Huko nyuma, wale watu waliokutwa na virusi vyenye kusababisha ukimwi au ubakwaji, walikuwa wanaitwa waathirka (victims). Lakini kadri muda unavyoenda imegundulika hizi ni lugha zenye kurudisha watu nyuma na wengine mpaka sasa hivi wanaitwa survivors.
Bahati mbaya wanasiasa wa chama hiki tawala, hizi ndio zimekuwa ni lugha za kuwahadaa Watanzania kisa tu kupata umaarufu.
Kinyume cha matumizi ya lugha hizi chochezi na dumazi za wanyonge na blah blah ni kuwaona wengine ni matajiri ambao wanapaswa kuishi kama mashetani. Pamoja na mapambio haya, hawa wanaoitwa masikini wako vilevile na hali zao ndio zimezidi kuwa mbaya zaidi.
Badala ya kuweka mikakati ya kupimika ya muda mrefu, kumekuwa na mikakati ya kishabiki.
Wapo wengine mbele za watu wanaitwa mabepari lakini nyuma ya pazia ndio wanaotukopesha (maana deni linazidi kukuwa) na ndio wahisani.
Kifupi, kinachoendelea sana ni udanganyifu wenye kisiasa wenye lengo la kuwafanya wenye uwezo kwamba hawafai isipokuwa wale "wanyonge na masikini".
Ni muhimu kuwafanya Watanzania watambue hali ya umasikini na si kuwaita masikini na majina mengine chochezi.
Tutumie wakati wa sasa tuondoke kwenye siasa zisizo na tija, tujikite kwenye uhalisia wa kuwakwamua Watanzania.
Bahati mbaya wanasiasa wa chama hiki tawala, hizi ndio zimekuwa ni lugha za kuwahadaa Watanzania kisa tu kupata umaarufu.
Kinyume cha matumizi ya lugha hizi chochezi na dumazi za wanyonge na blah blah ni kuwaona wengine ni matajiri ambao wanapaswa kuishi kama mashetani. Pamoja na mapambio haya, hawa wanaoitwa masikini wako vilevile na hali zao ndio zimezidi kuwa mbaya zaidi.
Badala ya kuweka mikakati ya kupimika ya muda mrefu, kumekuwa na mikakati ya kishabiki.
Wapo wengine mbele za watu wanaitwa mabepari lakini nyuma ya pazia ndio wanaotukopesha (maana deni linazidi kukuwa) na ndio wahisani.
Kifupi, kinachoendelea sana ni udanganyifu wenye kisiasa wenye lengo la kuwafanya wenye uwezo kwamba hawafai isipokuwa wale "wanyonge na masikini".
Ni muhimu kuwafanya Watanzania watambue hali ya umasikini na si kuwaita masikini na majina mengine chochezi.
Tutumie wakati wa sasa tuondoke kwenye siasa zisizo na tija, tujikite kwenye uhalisia wa kuwakwamua Watanzania.