Lukuvi: Heko Kamuhanda kwa Kazi Nzuri!

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,894
71,417
Akizungumza Bungeni leo, Waziri William Lukuvi amempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa kwa kazi nzuri sana anayofanya na kuwa asitishike na kelele zinazosemwa juu ya utendaji wake.

Hii imekaaje wakuu?
Wakati suala la Mwangosi halijafika mwisho ni vipi Waziri anampongeza eti RPC anayetuhumiwa kwa mauaji anafanya kazi nzuri sana?
 
Kwa kauli hii, nimeyaamini moja kwa moja maneno ya Chiku kuwa Lukuvi anatumia vyombo vya usalama kwa maslahi yake binafsi.
 
Akizungumza Bungeni leo,Waziri William Lukuvi amempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa kwa kazi nzuri sana anayofanya na kuwa asitishike na kelele zinazosemwa juu ya utendaji wake. Hii imekaaje wakuu? Wakati suala la Mwangosi halijafika mwisho ni vipi Waziri anampongeza eti RPC anayetuhumiwa kwa mauaji anafanya kazi nzuri sana?

Mkuu wala hilo lisikuumize kichwa, Lukuvi ni kilaza.
 
Mpuuzi tu huyu alikuwa mwalimu wa UPE akachakachua vyeti sasa eti ana masters...Uwezo wa kufikiri sifuri.
 
Akizungumza Bungeni leo,Waziri William Lukuvi amempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa kwa kazi nzuri sana anayofanya na kuwa asitishike na kelele zinazosemwa juu ya utendaji wake. Hii imekaaje wakuu? Wakati suala la Mwangosi halijafika mwisho ni vipi Waziri anampongeza eti RPC anayetuhumiwa kwa mauaji anafanya kazi nzuri sana?

Hii kauli sio nzuri ambao bado tunamlilia Daud Mwangosi, ndo maana Ambwao ameweka wazi Lukuvi anawatumia polisi kisiasa sasa anawapongeza wauaji wa Mwangosi jamani tumweleweje?
 
Vangimembe ni janga sana ingawa CCM
halioni hili jambo kwasasa lakini
ngoja tuone mwisho wake.
 
hii kauli sio nzuri ambao bado tunamlilia daud mwangosi, ndo maana ambwao ameweka wazi lukuvi anawatumia polisi kisiasa sasa anawapongeza wauaji wa mwangosi jamani tumweleweje?

ndugu,iyo,ni kazi nzuri saaaaana kwa chama cha mapinduzi,
 
Lukuvi ameonyesha dharau ya hali ya juu wote walioathirika na tukio la kifo cha Mwangosi. Sasa hata kama watu walianza kusahau ni kama msiba umerudi upya. Hakustahili kusema hayo.
 
CCM ni janga duniani! Haikutakiwa kuwepo wala kuzaliwa! Puuuuuuuu!
 
Kama kazi Kamuhanda alizotumwa kufanya, ikiwa ni pamoja na kusimamia mauaji ya Mwangosi, alizifanya vizuri, kwa nini asimpongeze?

Kwa niaba ya serikali, lazima Lukuvi ampongeze Kamuhanda vilevile kwa ubunifu wake wa kuhabarisha taifa kwamba waandamaji walitupa kitu kizito ambacho kililipuka na kumsambaratisha Mwangosi.

Ile picha maarufu inaonyesha gari la RPC Kamuhanda limepaki pembeni mwa tukio la mauaji ya Mwangosi. Yaani alifanya kazi nzuri ya kusimamia kwa karibu. Lazima serikali impongeze. Tena apandishwe cheo.

Kamuhanda atajibu nchi ikishakombolewa; kwa sasa waache wamliwaze tu.
 
Kama unatekeleza maagizo ya Bosi wako vizuri lazima uwe mzuri kwake Daima!Lukuvi tafadhali Shaurika ipasavyo kwenye hili linaweza kukuletea doa.
 
kwani mkuu hadi mda huu ujui kua kirefu cha CCM ni chama cha magaidi! hakika lukuvi hana busara na hafai ata kidogo kua waziri.
 
Akizungumza Bungeni leo,Waziri William Lukuvi amempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa kwa kazi nzuri sana anayofanya na kuwa asitishike na kelele zinazosemwa juu ya utendaji wake. Hii imekaaje wakuu? Wakati suala la Mwangosi halijafika mwisho ni vipi Waziri anampongeza eti RPC anayetuhumiwa kwa mauaji anafanya kazi nzuri sana?
Kwani Mh. Serukamba hayumo bungeni?.
 
Watanzania TUMTENDEE HAKI Mwangosi kwa kuikataa CCM 2015. Hawa maCCM wamelewa madaraka kiasi kwamba wanaamini jeshi la polisi ndio litawabakiza madarakani lakini wananchi tukiamua kamwe hawatabaki. Tuikatae CCM, CCM haikubaliki, tushiriane kuitokokeza
 
Akizungumza Bungeni leo,Waziri William Lukuvi amempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa kwa kazi nzuri sana anayofanya na kuwa asitishike na kelele zinazosemwa juu ya utendaji wake. Hii imekaaje wakuu? Wakati suala la Mwangosi halijafika mwisho ni vipi Waziri anampongeza eti RPC anayetuhumiwa kwa mauaji anafanya kazi nzuri sana?

Watanzania tutajiuliza maswali mengi sana, Lakini la msingi siku wakieleweka hicho wanachoimanisha kila mwenye akili na uzalendo atatemea mate hicho na wahusika sijajua wataficha wapi nyuso zao, Maana wanaweza kuchukiwa zaidi ya mchawi.
 
Back
Top Bottom