Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,756
Teuzi inadunda dunda rohoni hapošZitto anayapokea maneno haya kwa sikio la kushoto halafu yanatokea sikio la kulia. Huwa haelewi kabisa.
Teuzi inadunda dunda rohoni hapošZitto anayapokea maneno haya kwa sikio la kushoto halafu yanatokea sikio la kulia. Huwa haelewi kabisa.
ZITTO ni mnufaika kwa Raslimali za TAIFA ndio maana alitoka kwenye Chama halisi cha UPINZANI na kwenda kwenye Ccm B Chama kilichoanzishwa na CcmZitto anayapokea maneno haya kwa sikio la kushoto halafu yanatokea sikio la kulia. Huwa haelewi kabisa.
Leta safu ya ungozi wa chadema ndio utajua ukabila wa huyu mwamba ni wa kiwango cha kutisha,amejaribu saana kumpaisha yule mvuta bangi wa Arusha sio kwamba ana uwezo bali ni kwa kuwa ni binamu yakeUkabila na undugunization upo CCM.
Hebu elezea ukabila wa CDM au Mbowe
Acha kujitoa ufahamu aisee,umesahau kuwa cdm ndio ilibeba mwanchama wa ccm hadi akagombea urais wa nchi hii?ZITTO ni mnufaika kwa Raslimali za TAIFA ndio maana alitoka kwenye Chama halisi cha UPINZANI na kwenda kwenye Ccm B Chama kilichoanzishwa na Ccm
Akikujibu muulize kwanini amerudi kwa kupitia dirishani?Embuu muulizeni mzee Silaa kwa nini aliondoka chadema?
Ulitaka tatizo awe nani?
Zitto anayapokea maneno haya kwa sikio la kushoto halafu yanatokea sikio la kulia. Huwa haelewi kabisa.
Muungano wa vyama hautawezekana hadi pale wananchi watakapshtuka kuwa mdudue cdm si chama cha siasa bali ni kampuni binafsi inayotumia mgongo wa ccm kwa ajili ya faida ya wanahisa ambao ni mzee Mbowe na Baba mkwe wake.
Embuu muulizeni mzee Silaa kwa nini aliondoka chadema?
Hahaha... Ila kweliUkweli mchungu kwa ma CCM na vibaraka wao:
View attachment 2926733
āMukitaka kufika mbali lazima muwe na sauti ya pamoja hata kama munatofautiana kwa itikadi ya vyama vyenu lakini linapokuja suala la kutetea maslahi ya nchi lazima mushikamane, hamuwezi kuondoa chama kilicho madarakani kwa kujitenga." Amesema Lwaitama.
Tupambanao dhidi ya CCM, letu ni moja. Tunapaswa kuwa wamoja.
"Zimwi likujualo hali kuli likakwisha."
Prof. Lwaitama, muumini wa mfano wa dhana ya jamili ya kutokuwa na maadui au marafiki wa kudumu katika siasa.
Slaa hakurudi kupitia dirishani bali ni kwa sababu kwenye siasa hakuna uadui wala urafiki wa kudumu.
Hahaha... Ila kweli
ZITTO ni mnufaika kwa Raslimali za TAIFA ndio maana alitoka kwenye Chama halisi cha UPINZANI na kwenda kwenye Ccm B Chama kilichoanzishwa na Ccm
Teuzi inadunda dunda rohoni hapoš
Acha kujitoa ufahamu aisee,umesahau kuwa cdm ndio ilibeba mwanchama wa ccm hadi akagombea urais wa nchi hii?
Mbona Zitto amekuwa adui wa misukule yote ya chademaKwa sababu kwenye siasa haupo uadui wala urafiki wa kudumu.
Mbona Zitto amekuwa adui wa misukule yote ya chadema
Muungano wa vyama hautawezekana hadi pale wananchi watakapshtuka kuwa mdudue cdm si chama cha siasa bali ni kampuni binafsi inayotumia mgongo wa ccm kwa ajili ya faida ya wanahisa ambao ni mzee Mbowe na Baba mkwe wake.