Mkuu humu kuna watoto wengi sana siyo Great Thinkers wa wakati ule!! Watatukana sana mpaka 2025Whatever her CV is.....inamaana hakutakiwa kuchangia na kutoa mawazo yake,mbona nyie mnada huo uhuru wa kujieleA wenzenu wakijieleza mnawashambulia kwa matusi mitaoni talk facts acheni majungu na unafki
We Mwenyewe kakuvuta,mbona waenda kwenye ukurasa wake????Amefanikiwa kuvuna nzi wengi sana..kweli nzi hufata kinukacho..
Nadhani umesoma kutoka kwa kale kadada kahuni ka Marekani
Hapana kuna mtu kanitumia Whatsapp Acha ungese kitu kama hujui usikizungumzie mtoto wa ndesa anaitwa jina hilo? na ni Viti maalum kupitia CCM? anatoka jimbo la shinyanga mjini? Ameolewa mara nne? Pumbavu kabisa weweMtoto wa Ndesamburo.
Haha si ndio dada yetu Diaspora anasema kaishia tu kuliwa haramu na hakuna alichopata toka kwa Rost tamu ...sema kuna wasukuma bana ule weupe unaweza wachanganya wakafanya nyumba ndogo ,wewe unafikiria zile kelele zake bungeni ni za nini ?Kama alitoka na Rostam atakuwa amejenga nyumba ya maana na kama hajajenga hatajenga tena.
Mjini kuna kazi ndiyo yale ya Mugabe "a beautiful woman without brain, what suffers is her private parts".Haha si ndio dada yetu Diaspora anasema kaishia tu kuliwa haramu na hakuna alichopata toka kwa Rost tamu ...sema kuna wasukuma bana ule weupe unaweza wachanganya wakafanya nyumba ndogo ,wewe unafikiria zile kelele zake bungeni ni za nini ?
Kabula hoyeee
Sijui umenielewa
Acha ujinga wewe, kafatilie ukurasa wa Twitter wa trump wanavyo mnyoosha kwa koment , nahuyo ni rais wa Dunia.!!!! Acheni ujimaaaaKumwamini mtu anayediriki kumtukana rais wa nchi matusi ya nguoni kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza!!!!!hii ni aibu kujipambanua mbele ya kadamnasi kwamba unamuamini mtu wa aina hii
Hajaongea lolote..ni kujipendekeza tu..hivi kazi za mbunge anazijua..
Lucy owenya anafanana na bakuli la mbege...nimewaza tu jamani![]()
Anafanya biashara gani?Umemsikia anasema saa nyingine anashindwa kuuliza maswali kwasababu anawaza biashara zake.
Acha ujinga serekali imebaki kiki hivyo watu hawajui washike nini ndio mange katumia mwanya huo kudaka wafuasi!! Ukiwa desperate chochote utajishika nacho!!Uko sahihi mkuu, kama Taifa sijui tunakwenda wapi kwa kumwamini Mange kuliko serikali yetu.
Katukanwa trump sembuse wenu???Ndio maana huoni tatizo kwa Mange kumtukana rais wa nchi!!!


Et anawaza biashara tu sasa walimchagua wa nn viti maalum....ungenijua wala usingesema hvyo, anyway ni maoni yako lakini.Uzuri wa mwanamke urembo...ugly bitches msijipe moyo
Matusi ni sehemu ya maongezi lazima nitoe like mana hata kumuita mtu "mpumbavu" n tusi na kumfananisha binadamu na Mizigo iliyopo kwenye Lori analoendesha kama asemavyo magufuli ni matusi piaNguvu zake ameziweka katika kuleta kupunguza ufisadi, reli, barabara,kuongeza ufanisi na nidhamu kwenye taasisi za serikali.
Kama upendi matusi kwanini unampa "like"?!
Utofauti wao mwingine kati ya Lucy Owenya na Lucy Mayenga ni kwamba Lucy Mayenga ni MZURI , MREMBO SANA, MACHO DAAH UTALALA , HAKYAMUNGU DAAAH wapi mamaaaLucy Mayenga halafu ana kimwanya cha juu, Lucy Owenya sio mrembo kabisa
View attachment 497435
Mh. Lucy Mayenga
View attachment 497432
Mh.Lucy Owenya
Kwa akili yako kutukana marais ndio usasa,hii akili ya wapi?halafu hii umeitoa wapi kwamba upuuzi wowote wa Wamarekani inabidi tuuige,nadhani unajua wale wana machafu mengi ambayo hatuwezi kamwe hata kuyawaziaAcha ujinga wewe, kafatilie ukurasa wa Twitter wa trump wanavyo mnyoosha kwa koment , nahuyo ni rais wa Dunia.!!!! Acheni ujimaaaa
Mtoto wa Mzee Ndesamburo ambaye amepata kuwa Mbunge ni Lucy OWENYA.....siye huyu Mayenga..Mtoto wa Ndesamburo.