Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Mpina akiwa anachangia hoja amesema kamati imekiri suala la kutumia mzabuni mmoja lilikataliwa na PPRA ambaye ndio msimamizi mkuu wa manunuzi nchini, lilikataliwa na bodi ya manunuzi, na walikataa sababu sheria za nchi za manunuzi ilikuwa inatekelezwa wakayti huo haziruhusu mambo hayo, lakini pia walikataa sababu ulikuwa huwezi kupata thamani ya pesa kwa njia hiyo iliyotumika.
Akaendelea kuwa waziri wa fedha aliandika barua kupitia kwa katibu wake mkuu kutaka mkataba usainiwe ambayo hiyo pia ni muendelezo wa kuvunja sheria za nchi.
Lakini pia wamesema tulilazimika kutumia njia ya single source ili tupate mkopo wa standard chattered, lakini Mkopo wowote nchini unachukuliwa kwa mujibu wa sheria, na kwamba hauwezi kuchukua mkopo kwa kuvunja sheria za nchi.
Akasema kuwa amejiridhisha suala la kutumia mzabuni mmoja ni wizi rushwa na ufisadi, na hivyo anapendekeza kamati ya PAC kuvunja mkataba wa TRC kati ya Yapi Merkezi Rot 1 & 3 na kuitangaza upya.
2. Mwigulu, Mbarawa, Mkurugenzi wa TRC, Mkugenzi wa Yapi Merkezi na wengine wote waliohusika wakamatwe, washtakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi.
Akaendelea kuwa waziri wa fedha aliandika barua kupitia kwa katibu wake mkuu kutaka mkataba usainiwe ambayo hiyo pia ni muendelezo wa kuvunja sheria za nchi.
Lakini pia wamesema tulilazimika kutumia njia ya single source ili tupate mkopo wa standard chattered, lakini Mkopo wowote nchini unachukuliwa kwa mujibu wa sheria, na kwamba hauwezi kuchukua mkopo kwa kuvunja sheria za nchi.
Akasema kuwa amejiridhisha suala la kutumia mzabuni mmoja ni wizi rushwa na ufisadi, na hivyo anapendekeza kamati ya PAC kuvunja mkataba wa TRC kati ya Yapi Merkezi Rot 1 & 3 na kuitangaza upya.
2. Mwigulu, Mbarawa, Mkurugenzi wa TRC, Mkugenzi wa Yapi Merkezi na wengine wote waliohusika wakamatwe, washtakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi.