Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
- Thread starter
- #41
aaaahhhhhhaaaaa, Bagamoyo MakunduchiLuhanga Mpina 2025 tunakuhitaji. Kwa sasa anayesimamia nchi ni mwingine anayeongoza nchi ni mwingine.
aaaahhhhhhaaaaa, Bagamoyo MakunduchiLuhanga Mpina 2025 tunakuhitaji. Kwa sasa anayesimamia nchi ni mwingine anayeongoza nchi ni mwingine.
LABDA AENDE ACT CCM B kwa mkopoHabari zenu wadau wa JF siasa.
Hali ni tete nchini, ndivyo unavyoweza kusema. Amini usiamini, Mbunge wa Kisesa Mh Luhanga Mpina atagombea Urais kupitia chama Kikongwe Cha upinzani 2025
Mpango na mikakati inasukwa kwa ustadi wa Hali ya juu na huenda mwezi June 2025 uanachama wake ndani ya CCM ukakoma. Yeye na watu wake wakubwa wapatao 40 wamejipanga kukiteka chama hicho Cha upinzani. Itakumbukwa kuwa Mheshimiwa Luhanga Mpina amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali akimkosoa Bosi wake wa zamani January Makamba.
Hii sio desturi ya CCM, ni sehemu ya mikakati inayosukwa kumjenga kishawishi na kisisa. Hatma ya CCM ya kipindi hicho itaamuliwa na maombi na kudra za Mwenyezi Mungu.
Kabla ya hiyo June 2025, kundi hili litaibua Mambo mengi serikalini na chamani na itabidi wazee wa chama wasimame haswa kuhakikisha hakutokei vurumai za kisisa nchini.
Huu uzi utafufuliwa mwezi June 2025.
Ni hii ya kumkaba MakambaMku alianza lini kukosoa au ni hii hoja ambayo hajaikamilisha
Hujawahi kugombea kwa hiyo hujui usemacho..wale walikuwa wamepandwa mzuka tu.
..hawana nidhamu ya kujiandikisha na kupiga kura.
Si alidhani atakumbukwa!! Kuona hopes zimekufa ndio mapovu ila hakuna mwana CCM asiye mnafiki!!Mbona alinyimwa tangu enzi za Magufuli?
Huu uzi utafufuliwa mwezi June 2025.
Mambo ni moto2025 sio mbali.....
Acha tusubiri..
Yaani yule yulealiyetupimia samaki kwa rula na kutaifisha mabasi yetu kisa abiria ana samaki wawili wa mboga?Habari zenu wadau wa JF siasa.
Hali ni tete nchini, ndivyo unavyoweza kusema. Amini usiamini, Mbunge wa Kisesa Mh Luhanga Mpina atagombea Urais kupitia chama Kikongwe Cha upinzani 2025
Mpango na mikakati inasukwa kwa ustadi wa Hali ya juu na huenda mwezi June 2025 uanachama wake ndani ya CCM ukakoma. Yeye na watu wake wakubwa wapatao 40 wamejipanga kukiteka chama hicho Cha upinzani. Itakumbukwa kuwa Mheshimiwa Luhanga Mpina amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali akimkosoa Bosi wake wa zamani January Makamba.
Hii sio desturi ya CCM, ni sehemu ya mikakati inayosukwa kumjenga kishawishi na kisisa. Hatma ya CCM ya kipindi hicho itaamuliwa na maombi na kudra za Mwenyezi Mungu.
Kabla ya hiyo June 2025, kundi hili litaibua Mambo mengi serikalini na chamani na itabidi wazee wa chama wasimame haswa kuhakikisha hakutokei vurumai za kisisa nchini.
Huu uzi utafufuliwa mwezi June 2025.
Huyu mwehu alichotufanyia na dili lake chapa ya ng'ombe hafai hata kumsikia.Habari zenu wadau wa JF siasa.
Hali ni tete nchini, ndivyo unavyoweza kusema. Amini usiamini, Mbunge wa Kisesa Mh Luhanga Mpina atagombea Urais kupitia chama Kikongwe Cha upinzani 2025
Mpango na mikakati inasukwa kwa ustadi wa Hali ya juu na huenda mwezi June 2025 uanachama wake ndani ya CCM ukakoma. Yeye na watu wake wakubwa wapatao 40 wamejipanga kukiteka chama hicho Cha upinzani. Itakumbukwa kuwa Mheshimiwa Luhanga Mpina amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali akimkosoa Bosi wake wa zamani January Makamba.
Hii sio desturi ya CCM, ni sehemu ya mikakati inayosukwa kumjenga kishawishi na kisisa. Hatma ya CCM ya kipindi hicho itaamuliwa na maombi na kudra za Mwenyezi Mungu.
Kabla ya hiyo June 2025, kundi hili litaibua Mambo mengi serikalini na chamani na itabidi wazee wa chama wasimame haswa kuhakikisha hakutokei vurumai za kisisa nchini.
Huu uzi utafufuliwa mwezi June 2025.
Huyo huyo bwashee na atawatesa sana .Jamaa anajua kujenga hoja.Hoja yake imejadiliwa kwa wikinzima yaani hadi Maria space imewaibua kina Lissu halafu unamdharauYaani yule yulealiyetupimia samaki kwa rula na kutaifisha mabasi yetu kisa abiria ana samaki wawili wa mboga?
Hafai kabisa.
Kama kuna shida anatakiwa kusema sasa hivi na kuirekebisha sio kusubiri kusema ili ajinufaishe kisiasa.
Mtu wa namna hiyo hatufai
Hata waliopita ilikuwa kwa influence ipi..?.Kwa influence ipi??
Jibu swal ndipo uulize swal!Hata waliopita ilikuwa kwa influence ipi..?.
Tusubiri 2025Tango
Magu ndo kiongozi wa mwisho SECULAR leader. 2025 hakuna UCHAGUZI,Tunza na hiyo.Habari zenu wadau wa JF siasa.
Hali ni tete nchini, ndivyo unavyoweza kusema. Amini usiamini, Mbunge wa Kisesa Mh Luhanga Mpina atagombea Urais kupitia chama Kikongwe Cha upinzani 2025
Mpango na mikakati inasukwa kwa ustadi wa Hali ya juu na huenda mwezi June 2025 uanachama wake ndani ya CCM ukakoma. Yeye na watu wake wakubwa wapatao 40 wamejipanga kukiteka chama hicho Cha upinzani. Itakumbukwa kuwa Mheshimiwa Luhanga Mpina amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali akimkosoa Bosi wake wa zamani January Makamba.
Hii sio desturi ya CCM, ni sehemu ya mikakati inayosukwa kumjenga kishawishi na kisisa. Hatma ya CCM ya kipindi hicho itaamuliwa na maombi na kudra za Mwenyezi Mungu.
Kabla ya hiyo June 2025, kundi hili litaibua Mambo mengi serikalini na chamani na itabidi wazee wa chama wasimame haswa kuhakikisha hakutokei vurumai za kisisa nchini.
Huu uzi utafufuliwa mwezi June 2025.
Hakuna uchaguzi kivipiMagu ndo kiongozi wa mwisho SECULAR leader. 2025 hakuna UCHAGUZI,Tunza na hiyo.
La kutokuwapo uchaguzi limekushangaza, vp kuhusu Magu kuwa Kiongozi wa mwisho wa kuchaguliwa, secular system, halikushangazi?Hakuna uchaguzi kivipi
Mungu anakitaka kiti hicho akae mwenyewe. Mateso Kwa Wana wa Mungu yametosha, anakuja kutawala.Hakuna uchaguzi kivipi