Lucifer hakupenda kuwa shetani Kuna mambo alitofautiana na Mungu akaona kama mbwai iwe mbwai

Lucifer hakupenda kuwa shetani Kuna mambo alitofautiana na Mungu akaona kama mbwai iwe mbwai

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
2,308
Reaction score
4,687
Labda ni falsafa ya kizembe TU kwamba Mungu alimuona shetani kama muasi ingawa Kuna malaika ambao waliyaunga mkono malalamiko ya shetani Mungu aliona ni Bora kumtupa duniani kuliko kumuua!!

Vipi angemuua wale malaika theluthi wangeendelea kuwa wapinzani wa Mungu ndani ya mbingu yenyewe!! Sio kila unaemuona kama adui adhabu yake ni kumuua ,wengine Huwa wanatupwa TU wakahangaike na maisha yao huko ,

Kama ni kweli kanisa la Gwajima limetupwa basi tujiandae Kwa jambo kubwa zaidi Kwa sababu wafuasi WA hili kanisa hawatakuwa Tena raia wakawaida bali watabadilika na kuwa kundi lenye uhasama na serikali ,kama Kuna mwenye hekima zaidi awasanue wasije kuwa wanaongezea njiti za kiberiti kwenye moto
 
Labda ni falsafa ya kizembe TU kwamba mungu alimuona shetani kama muasi ingawa Kuna malaika waliyaunga mkono malalamiko ya shetani aliona ni Bora kumtupa duniani kuliko kumuua!! Vipi angemuua wale malaika theluthi wangeendelea kuwa wapinzani wa mungu ndani ya mbingu yenyewe!! Sio kila unaemuona kama adui adhabu yake ni kumuua ,wengine Huwa wanatupwa TU wakahangaike na maisha yao huko ,kama ni kweli kanisa la gwajima limetupwa basi tujiandae Kwa jambo kubwa zaidi Kwa sababu wafuasi WA hili kanisa hawatakuwa Tena raia wakawaida bali watabadilika na kuwa kundi lenye uhasama na serikali ,kama Kuna mwenye hekima zaidi awasanue wasije kuwa wanaongezea njiti za beriti kwenye moto
Hii mada ni ngumu inahitaji open minded tu kuweza kuzungumza
 
Hivi mungu alikosa sehemu ya kumtupa shetani akaona duniani ndio kunafaa kwani hakutupwa mwezini,Mars au Venus?
 
Hivi mungu alikosa sehemu ya kumtupa shetani akaona duniani ndio kunafaa kwani hakutupwa mwezini,Mars au Venus?
Hili dude Fulani lenye maguvu mengi na lilikuwa na wafuasi tangia huko mbinguni theluthi ya malaika walimuabudu
 
Back
Top Bottom