Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Habari zenu wadau wa JF siasa.
Hali ni tete nchini, ndivyo unavyoweza kusema. Amini usiamini, Mbunge wa Kisesa Mh Luhanga Mpina atagombea Urais kupitia chama Kikongwe Cha upinzani 2025
Mpango na mikakati inasukwa kwa ustadi wa Hali ya juu na huenda mwezi June 2025 uanachama wake ndani ya CCM ukakoma. Yeye na watu wake wakubwa wapatao 40 wamejipanga kukiteka chama hicho Cha upinzani. Itakumbukwa kuwa Mheshimiwa Luhanga Mpina amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali akimkosoa Bosi wake wa zamani January Makamba.
Hii sio desturi ya CCM, ni sehemu ya mikakati inayosukwa kumjenga kishawishi na kisisa. Hatma ya CCM ya kipindi hicho itaamuliwa na maombi na kudra za Mwenyezi Mungu.
Kabla ya hiyo June 2025, kundi hili litaibua Mambo mengi serikalini na chamani na itabidi wazee wa chama wasimame haswa kuhakikisha hakutokei vurumai za kisisa nchini.
Huu uzi utafufuliwa mwezi June 2025.
Hali ni tete nchini, ndivyo unavyoweza kusema. Amini usiamini, Mbunge wa Kisesa Mh Luhanga Mpina atagombea Urais kupitia chama Kikongwe Cha upinzani 2025
Mpango na mikakati inasukwa kwa ustadi wa Hali ya juu na huenda mwezi June 2025 uanachama wake ndani ya CCM ukakoma. Yeye na watu wake wakubwa wapatao 40 wamejipanga kukiteka chama hicho Cha upinzani. Itakumbukwa kuwa Mheshimiwa Luhanga Mpina amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali akimkosoa Bosi wake wa zamani January Makamba.
Hii sio desturi ya CCM, ni sehemu ya mikakati inayosukwa kumjenga kishawishi na kisisa. Hatma ya CCM ya kipindi hicho itaamuliwa na maombi na kudra za Mwenyezi Mungu.
Kabla ya hiyo June 2025, kundi hili litaibua Mambo mengi serikalini na chamani na itabidi wazee wa chama wasimame haswa kuhakikisha hakutokei vurumai za kisisa nchini.
Huu uzi utafufuliwa mwezi June 2025.