Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Ludovick Joseph akamatwa na Polisi...

Jamani, mimi sibahatishi! Hapa nimeamua kupambana maana najua maisha yana mwisho. Hii habari ya kukamatwa kwake ni kweli kabisa. Watanzania tupambane tuhakikishe Tanzania inakuwa salama wa binadamu wote kuishi.

Sounds good Mkuu Jacton.
 
Asante mkuu!! Ila mwenye uzii huu atujuze kwa undani zaidi ili bongo zetu zianze kushungulika.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
tamthilia ya isidingo iringa kunani kila jambo iringa
 
Hiyo ni habari nzuri sana kwangu siku ya leo! MUNGU anaendelea kutenda miujiza!Hakuna rangi wataacha ona!
 
Sawaa!! Picha tuumeiona nukta.sasa tudhibitishie ulichokihakiki ikiwa na viambatanisho halisia,iki km nikufurahi tujue furaha yetu ni ya uhakika..

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mungu mkubwa! Habari za uhakika nilizozipata dakika kadhaa zilizopita zinasema mtuhumiwa mkuu wa utekaji na utesaji wa Kibanda, Joseph Ludovick, amekamatwa punde tu mjini Iringa.

This is very very very interesting coincidence. Bado nafuatilia lakini sija-rule out hata wewe pengine upo kwenye hii movie
 
Hawajakamata kichaa tena? Maana hawachelewi kutuletea mwendawazimu na kumpa chochote ili akubali kwamba amehusika.
 
Back
Top Bottom