comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,951
Mtoto wa Ndesamburo.
Msichanganye Majina yule mtoto wa Ndesamburo na anaitwa Lucy Owenya lakini huyu Ni Lucy Mayenga hiyo veep vip????
Mtoto wa Ndesamburo.
Maadili hilo ni suala la MTU binafsi unakisoma kile anachoandika, maadili unamuachia mwenyeweUkifuata na kuamini anayosema Mange Kimambi utajikuta umekuwa Mtu wa ajabu ajabu,maana hana maadili hata tone
Kizuri hakikosi kasoro.Naona bahima empire kwenye ubora wao.R.I.P MtikilaUtofauti wao mwingine kati ya Lucy Owenya na Lucy Mayenga ni kwamba Lucy Mayenga ni MZURI , MREMBO SANA, MACHO DAAH UTALALA , HAKYAMUNGU DAAAH wapi mamaaaLucy Mayenga halafu ana kimwanya cha juu, Lucy Owenya sio mrembo kabisa
View attachment 497435
Mh. Lucy Mayenga
View attachment 497432
Mh.Lucy Owenya
Lucy Owenya ndio binti wa NdesamburoMtoto wa Ndesamburo.
uzuri wa mwanamke ni akili kichwani.Utofauti wao mwingine kati ya Lucy Owenya na Lucy Mayenga ni kwamba Lucy Mayenga ni MZURI , MREMBO SANA, MACHO DAAH UTALALA , HAKYAMUNGU DAAAH wapi mamaaaLucy Mayenga halafu ana kimwanya cha juu, Lucy Owenya sio mrembo kabisa
View attachment 497435
Mh. Lucy Mayenga
View attachment 497432
Mh.Lucy Owenya
Bungeni kuna wabangaizaji pia...kama sehemu nyingine yoyote. Ila itakuwa bahati mbaya kama kuna watu sababu ya kukaa sana wakageuza ndio kijiwe cha kupigia soga...kwetu hapa hilo halishindikani..Mh.Lucy Mayenga anafikiri jukumu la wabunge ni kuanzisha biashara na siyo kutunga sheria au kuisimamia serikali.
..Mh ametumikia ubunge zaidi ya miaka 10 sasa!!
Na ndio ana akili ya kiwango hicho, sijui asingekaa bungeni angekuwaje..Mh.Lucy Mayenga anafikiri jukumu la wabunge ni kuanzisha biashara na siyo kutunga sheria au kuisimamia serikali.
..Mh ametumikia ubunge zaidi ya miaka 10 sasa!!
Kizuri hakikosi kasoro.Naona bahima empire kwenye ubora wao.R.I.P Mtikila
Uko sahihi mkuu, kama Taifa sijui tunakwenda wapi kwa kumwamini Mange kuliko serikali yetu.Ukifuata na kuamini anayosema Mange Kimambi utajikuta umekuwa Mtu wa ajabu ajabu,maana hana maadili hata tone
Mtoto wa Ndesapesa anaitwa Lucy Awenya - viti maalumu CHADEMAMtoto wa Ndesamburo.
wanadai kina nani?Mbona wanadai ni mnyarwanda sio mtanzania atakuwaje mtoto wa Ndesamburo?! Kumekucha!
Wanadai Watanzania! Nextw
wanadai kina nani?
Ukifuata na kuamini anayosema Mange Kimambi utajikuta umekuwa Mtu wa ajabu ajabu,maana hana maadili hata tone
Bora kumwamini Mange kuliko mbunge anayetaka kuaminisha watu kuwa jukumu la mbunge ni kuanzisha viwanda vya upatu.Uko sahihi mkuu, kama Taifa sijui tunakwenda wapi kwa kumwamini Mange kuliko serikali yetu.