Lucy Mayenga alivyowaeleza wabunge ukweli

Lucy Mayenga alivyowaeleza wabunge ukweli

Ch
Hawa viti maalum wa CCM kazi yao ni kuisifia CCM pale bungeni hata kama ni pumba. Watanzania tunapoteza kodi zetu nyingi sana kwa upuuzi kama huu.
Chadema mnao wangapi vile
 
Kwani hujamsikia yeye mwenyewe akijisifia kwamba aliishi Rwanda uswahilini na Rwanda Masaki hadi ikaaminika ni mnyarwanda? Hiyo kasoro ya kuitwa mnyarwanda aliisahisha vipi kama siyo mmojawapo wa wajenzi wa Bahima Empire??

Lete uhusiano wa Mtikila, Mayenga na Rwanda basi tudadavulie macho hayaoni, masikio hayasikii,
 
Bora kumwamini Mange kuliko mbunge anayetaka kuaminisha watu kuwa jukumu la mbunge ni kuanzisha viwanda vya upatu.
Kumwamini mtu anayediriki kumtukana rais wa nchi matusi ya nguoni kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza!!!!!hii ni aibu kujipambanua mbele ya kadamnasi kwamba unamuamini mtu wa aina hii
 
Kumwamini mtu anayediriki kumtukana rais wa nchi matusi ya nguoni kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza!!!!!hii ni aibu kujipambanua mbele ya kadamnasi kwamba unamuamini mtu wa aina hii
Kutukanwa ni jambo la kawaida kwa nchi zinazofuata demokrasia ilimradi ulisaini mwenyewe mkataba bila shuruti na rais ni binadamu kama wewe japo linakutisha jina la Urais
 
Kwakweli mi binafsi namuamini sana yule dada ana point za msingi sana sema lugha anayotumia ni harsh kidogo lakini ana hoja za msingi.
Nilishapendekeza hapo awali kwamba jukwaa hili lilishavamiwa na wafia dini wa Ufipa ambao kamwe huwa hawataki kusikia cv za mwenyekiti wao MBOWE kwamba pia kuna kila haja kwa mods kuangalia umri wa wadau wa jukwaa hili. Kuna mambo mengi ya kitoto yanabishaniwa humu alimradi yaweze kupotosha malengo mazima ya yaliyosemwa na mbunge. Kiukweli Mh. Lucy Mayenga ametoa neno Jema lisilo na upendeleo wowote au mrengo wowote ili tu kuwafanya wanaopenda kupotosha na kuharibu taswira ya bunge waache. Si upinzani wala chama tawala ndani ya bunge ni kweli baadhi yao wanatumika.
 
Nilishapendekeza hapo awali kwamba jukwaa hili lilishavamiwa na wafia dini wa Ufipa ambao kamwe huwa hawataki kusikia cv za mwenyekiti wao MBOWE kwamba pia kuna kila haja kwa mods kuangalia umri wa wadau wa jukwaa hili. Kuna mambo mengi ya kitoto yanabishaniwa humu alimradi yaweze kupotosha malengo mazima ya yaliyosemwa na mbunge. Kiukweli Mh. Lucy Mayenga ametoa neno Jema lisilo na upendeleo wowote au mrengo wowote ili tu kuwafanya wanaopenda kupotosha na kuharibu taswira ya bunge waache. Si upinzani wala chama tawala ndani ya bunge ni kweli baadhi yao wanatumika.
Hata wewe unatumika pia katika Forum ya Melo ni bora ukaficha ujinga wako
 
Back
Top Bottom