Lucy Mayenga alivyowaeleza wabunge ukweli

Lucy Mayenga alivyowaeleza wabunge ukweli

Nilishapendekeza hapo awali kwamba jukwaa hili lilishavamiwa na wafia dini wa Ufipa ambao kamwe huwa hawataki kusikia cv za mwenyekiti wao MBOWE kwamba pia kuna kila haja kwa mods kuangalia umri wa wadau wa jukwaa hili. Kuna mambo mengi ya kitoto yanabishaniwa humu alimradi yaweze kupotosha malengo mazima ya yaliyosemwa na mbunge. Kiukweli Mh. Lucy Mayenga ametoa neno Jema lisilo na upendeleo wowote au mrengo wowote ili tu kuwafanya wanaopenda kupotosha na kuharibu taswira ya bunge waache. Si upinzani wala chama tawala ndani ya bunge ni kweli baadhi yao wanatumika.
Wafia dini wa Lumumba huwaoni? Au kwa sababu ni wa upande wako hawaguswi wao hawana makosa siyo. Haya ndio matatizo yenu vijana wa CCM kwenu nyie serikali hii ni kama inaongozwa na malaika vile.
 
Lete uhusiano wa Mtikila, Mayenga na Rwanda basi tudadavulie macho hayaoni, masikio hayasikii,
Mkuu, siyo utafuniwe kila kitu. Tafuta link ya marehemu Mtikila akiielezea vizuri Bahima empire(Tutsi) na jinsi inavyotaka kujisimika Africa Mashariki ikianza na Rwanda, Uganda, DRC na kisha Tz. Huyu Lucy amejieleza mwenyewe hebu msikikize tena.
 
Kutukanwa ni jambo la kawaida kwa nchi zinazofuata demokrasia ilimradi ulisaini mwenyewe mkataba bila shuruti na rais ni binadamu kama wewe japo linakutisha jina la Urais
Ebu rudia kusoma ulichoandika halafu utafakari kwa makini
 
Kumwamini mtu anayediriki kumtukana rais wa nchi matusi ya nguoni kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza!!!!!hii ni aibu kujipambanua mbele ya kadamnasi kwamba unamuamini mtu wa aina hii
Wewe inaonyesha umemjua mange juzi tu alipoanza kumpost Magu yule humchana yoyote yule
 
Wewe inaonyesha umemjua mange juzi tu alipoanza kumpost Magu yule humchana yoyote yule
Niwe nimemfahamu leo au miaka kumi iliyopita ukweli unabaki pale pale,huyo dada ambaye inaonesha mnamuamini sana,hata kama kuna mazuri anayosema bado kumtusi rais wa nchi matusi ya nguoni mtu aliyemzidi umri kwa mbali, si sawa
 
Lucy aliwahi olewa na mbunge mmoja wa Lindi lengo awe inner cicrle kwa JK..awe anaratibu mtandao!! Walichomfanyia anajua mwenyewe!! Njaaa mbaya sanaaa!!! Huyu sio Raia!!! Muda wake umefika uhamiaji wamrudise kwao
 
Niwe nimemfahamu leo au miaka kumi iliyopita ukweli unabaki pale pale,huyo dada ambaye inaonesha mnamuamini sana,hata kama kuna mazuri anayosema bado kumtusi rais wa nchi matusi ya nguoni mtu aliyemzidi umri kwa mbali, si sawa
Kasome Bible Yesu Alitukanwa
 
Niwe nimemfahamu leo au miaka kumi iliyopita ukweli unabaki pale pale,huyo dada ambaye inaonesha mnamuamini sana,hata kama kuna mazuri anayosema bado kumtusi rais wa nchi matusi ya nguoni mtu aliyemzidi umri kwa mbali, si sawa
Inabidi umzoee tu lowasa alizalilishwa mno na ccm mkachekelea mno hasa kipindi cha kampeni mukamwita shujaa matokeo yake kavimba mapembe anatukana yoyote anavojiskia tena had watu wanaomzaa kabisa bila aibu. Hamna namna zaidi ya kumzoea tu.
 
Lucy aliwahi olewa na mbunge mmoja wa Lindi lengo awe inner cicrle kwa JK..awe anaratibu mtandao!! Walichomfanyia anajua mwenyewe!! Njaaa mbaya sanaaa!!! Huyu sio Raia!!! Muda wake umefika uhamiaji wamrudise kwao
Walimfanyia nini mkuu
 
Ulitaka wa press Magufuli like?
Ninachomanisha, ni sawa kiongozi wako kumpigia makofi mtu anayemshushia matusi ya nguoni mwingine kwa sababu hakubaliani na alichokisema tena kwa ustaharabu!
 
Back
Top Bottom