Lukuvi: Heko Kamuhanda kwa Kazi Nzuri!

Akiwa anachangia hotuba ya wizara ya mambo ya ndani leo,mheshimiwa huyu waziri wan chi na uratibu wa Bunge ndugu Lukuvi amemsifia sana Kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa RPC Kamhanda eti kwa kazi nzuri anayoifanya kwa wanaIringa,anasema kuwa eti ukiona kitabu kizima cha kambi ya wapinzani kila page imejaa neno Kamhanda basi ujue kuwa eti ni mwanaume wa shoka na anasema kuwa angetamani sana hata yeye angekuwa anaona live jinsi anavotajwa.Sasa cha kujiuliza ina maana waziri huyu Lukuvi anashabikia mauaji ya Mwangosi na yale ya Songea ambayo yote yalifanyika wakati Kamhanda akiwa RPC? Na pia amesema kuwa jimbo la Ismani lina wenyewe na wenyewe ni yeye Lukuvi yaani kana kwamba watu wa Ismani hawahemi na wala hawawezi kuwa na pumzi kama Lukuvi asipokuwa mbunge wa Isamani.Kazi kwenu wana Iringa sasa na waTanzania kwa ujumla
 
kumbe mauaji ya Mwangosi yalipangwa na kina Lukuvi waandishi tuungane katika kupigia kelele jambo hili.
 
Yani napatwa na mashaka na wajumbe wa humu JF!

Wajumbe wa JF ni wavivu wa kufikiri tena kwenye mambo ya kawaida sana.

Hali hii inatokana na kukubali na kukumbatia fikra za kikundi cha watu wachache na waganga njaa yaani CHADEMA.

Mtanzania jitambue na huwe huru kifikra, acha kuwa balozi wa hao WASALITI wa taifa lao kwakuwa vibaraka wa watu wa magharibi yaani CHADEMA.

Turudi kwenye mada;

Alichosema mwanasiasa makini sana na mzalendo Mhe. Lukuvi ni katika kuijenga hoja yake ya kuwahamasisha polisi kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi mkubwa na kuzingatia maadili ya kazi kama kanuni na sheria zao zinavyo elekeza.

Katika kufanya hivyo basi, alimtaja kamanda Kamuhanda kama mfano wa makamanda ambao wanabidii kubwa kazini jambo ambalo hakuna mtanzania mwenye hekima na busara anaeweza kupinga kuhusu kamanda Kamuhanda.

Lakini haya yote yametokana na sababu kubwa ya kamanda kamuhanda kusemwa sana kwenye hotuba kivuli, na kama wote tujuavyo, mti wenye matunda siku zote ndio unapigwa mawe.

Kwa kumalizia tu, nichukue fursa hii kuwahasa watanzania wote bila kujali itikadi, epuka vitendo vinavyo fanywa na CHADEMA katika kushinikiza maandamano, ni mambo yanayo peleka machafuko na kuhatarisha amani ya nchi, kwa kufanya hivyo basi, tutawapa askari wetu muda na nguvu zaidi yakupambana na vitendo halisi vya uhalifu nchini.
 
Akizungumza Bungeni leo,Waziri William Lukuvi amempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa kwa kazi nzuri sana anayofanya na kuwa asitishike na kelele zinazosemwa juu ya utendaji wake. Hii imekaaje wakuu? Wakati suala la Mwangosi halijafika mwisho ni vipi Waziri anampongeza eti RPC anayetuhumiwa kwa mauaji anafanya kazi nzuri sana?
Swali hapa, Kamuhanda alitumwa na nani kumshughulikia Mwangosi? Hii tukiunganisha dots watanzania tuna haja gani tena ya kusumbuana juu ya wanatesa na kuua waandishi na watu wanaopingana nao? si unasikia bosi akipongeza work done? Vinginevyo wangeshashughulikia suala la Dr. wa Muhimbili, Mwangosi na Kibanda. Sasa wamezua la Lwakatare. Watanzania mnakazi
 
Huyo Lukuvi kumsifu Ksmuhanda kwa kazi nzuri,imeturahisishia wananchi tupate ushahidi usio na shaka yoyote kuwa kumbe Kamuhanda alipokuwa anawaamrisha wale askari wa ngazi za chini,kumbe yalikuwa na maagizo ya mabosi wake ndani ya serikali ya CCM!!

Sasa ndiyo tumepata ushahidi mwingine wa sababu ile kesi ya yule askari aliyekuwa anatuhumiwa kwa mauaji ya Mwangosi,ambaye wskati wote alipokuwa akifikishwa mahakamani alikuwa akifichwa sura na maaskari ili sura yske isionekane, inathibitisha fununu nyingine kuwa mtuhumiwa yule siye yule askari aliyemlipulia bomu Mwangosi,bali kina Kamuhsnda walienda kumbeba mfungwa mmoja na kumfanya ndiye yule askari mtuhumiwa!!

Ingawa tunajua hiyo kesi serikali ya CCM wameizima kimyq kimya,lakini lazima siku zijazo itaibuka upya,tena wakati huo itaibukia kwenye mahakama ya the Hague!!
 
Yani anapingana hata na TUME ya MAADILI iliyosema Kamuhanda ashughulikiwe?
Nimegundua ni Nani ambaye yupo Nyuma ya Kamuhanda na soon huyu anaweza akawa IGP na tuzo ya utumishi uliyo tukuka juu!
 
namwachia mama wa viti maalum wa cdm aliyemchana live bingeni kuwa kila sehemu anamshinda na anategemea kwenda kungombea jimbo lake. mama alikuwa anaongea kwa kujiamini sana yuko juu kama nini
 
Akizungumza Bungeni leo,Waziri William Lukuvi amempongeza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa kwa kazi nzuri sana anayofanya na kuwa asitishike na kelele zinazosemwa juu ya utendaji wake. Hii imekaaje wakuu? Wakati suala la Mwangosi halijafika mwisho ni vipi Waziri anampongeza eti RPC anayetuhumiwa kwa mauaji anafanya kazi nzuri sana?

Miongoni mwa kazi nzuri anazopongezwa ni pamoja na hilo la kusimamia vizuri mauaji ya Mwangosi. Wale wa Ulimboka na Kibanda hawawezi kupongezwa kwa sababu kazi yao hawakuikamilisha.
 
Akiwa anachangia hotuba ya wizara ya mambo ya ndani leo,mheshimiwa huyu waziri wan chi na uratibu wa Bunge ndugu Lukuvi amemsifia sana Kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa RPC Kamhanda eti kwa kazi nzuri anayoifanya kwa wanaIringa,anasema kuwa eti ukiona kitabu kizima cha kambi ya wapinzani kila page imejaa neno Kamhanda basi ujue kuwa eti ni mwanaume wa shoka na anasema kuwa angetamani sana hata yeye angekuwa anaona live jinsi anavotajwa.Sasa cha kujiuliza ina maana waziri huyu Lukuvi anashabikia mauaji ya Mwangosi na yale ya Songea ambayo yote yalifanyika wakati Kamhanda akiwa RPC? Na pia amesema kuwa jimbo la Ismani lina wenyewe na wenyewe ni yeye Lukuvi yaani kana kwamba watu wa Ismani hawahemi na wala hawawezi kuwa na pumzi kama Lukuvi asipokuwa mbunge wa Isamani.Kazi kwenu wana Iringa sasa na waTanzania kwa ujumla

lukuvi sio wa Jimbo la Idodi?
 
Yani napatwa na mashaka na wajumbe wa humu JF!

Wajumbe wa JF ni wavivu wa kufikiri tena kwenye mambo ya kawaida sana.

Hali hii inatokana na kukubali na kukumbatia fikra za kikundi cha watu wachache na waganga njaa yaani CHADEMA.

Mtanzania jitambue na huwe huru kifikra, acha kuwa balozi wa hao WASALITI wa taifa lao kwakuwa vibaraka wa watu wa magharibi yaani CHADEMA.

Turudi kwenye mada;

Alichosema mwanasiasa makini sana na mzalendo Mhe. Lukuvi ni katika kuijenga hoja yake ya kuwahamasisha polisi kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi mkubwa na kuzingatia maadili ya kazi kama kanuni na sheria zao zinavyo elekeza.

Katika kufanya hivyo basi, alimtaja kamanda Kamuhanda kama mfano wa makamanda ambao wanabidii kubwa kazini jambo ambalo hakuna mtanzania mwenye hekima na busara anaeweza kupinga kuhusu kamanda Kamuhanda.

Lakini haya yote yametokana na sababu kubwa ya kamanda kamuhanda kusemwa sana kwenye hotuba kivuli, na kama wote tujuavyo, mti wenye matunda siku zote ndio unapigwa mawe.

Kwa kumalizia tu, nichukue fursa hii kuwahasa watanzania wote bila kujali itikadi, epuka vitendo vinavyo fanywa na CHADEMA katika kushinikiza maandamano, ni mambo yanayo peleka machafuko na kuhatarisha amani ya nchi, kwa kufanya hivyo basi, tutawapa askari wetu muda na nguvu zaidi yakupambana na vitendo halisi vya uhalifu nchini.

your thinking capacity is at menopause.!
 
Kauli hiyo ya Lukuvi inatufanya tuunganishe dots,kuwa ingawa Tume zote za uchunguzi,zilixochunguza mauaji ya Mwangosi,zilimtaja moja kwa moja Kamuhanda,kuwa ndiye muhusiks mkuu wa mauaji ya Mwangosi.

Lakini pamoja na ukweli huo kujulikana na umma wa waTZ,kushinikiza kamanda Kamuhanda awajibike kwa kujiuzulu uRPC wake,kamanda Kamuhanda amegoma kujiuzulu na aliyemteua kwenye nafasi hiyo,Rais Kikwete,anagwaya kumfukuza kszi,jambo linaloashiria wazi kuwa,mauaji ya Mwangosi,most probably,yalikuwa ni maagizo toka Ikulu kwenyewe!!
 
Yani napatwa na mashaka na wajumbe wa humu JF!

Wajumbe wa JF ni wavivu wa kufikiri tena kwenye mambo ya kawaida sana.

Hali hii inatokana na kukubali na kukumbatia fikra za kikundi cha watu wachache na waganga njaa yaani CHADEMA.

Mtanzania jitambue na huwe huru kifikra, acha kuwa balozi wa hao WASALITI wa taifa lao kwakuwa vibaraka wa watu wa magharibi yaani CHADEMA.

Turudi kwenye mada;

Alichosema mwanasiasa makini sana na mzalendo Mhe. Lukuvi ni katika kuijenga hoja yake ya kuwahamasisha polisi kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi mkubwa na kuzingatia maadili ya kazi kama kanuni na sheria zao zinavyo elekeza.

Katika kufanya hivyo basi, alimtaja kamanda Kamuhanda kama mfano wa makamanda ambao wanabidii kubwa kazini jambo ambalo hakuna mtanzania mwenye hekima na busara anaeweza kupinga kuhusu kamanda Kamuhanda.

Lakini haya yote yametokana na sababu kubwa ya kamanda kamuhanda kusemwa sana kwenye hotuba kivuli, na kama wote tujuavyo, mti wenye matunda siku zote ndio unapigwa mawe.

Kwa kumalizia tu, nichukue fursa hii kuwahasa watanzania wote bila kujali itikadi, epuka vitendo vinavyo fanywa na CHADEMA katika kushinikiza maandamano, ni mambo yanayo peleka machafuko na kuhatarisha amani ya nchi, kwa kufanya hivyo basi, tutawapa askari wetu muda na nguvu zaidi yakupambana na vitendo halisi vya uhalifu nchini.

Pole kwa kutokujuwa kuwa Bwana Mwangosi ni marehemu......

mwangosi_tanzania_misatanzania_468.jpg
 
Heko kamuhanda kwa kutekeleza kazi nzuri unazoagizwa na magamba,ila fahamu kwamba "mtenda mema hulipwa mema" na kinyume chake.
 
Yaaaani kakaosa mifano yoooote kaenda kumtaja kamhanga!?
Hii nchi ikikombolewa kuna watu watachinjwa miili yao ikafanyiwe practiko muhimbili
 
Back
Top Bottom