Ukweli mchungu kwa ma CCM na vibaraka wao:
“Mkitaka kufika mbali lazima muwe na sauti ya pamoja hata kama munatofautiana kwa itikadi ya vyama vyenu lakini linapokuja suala la kutetea maslahi ya nchi lazima mushikamane, hamuwezi kuondoa chama kilicho madarakani kwa kujitenga." Amesema Lwaitama.
Tupambanao dhidi ya CCM, letu ni moja. Tunapaswa kuwa wamoja.
"Zimwi likujualo hali kuli likakwisha."
Prof. Lwaitama, muumini wa mfano wa dhana ya jamili ya kutokuwa na maadui au marafiki wa kudumu katika siasa.
“Mkitaka kufika mbali lazima muwe na sauti ya pamoja hata kama munatofautiana kwa itikadi ya vyama vyenu lakini linapokuja suala la kutetea maslahi ya nchi lazima mushikamane, hamuwezi kuondoa chama kilicho madarakani kwa kujitenga." Amesema Lwaitama.
Tupambanao dhidi ya CCM, letu ni moja. Tunapaswa kuwa wamoja.
"Zimwi likujualo hali kuli likakwisha."
Prof. Lwaitama, muumini wa mfano wa dhana ya jamili ya kutokuwa na maadui au marafiki wa kudumu katika siasa.