Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 3,572
- 4,825
Huwa nampinga sana mange sababu na yeye ni kicheche huko alikotoka ukianza na kina frank gonga, Advocate aliyombutua maziwa akadai fidia pale kilimanjaro kempinski, enzi za Garden Bistro, Much more, kajiuza sana. baba yake kupigwa mung'ari kigoma na Samuel R.
Lakini issue ya huyu mbunge mange yuko 100% true na huyu dada alisoma Jitegemee akalelewa na Familia fulani ya kisukuma mikocheni baadae ikahamia mbezibeach opp na queen Kunta. Manhe kweli ana data sheet facts
Lakini issue ya huyu mbunge mange yuko 100% true na huyu dada alisoma Jitegemee akalelewa na Familia fulani ya kisukuma mikocheni baadae ikahamia mbezibeach opp na queen Kunta. Manhe kweli ana data sheet facts