Lowassa: Wakimwaga mboga namwaga ugali

Lowassa: Wakimwaga mboga namwaga ugali

Ndiyo Lowassa usikubali, kama dili la Richmood watu kibao walikuwepo, ukawaachia uwaziri mkuu ili kuinusuru serikali - bado wanakufuata tu? kama bwai na iwe bwai - hata mimi nisingekubali, bila wenyekigoda kujivua na wewe usikubali kabisa.
 
Mwaga ugali urudishe heshima yako iliyogalagazwa kwanini uaibishwe kwa manufaa ya watu?? Mwaga mwaga tuone wenzio wameshamwaga mboga wewe unangoja nini??

Sure, wanataka kumtoa kafala kivipi, kwani wao hawahusiki? EL toa list ya mafisadi wote ndani ya CCM ili kama kuna haja wawajibike basi wahusika wote isiwe peke yako, tena wasivyo na aibu wanasema umesababisha chama kukosa mvuto na kupoteza imani kwa wanachama na watanzania kwa ujumla kwa nini mvigo huu uwe wako tu hata mi siafiki. hujahukumiwa mahakamani kuwa wewe ni fisadi, hawaja toa ushaidi unaonyesha wewe ni fisadi, what is the base of their decision? Is that to say from from public hearing? if that is the base for the decesion, how much we heard from the public about kikwete, and other ccm senior members; why they not Magamba? they also to be taken off from the part.
lowasa kubali kuadhibiwa kama kweli ulikosea, if not keep up fighting
 
Sawa lowassa,nakubali wew mbishi,una kiburi!.Ila wew ni MWIZI PIA.
 
VIGOGO wa CCM wanaotakiwa wajiuzulu kwa ufisadi wamekutana na uongozi wa juu wa CCM, na taarifa zinasema bado mvutano haujaisha kati yao.
Walikutana na Makamu Mwenyekiti, Pius Msekwa, wiki iliyopita, na kwamba mmoja wao, Edward Lowassa, bado ana donge. Lowassa, Rostam, Chenge wabanwa.Waitwa faragha CCM. Wawili walainika, Lowassa aweka ngumu. Mmoja atisha: akimwaga mboga, atamwaga ugali.


Source: Raia Mwema Twitter
 
Mimi nadhani Lowassa kama Mwanasiasa mkongwe alitakiwa a-step down tu, kwasababu system haimtaki tena kwasababu kaichafua. sasa akimwaga ugali yeye itamsaidia nini? afanye kitu ambacho kitamfanya arudishe heshma yake na siyo kuwa na "moyo wa tukose wote"
Imekula kwenu si mlijifanya wajanja kuwaibia waTz sasa mnaibiana wenyewe. Lowassa songa mbele, bora mkose wote ili waTz tupate.
 
Wanafanya lobbing gani badala ya kujivua gamba straight?...........Watakuwa wanafanya kujisafisha mbele ya viongozi wa ccm, ili wabaki na gamba lao...!.......Kwangu mimi whether watajivua, au whether watabaki nalo yote ni mema tu!
 
Hivi hiki chama cha Mapinduzi kinaishi kwa mikwara na vitisho tuuu??Mbona kila news yao ni MKWARA??Sasa haya ya akimwaga mboga namwaga ugali...Si wawaache wamwagiane tuone aftermarth??!! labda wakikosa cha kula watatulia na ku-focus katika maendeleo ya nchi na wananchi wake!! WANABOA
 
:tonguez:Hivi ile sheria ya kuweka watu kama hawa kizuizini ipo? Rais ni Institution si rahisi kama ilivyo!!! Kazi mbaya si mchezo mwema hata kidogo!!! Kama kweli JK yuko serious wkt huu wa TZ wanahitaji kuthibitisha kauli yake kama ni kweli1! Vinginevyo usharobaro wao unaweza kuifikisha nji pasipo????😛ound:
 
Wanafanya lobbing gani badala ya kujivua gamba straight?...........Watakuwa wanafanya kujisafisha mbele ya viongozi wa ccm, ili wabaki na gamba lao...!.......Kwangu mimi whether watajivua, au whether watabaki nalo yote ni mema tu!

Kweli Mkuu???
 
Tatizo hapa si Lowassa, tatizo ni huyo aliyeacha nafasi wazi Lowassa akaingia. Si mnamwona Nyerere ***** kiasi cha kufikia hatua ya kumwita Mzee Nyerere badala ya Baba wa Taifa. Sasa mzimu wake utawatafuna na kamwe hamuwezi kuukimbia.

Kikwete kaanzisha moto, Lowassa ndie atakaye ukoleza.
 
Tatizo la CCM sio mapacha watatu, bali ni UFISADI, kuwafukuza uanachama au uongozi haitasaidia kukirudishia CCM hadhi yake. Bali waangalie nini kimesababisha kuwa na mafisadi au ufisadi. Wasitake kukaka matawi ya mti kwa kisingizio la kuuteketeza bali wang'oe mizizi yake. Chanzo cha Ufisani ni mfumo wa kuruhusu viongozi kujilimbikizia mali wakiwa madarakani. Kama wamesahau au wanaogopa kimvuli chao basi wajue wazi kuwa chanzo cha Ufisadi ni AZIMIO LA ZANZIBAR. Wakumbuke walionywa na Mwalimu na Korimba pia. Kwasisi wengine yetu macho kwani vita ya panzi furaha ya kunguru.
 
EL kwenye Richmond alitwambia alifanya maamuzi magumu kujiuzulu upm ili kuiokoa serikali ya Jk isianguke,napata kigugumizi kuamini kuwa eti atafanya maamuzi magumu tena kumuokoa rafiki wa kwenye raha tu na si kwenye shida.

Hii ngoma nzito.Kwa mtazamo na imani yangu ni kama nauona mkono wa Mungu kwenye hizi issue,yaani ni kama kuna mengine yanakuja ili kuhitimisha mwanzo na mwisho wa CCM.Tusubiri.
 
Mwalimu Jk Nyerere aliwahi kusema ukishakula nyama ya binadamu huwezi kuiacha CCM wamekula nyama za Watanzania kwa miaka 50 sasa dhambi hiyo inawaandama wamegeukana wanakula nyama zao wenyewe
 


LOWASA USIKUBALI MLIPUE



TENA AKUOMBE RADHI HAZARANI KWA KUKUAIBISHA MLIPUE TU
 
we ezan nikutukane ? kama kweliunamaanisha hivi wewe akili yako iko matakoni. kama hujamaanisha basi haya nmatusi hajakustahili wewe.
ngoja nikuulize yale yakiyotokea misri ni kwa sababu mubarak ni mwislam au ni mkristo?au wale wanaoandamana kule bengazi wote ni wakristo?
usiongee kama vile umekalia gunzi[/QUOTE]
Matusi hayoo
 
Back
Top Bottom