Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 509
Ukweli gani tena? Mbona alikwishasema na kurudia kile anachokijua kwamba Kikwete hawakukutana barabarani? Wahenga waliosema: Nionyeshe rafiki yako, nikuambie tabia yako walikosea?
"........Nionyeshe rafiki yako, nikwambie tabia yako!"
Kwa hivyo ni Zero toa Sifuri?