Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Nkunda ametangaza Kifo cha Luteni Jenerali Mstaafu Balozi Martin Mwakalindile kilichoteka Januari 28, 2024 nchini India alikokuwa akitibiwa.
Hata hivyo umri wake ulishakua mkubwa, mm nikiwa form 1Secondary school 1986, yeye alishakuwa Meja General wakati huo walikua 13 na akina Warden, Mayunga, Makame Rashid, Lupogo, Luhanga nkKifo ni kiboko! Pamoja na kukimbizwa mbaaaaaaaaliiiii, kaondoka!
Karne ya 21 unazungumzia kabisa?Wanyakyusa wapo vzr upstairs wamejaa kwnye nyadhifa nyeti...
RIP...sir
Hapana siyo hivyo. Inategemea nani alikuwa sehemu ya maamuzi ya nani awe nani enzi za Mwalimu na kuendelea. Mfano, watu wa Mbeya walijulikana kwa ukabila na tangu enzi hizo apson etc alihakikisha wanyakyusa wanashika hatamu (siyo kuwa na akili). Same kwa makabila mengine yenye mrengo wa kupendeleana kama wachaga, waluguru, wapogoro etc. Hivyo usiseme kabisa eti wana akili bali ni nepotism ndiyo iliwabeba. Ni sawa na watu wa musoma kuwa na wanajeshi wengi ni hivyo hivyoWanyakyusa wapo vzr upstairs wamejaa kwnye nyadhifa nyeti...
RIP...sir
Endeleeni tu kunichukulia poa GENTAMYCINE hapa JamiiForums na Taarifa zangu mbalimbali na Mtambuka ambazo huwa nawaleteeni hapa sawa?GENTAMYCINE kuna ka thread kako fulani nilikatilia maanani ila acha niendelee kuangalia R. I. P kamanda
Gen Warden alikuwa mwenyekiti wa Board Iyunga Tech SecondaryHata hivyo umri wake ulishakua mkubwa, mm nikiwa form 1Secondary school 1986, yeye alishakuwa Meja General wakati huo walikua 13 na akina Warden, Mayunga, Makame Rashid, Lupogo, Luhanga nk