Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,556
- 2,995
Ramadhani njema wanajamvi!
leo naleta hoja lakini hoja yangu ni ya kiimani nataka kujua kupata kujifunza kutokana na fikra zangu hazinishawishi pia,nifahamike mimi imani yangu ni muislamu hivyo siyo kama nakebehi kuhusu hoja yangu na ikiwa nimekosea mungu anisamehe.
Qur'an na bibilia vinamtambua ibilisi ni kama malaika aliyeasi (rejea surat baqarah pale aibilisi alipoambiwa kuwa amsujudie mwanaadamu hakika yeye ni kiumbe bora,ibilisi aliasi na mungu akamlaani,lakini pia hata upande wa bible katika kurasa na sura ya mwanzo mungu ameongelea uumbaji wa dunia pamoja na mwanadamu na akampa ibilisi sura ya nyoka ambae amemdanganya Eva na mungu alipogundua hilo baadae akawalaani wote akamwambia hawa atazaa kwa uchungu,ibilisi atatembelea tumbo lake na adamu atatafuta kwa shida.
Hoja yangu ipo hapa je,inawezekana mungu akaumba kiumbe kinachomzidi nguvu?rejea maandiko ya ujenzi wa mnara wa babeli mungu aliposhuka chini na kuwasikia watu wake wakisemezana kwamba wajenge mnara mkubwa ili kuacha historia ya vizazi ndipo mungu akaona kuwa hawa wanadamu wanaongelea lugha moja na utaifa mmoja akituacha hivyo huenda tukafanya makubwa zaidi,na tukapata kutafuta ule mti mkuu wa uzima akaogopa na kutufautisha lugha pamoja kututawanya.
Swali ni kweli mungu hakujua anachokiumba kina nguvu kiasi gani?au alijua mwanadamu ataishi atakavyo yeye lakini je hakujua uwezo wa sauti na akili?
Swali fikirishi kuna nguvu ya wema ambayo ni mungu na nguvu ya ubaya ni shetani ni kwamba unapotenda wema basi imetekeleza maandiko ila ubaya umekengeuka maamrisho inakuwaje?kuwe na nguvu mbili wakati mmoja (wema na ubaya).
Uhalisia upo hivi mimi mfanyabiashara mdogo siwezi kulinganishwa au kujilinganisha na mfanyabiashara mkubwa kama bakhresa inakuwa upande wa hizi nguvu mbili zinashabiana?
NAWASILISHA
leo naleta hoja lakini hoja yangu ni ya kiimani nataka kujua kupata kujifunza kutokana na fikra zangu hazinishawishi pia,nifahamike mimi imani yangu ni muislamu hivyo siyo kama nakebehi kuhusu hoja yangu na ikiwa nimekosea mungu anisamehe.
Qur'an na bibilia vinamtambua ibilisi ni kama malaika aliyeasi (rejea surat baqarah pale aibilisi alipoambiwa kuwa amsujudie mwanaadamu hakika yeye ni kiumbe bora,ibilisi aliasi na mungu akamlaani,lakini pia hata upande wa bible katika kurasa na sura ya mwanzo mungu ameongelea uumbaji wa dunia pamoja na mwanadamu na akampa ibilisi sura ya nyoka ambae amemdanganya Eva na mungu alipogundua hilo baadae akawalaani wote akamwambia hawa atazaa kwa uchungu,ibilisi atatembelea tumbo lake na adamu atatafuta kwa shida.
Hoja yangu ipo hapa je,inawezekana mungu akaumba kiumbe kinachomzidi nguvu?rejea maandiko ya ujenzi wa mnara wa babeli mungu aliposhuka chini na kuwasikia watu wake wakisemezana kwamba wajenge mnara mkubwa ili kuacha historia ya vizazi ndipo mungu akaona kuwa hawa wanadamu wanaongelea lugha moja na utaifa mmoja akituacha hivyo huenda tukafanya makubwa zaidi,na tukapata kutafuta ule mti mkuu wa uzima akaogopa na kutufautisha lugha pamoja kututawanya.
Swali ni kweli mungu hakujua anachokiumba kina nguvu kiasi gani?au alijua mwanadamu ataishi atakavyo yeye lakini je hakujua uwezo wa sauti na akili?
Swali fikirishi kuna nguvu ya wema ambayo ni mungu na nguvu ya ubaya ni shetani ni kwamba unapotenda wema basi imetekeleza maandiko ila ubaya umekengeuka maamrisho inakuwaje?kuwe na nguvu mbili wakati mmoja (wema na ubaya).
Uhalisia upo hivi mimi mfanyabiashara mdogo siwezi kulinganishwa au kujilinganisha na mfanyabiashara mkubwa kama bakhresa inakuwa upande wa hizi nguvu mbili zinashabiana?
NAWASILISHA