Njanga Tz
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 843
- 655
Baada ya kukatwa kwa Mzee wetu wingu zito limetanda miongoni mwa sisi wafuasi wake hasa kutokana na ukimya huu wa Mzee wetu.
Mzee Lowasa kumbuka siku tunaianza safari yetu pale arusha ule umati mkubwa wa watu,kumbuka pia wakati wakutafuta wadhamini ule utitiri wa watu uliokua nyuma yako.
Hakuna mkoa ulipita usitikisike kwa kishindo chako. Wakumbuke wadhamini elfu 87 tulio nyuma yako.
Mzee wangu naomba ututulize sisi wafuasi wako mana kuna sintofahamu kubwa ndani ya mioyo yetu. Kumbuka sisi ni wengi kuliko wale walioamua kwa utashi wao.
Kama ukiamua kusema chochote sisi tutafuata tu tuko tayari siku zote na muda wote.Asikudanganye mtu eti CCM haijapasuka njoo uku uone watu walivyosusa na kuchukizwa na walichokifanya.
Nakusihi mzee tutulize watu wako lasivyo unatuacha kwenye wakati mgumu.Fanya hima jembe langu nakutegemea sana.
#Lowasa watulize watu wako
Mzee Lowasa kumbuka siku tunaianza safari yetu pale arusha ule umati mkubwa wa watu,kumbuka pia wakati wakutafuta wadhamini ule utitiri wa watu uliokua nyuma yako.
Hakuna mkoa ulipita usitikisike kwa kishindo chako. Wakumbuke wadhamini elfu 87 tulio nyuma yako.
Mzee wangu naomba ututulize sisi wafuasi wako mana kuna sintofahamu kubwa ndani ya mioyo yetu. Kumbuka sisi ni wengi kuliko wale walioamua kwa utashi wao.
Kama ukiamua kusema chochote sisi tutafuata tu tuko tayari siku zote na muda wote.Asikudanganye mtu eti CCM haijapasuka njoo uku uone watu walivyosusa na kuchukizwa na walichokifanya.
Nakusihi mzee tutulize watu wako lasivyo unatuacha kwenye wakati mgumu.Fanya hima jembe langu nakutegemea sana.
#Lowasa watulize watu wako