru wa kutembea huko Segerea, ukichimba handaki la kujiingizia chakula , TV, pasi na hata silaha, bado ukamlaumu huyo anayejitahidi kupambana na hali hiyo-kufanya hivyo ni ukichaa wa aina fulani.
 
Sasa wewe ndo unalikoroga unasema ati wangesema ni mauaji ya kimbari !!!!! Sasa kwa kidhungu ndii nini vile ?
 
Waungwana. mmeshawahi kujiuliza.Mbona Milocevic alipelekwa kushtakiwa THE HAGUE. Kenyatta and co. wa Kenya. Johnson wa Liberia. Ntaganda wa Congo etc
Sijawahi kusikia mtu akitishia kumpeleka Benyamin Netanyahu huko mahala kushtakiwa.
Mnajua ni kwa nini ???????
 
kwenye biblia kuna sehemu wanaitwa mayahudi. (sikumbuki wapi; nipo tayari kukosolewa)
 
Mosi kwenye sheria za kimataifa, Israel na Marekani ni moja ya mataifa ya ovyo kabisa kwenye kuzingatia. Waisrael wameterget wapalestina. Who can justify that Hamas are using human shield and Israel are not? Unaongelea vita vya kizamani mkuu vya Africa kama congo na waasi. Naomba uongelee modern war. Urban war mkuu wangu. Secondly crime against humanity is more accomodating than mass massacre so to speak. Makosa dhidi ya utu ndoo crime against humanity. When you systematically treat human being like animals that is crime against humanity. e.g. unawachukua wanaume unawaamuru walale na mabinti zao mbele ya halaiki. Kwamba wanachofanya wa Israel amounts to genocide, we can discuss that because my simple understanding of law we will be arguing on single legal terminology "threshold"
NB: I'm not a lawyer Nielimishe zaidi.
my friend, sitajadli sana kuhusu israel na marekani kuvunja sheria za kimataifa, lakini usijadili kitu ambacho hauko expert. ni vizuri umesema wewe sio mwanasheria and specifically international laws. nakupongeza kwasababu kwa mtu asiye mwanasheria umejitahidi kujadili na hapo ndipo uwezo wako wa uelewa ndio umeishia.

nitakusaidia kitu kimoja. ukisika makosa ya jinai ya kimataifa yapo matatu tu yanayofanya kazi kwasasa, genocide (mauaji ya kimbari), crimes against humanity (makosa dhidi ya ubinadamu/wengine huita mauaji ya halaiki) na makosa ya kivita (war crimes). makosa haya hote yana ingredients zake zinazoyaunda. we do not have such a thing as you call it "mass massacre", that crime does not exist on this planet.

pili, tunaposema hamas wanatumia human shield tunao ushahidi, lakini wewe hauna ushahidi wowote kuonyesha kuwa israel wanawaamuru wapalestina kulala na mabinti zao mbele ya halaiki....labda ndio ulielewa maana ya halaiki....kisheria maana ya halaiki ni "systematic and widespread" while the offender knows that he is targeting civilian population. sio kwamba anakuwa ana target hamas hiyo haiinclude. sasa hamas wakirusha makombora wakiwa mbali israel inatakiwa kurusha kombora pale kombora la hamas lilipotoka kumbe hamas wameshikilia watoto na wanawake ili wakifa wapate sympathy ya jumuiya ya kimataifa kwamba israel is killing civilians? zile rockets zinazorushwa tel aviv aren't they targeting civilians....hata hivyo hapo israel hawatarget civilian population, they are targeting hamas, maafa hayo ni justifiable kisheria (bofya sanremo manual in the law of war kwenye google) itakupa mwanga kidogo tu. kuna vitabu vingi naweza kukutumia kama utakuwa interested.

israel kabla hawajapiga eneo wanapiga simu, wanadondosha liflets kuwaambia raia waondoke eneo hilo kwani watalipiga muda si mrefu...hamas wanawaua raia wanaokimbia wanataka wajitoe muhanga kwa kubaki palepale ili wakifa dunia ijue israel inaua raia. unajua kama israel ingekuwa inatarget raia ingeshamaliza wote kwa masaa tu? lakini kwa mwezi mzima wamefika 2000 kwasababu walikuwa too selective na vita vya katikati ya jiji ni vigumu sana imagine vita inapiganiwa pale kariakooo mtaa wa kongo, walitegemewa watu wengi sana wafe lakini wamejitahidi kuminimize collateral damage.



 
Last edited by a moderator:
Ndo maana nikakuita pin brained!
Has it not occured to you as to the reason for the mahandaki?
Gaza has been under a blockade for years, sijui situation hiyo kama unsiekewa au wajisemea tu.
Blockade ni a war step of containment.
Kwamba Hamas wameweza hata kujinasua toka hiyo blockade is just a futile attempt extricating itself from undue domination of Israeli military rule.
Ni sawasawa nikuweke jela ambayo una uhuru wa kutembea huko Segerea, ukichimba handaki la kujiingizia chakula , TV, pasi na hata silaha, bado ukamlaumu huyo anayejitahidi kupambana na hali hiyo-kufanya hivyo ni ukichaa wa aina fulani.
my friend, gaza has been under a blockade for 8 years now, lakini hiyo ni kwasababu hamas na wapalestina wengine wakiwa supported by iran wametangaza kuwa lengo lao sio kuishi pamoja na waisrael bali ni kuwafuta waisrael wakafie huko mediterenean sea. na kwasababu hiyo wanaingiza makombora na kuyarusha israel, wanao uwezo hata kuingiza bom la nuclear (pakistan ndugu zao wana nuke, north kora wana nuke na wanaweza kuwauzia). ili israel ibaki salama iliamua kuwazunguka ili wajue kinachoingia na kinachotoka. kama wasingekuwa na nia ovu kama hiyo wasingekuwa under blockade. angalia wako kweney blockade lakini wameingiza silaha nyingi ajabu, kama wasingekuwa under blockade je? si wangeshaifuta israel kama walivyosema?

pili, hamas wamepewa hela karibia milion 500 dola (hizo ni shs bilioni mia nyingi tu kwa kibongo) walikuwa wanapewa kama msaada ili wajenge majumba yaliyobomoka na kusaidia raia etc, wao kwa miaka 5 wakatumia zile hela kuchimba mahandaki toka gaza hadi israel lengo likiwa sio kuingiza bidhaa bali kutumia mahandaki hayo kuteka na kuua waisrael. ndicho walichokifanya kabla ya vita hii ya juzi, waliteka vijana watatu wakawaua wakawarudisha israel maiti chini kwa chini ndipo vita ilipoanzia wao ndio walikuwa wachokozi. lengo lao walijua kuwa kwasababu mahandaki yale yametokea kwenye nyumba zao (huwezi kuyaona nje) hadi israel basi hadi israel waje kuyagundua watakuwa wameshateketeza wayahudi wengi sana, ajabu yake, mahandaki yaliyojengwa kwa pesa nyingi za msaada kwa miaka 5 yalibomolewa kwa mwezi mmoja yote. wapo tu sasaivi wanaomba msaada tena. hamas ndio walianza uchokozi vita hii, na hata wakati wa vita dunia nzima imesuhudia hamas wahawaki ceasefire.
 
my friend, gaza has been under a blockade for 8 years now, lakini hiyo ni kwasababu hamas na wapalestina wengine wakiwa supported by iran wametangaza kuwa lengo lao sio kuishi pamoja na waisrael bali ni kuwafuta waisrael wakafie huko mediterenean sea. na kwasababu hiyo wanaingiza makombora na kuyarusha israel, wanao uwezo hata kuingiza bom la nuclear (pakistan ndugu zao wana nuke, north kora wana nuke na wanaweza kuwauzia). ili israel ibaki salama iliamua kuwazunguka ili wajue kinachoingia na kinachotoka. kama wasingekuwa na nia ovu kama hiyo wasingekuwa under blockade. angalia wako kweney blockade lakini wameingiza silaha nyingi ajabu, kama wasingekuwa under blockade je? si wangeshaifuta israel kama walivyosema?

pili, hamas wamepewa hela karibia milion 500 dola (hizo ni shs bilioni mia nyingi tu kwa kibongo) walikuwa wanapewa kama msaada ili wajenge majumba yaliyobomoka na kusaidia raia etc, wao kwa miaka 5 wakatumia zile hela kuchimba mahandaki toka gaza hadi israel lengo likiwa sio kuingiza bidhaa bali kutumia mahandaki hayo kuteka na kuua waisrael. ndicho walichokifanya kabla ya vita hii ya juzi, waliteka vijana watatu wakawaua wakawarudisha israel maiti chini kwa chini ndipo vita ilipoanzia wao ndio walikuwa wachokozi. lengo lao walijua kuwa kwasababu mahandaki yale yametokea kwenye nyumba zao (huwezi kuyaona nje) hadi israel basi hadi israel waje kuyagundua watakuwa wameshateketeza wayahudi wengi sana, ajabu yake, mahandaki yaliyojengwa kwa pesa nyingi za msaada kwa miaka 5 yalibomolewa kwa mwezi mmoja yote. wapo tu sasaivi wanaomba msaada tena. hamas ndio walianza uchokozi vita hii, na hata wakati wa vita dunia nzima imesuhudia hamas wahawaki ceasefire.
Has it not occured to you that you are discussing symptoms of the desease redher than the desease itself?
The core issue here is LAND, and displacement of the Palestinians from their land.

You will never expect the conflict to wither away, even by military means and other subduement of a determined people.
That is the reason why Hamas will not accept a cease fire, and thats understandable.

Unachukua ardhi yangu, nina protest, tunapigana unaua wake na watoto halafu tuna expect the best from a cease fire.
Thats wishful thinking-there is no peace in those circumstances.
 
Naomba maelezo kutoka kwa yeyote anaejua:
1. Je serikali ya palestina ilikuwa inaongozwa na kiongozi(rais, mfalme,sultani,waziri mkuu n.k) aliyeitwa nani (jina) hapo mnamo mwaka 1948 inaposemekana ndipo taifa la Israel lilipoundwa?
2. Hiyo palestina ilishawahi kutawaliwa kabla? Mkoloni aliitwa nani? (i.e. Nchi iliyoitawala palestina) Na ilipata uhuru mwaka gani?
3. Kwa kuwa inaaminika kuwa israel haikuwepo ila iliivamia ardhi ya palestina, je hawa wayahudi walizuka tu hapa duniani? Je hawana ardhi yao ya asili? Kama ipo ardhi yao ya asili, je ni wapi?
4. Kwenye vitabu vya dini, Biblia na Qur'an vyote vinatambua uwepo wa wana wa israel, je, kwa mujibu wa vitabu hivi, hawa wana waisrael walikuwa wanaishi wapi wakati huo? Hilo eneo/ nchi waliyokuwa wanaishi kipindi hicho, lipo hadi leo hii au lilitoweka halipo tena? Naomba nijibiwe kwanza hayo maswali japo ninayo mengine ya ziada.

maswali ya ajabu sana haya.
 
kwenye biblia kuna sehemu wanaitwa mayahudi. (sikumbuki wapi; nipo tayari kukosolewa)
mimi ninayeandika ni msomi wa biblia. hakuna eneo hata moja limeandikwa 'mayahudi", ila kwenye kuran lipo ndivyo wanavyoitwa. na unatakiwa kujua kuwa kwenye Biblia Mungu aliahidi kutokuwaacha wayahudi milele na atakayewalaani Mungu atawalaani pia.
 
Kuna Dr. Lwaitama na doctor mwingine fulani hivi jina limenitoka pamoja na Makwaiya wa kuhenga channel ten, wanajadili hapa kuwa Israel inatenda makosa ya "mauaji ya kimbari", huyu ni doctor (phd holder) na huyo mwenzie, nilichojiuliza ni kwamba hivi hajasoma tu hata kwenye wikipedia maana halisi ya genocide?, halafu, hivi kipindi cha je? tutafika cha makwaiya mbona kina harufu sana ya udini fulani hivi siku zote, au ndio channel ten kazi zake?

sisemi wapalestina wanaouawa ni sahihi, ninachoangalia hapa ni kama kuna mtu katoka nje ya nchi anaangalia wasomi wa kitz wanaojadili suala hili halafu wanasema hiyo ni genocide, wakati hakuna hata elements za genocide, labda angesema hizo ni war crimes au mauaji ya halaiki/dhidi ya ubinadamu....sijaelewa wameweka kipindi ili kuponda israel au kuongea hoja.

huyo Dr mwingine ndio anasema waisrael/wayahudi ni wazungu tu walitoka ulaya na nchi nyingine, na anawaita mayahudi sio wayahudi....very hopelss kama wametoka leo kijijini vile.

kwani genocide maana yake ni ipi?
 
Has it not occured to you that you are discussing symptoms of the desease redher than the desease itself?
The core issue here is LAND, and displacement of the Palestinians from their land.

You will never expect the conflict to wither away, even by military means and other subduement of a determined people.
That is the reason why Hamas will not accept a cease fire, and thats understandable.

Unachukua ardhi yangu, nina protest, tunapigana unaua wake na watoto halafu tuna expect the best from a cease fire.
Thats wishful thinking-there is no peace in those circumstances.
ile ardhi ni ya wayahudi tangu kipindi cha ibrahim, isaka, Yakobo (israel), Daudi hadi kesho. Mungu aliwapa ile ardhi na biblia inao ushahidi huo ambao ni tangible hadi kwenye ulimwengu wa leo hii. Israel is prepared to live with the enemy for life my friend, hawatishiwi nyau. kama una hitaji, nitakupatia hapa historia ya ile ardhi tangu kipindi kabla ya Yesu (ila itabidi nitype na kuiweka pdf kwasababu nitajaza ukurasa).

umeshafika israel? umeshafika westbank? ukiwa kule westbank kuna eneo linaitwa Bethlehen ya Uyahudi (pale ndipo Yesu alipozaliwa) ni eneo ambalo wanakalia wapalestina kwa sasa. kuna eneo pia linaitwa Hebron ambapo Daudi mfalme wa israel alijenga ule mji. ukija Jerusalem, kuta za hekalu alilojenga suleiman mfalme wa israel zipo mpaka leo na ndipo mahali patakatifu kuliko pote kwa wayahudi hii ikijumuisha Temple Mount (ule msikiti uliojengwa na waislam baada ya kuvunja helalu la wayahudi ambalo Yesu alitabiri kuwa litavunjwa vipandevipande). kwa kifupi ile ardhi ilikuwa ni ya waisrael hadi kule juu milima ya golan, hadi jordan isipokuwa waisrael walimwasi Mungu Mungu akawapa adhabu wakatawanyika duniani lakini aliahidi kwenye Biblia kuwa kuna siku atakuja kuwarejesha tena kwenye ardhi yao aliyokuwa amewapa.

Mungu ndiye aliyeumba hii dunia na ndiye mmiliki wa ardhi kuliko hata sisi. hivyo yeye kama mmiliki namba moja akiamua kumpa mtu ardhi hakuna wa kupinga au kutafuta human rights. Mungu alishawapa wayahudi ile ardhi hivyo hata kama kibinadamu tutaona sio sawa lakini Mungu alishawapa. upende usipende ndivyo ilivyo.
 
mimi ninayeandika ni msomi wa biblia. hakuna eneo hata moja limeandikwa 'mayahudi", ila kwenye kuran lipo ndivyo wanavyoitwa. na unatakiwa kujua kuwa kwenye Biblia Mungu aliahidi kutokuwaacha wayahudi milele na atakayewalaani Mungu atawalaani pia.
tatizo ndo liko hapa unataka tujadili hili suala kwa misingi ya bibilia ama quran.
 
kwani genocide maana yake ni ipi?
Genocide ni makosa dhidi ya kundi la watu, iwe kabila, taifa, rangi n.k kosa ambalo mtendaji anakuwa na nia/lengo la kuwafuta au kuwateketeza kabisa wale watu wasiwepo tena eneo lile. mfano wake rahisi ni pale wahutu walipotaka kuwateketeza watusi selectively ili wasiwepo rwanda wabaki wao tu. hii ni maana rahisi ya genocide. lakini tunaweza kwenda in deep kama utakuwa interested.

swali, israel inaua wapalestina ili wasiwepo tena pale au inasambaratisha hamas na vitendea kazi vyao? kama wangeamua kuwafuta watu wa gaza mbona wangerusha bom moja tu kile kitongoji chote asingebaki mtu kama lengo lao ni kuwateketeza watu wa gaza....umeelewa?
 
Mapigano ya Hamas na Izrael ni sawa na bondia mmoja kupangua ngumi nyingi, na yule aliefanikiwa kuingiza ngumi nyingi anaonekana kumuonea mwenzie. Kwani makombora aliyokuwa anarusha Hamas kama yasingepanguliwa yasingeua watoto wa Izrael?, Pia kwanini Hamas walitumia pesa za Misaada kutengeneza maandaki ya chini kwa chini kuelekea Izrael kuteka watu?, kwanini hizo pesa wasingewekeza kwenye elimu ya sayansi ili wapambane na Izrael vizuri?

Mkuu, you have said it all, sina cha kuongeza.

Tiba
 
Genocide ni makosa dhidi ya kundi la watu, iwe kabila, taifa, rangi n.k kosa ambalo mtendaji anakuwa na nia/lengo la kuwafuta au kuwateketeza kabisa wale watu wasiwepo tena eneo lile. mfano wake rahisi ni pale wahutu walipotaka kuwateketeza watusi selectively ili wasiwepo rwanda wabaki wao tu. hii ni maana rahisi ya genocide. lakini tunaweza kwenda in deep kama utakuwa interested.

swali, israel inaua wapalestina ili wasiwepo tena pale au inasambaratisha hamas na vitendea kazi vyao? kama wangeamua kuwafuta watu wa gaza mbona wangerusha bom moja tu kile kitongoji chote asingebaki mtu kama lengo lao ni kuwateketeza watu wa gaza....umeelewa?
kwani israel lengo lake nini kama sio kuwafuta wapalestina.

Kwanza hawataki wawe na nchi yao,na pia hawataki wawe sehemu ya israel,pia wanaua watoto wadogo ili kuteketeza kizazi kijacho,pia wamewaweka kifungoni,hamna kutoka wala kuingia.etc.
We hapo huoni lengo lao ni genocide?
 
Back
Top Bottom