katika hili I beg to differ with you. Kwa ufahamu wangu mdogo alichafany Jairo ni kutoa maelekezo kwa walioko chini yake kuvuruga bajeti iliyopitishwa na bunge la 2010/11 kwa kila idara kunyofoa Milioni 50 ili zikztumike kinyume na bunge lilivyopitisha. Hivyo ni kosa kubwa alilotenda. Hizo blah blah wanazotuleta Utoh na Luhanjo san sana zinamshushia hadhi Utoh kwa kuwa tayari Luhanjo ameshakuwa katika black list ya ufisadi. All in all wamefany vizuri kushindwa kutosana kwa kuwa sasa watasubiri hukumu ya umma 2014 na 2015.