Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Hakuna mahala nilipoandika didi, thibitisha
Kweli kipofu usihangaike kumaliza nyasi kuwa kummulikia gizani
Hakuna mahala nilipoandika didi, thibitisha
Yanayo mkuta Kikwete ni kwamba anaandamwa kwasababu ya dini yake, yanayomkuta Lowasa ni haki yake lazima asurubiwe.
Mimi nadhani Lowassa kama Mwanasiasa mkongwe alitakiwa a-step down tu, kwasababu system haimtaki tena kwasababu kaichafua. sasa akimwaga ugali yeye itamsaidia nini? afanye kitu ambacho kitamfanya arudishe heshma yake na siyo kuwa na "moyo wa tukose wote"
Hakuna mahala nilipoandika didi, thibitisha
Wananchi Kikwete anawachezea akili wanachama wa ccm; haiwezekani kabisa kumtosa Lowassa na yeye akapona!! Hii yote wanayofanya ni mchezo wa kuigiza, Kikwete na Lowassa kama ni pete na chanda na ndio maana hata hapa juzi wake zao walikuwa pamoja kwenye sherehe za kampuni yao ya WAMA!!
Na huko ndiko tunako elekea,lowasa anafanya kila njia ili kuweza kumuaribia JK hasa kitika serikali yake,ndio maana kwa sasa Lowasa ana mtumia sana kubenea ili kuweza kuwaharibia wakina sitta na mwakyembe ili tu aweze kuyumbisha serikali ya jk.Na kwa hili atafanikiwa tu maana inaonekana amejipanga,hata ukisoma mwanahalisi ya leo kuna kitu unaweza gundua,Mwanahalisi wanachokifanya kwa sasa ni kuwapiga Mwakyembe na Sitta kwa ishu ya CCJ toleo lililopita na toleo la wiki hii mada nyingi ni zile zile.Wanaanza kwa kuwapiga mapacha watatu kidogo halafu wanahamia kwa Sitta na mwakyembe na hili ndio dhumuni la mwanahalisi kwa sasa.
mimi nadhani lowassa kama mwanasiasa mkongwe alitakiwa a-step down tu, kwasababu system haimtaki tena kwasababu kaichafua. Sasa akimwaga ugali yeye itamsaidia nini? Afanye kitu ambacho kitamfanya arudishe heshma yake na siyo kuwa na "moyo wa tukose wote"
Mwanangu Lowassa komaa nao tuu hao. Wao wanataka Membe apite 2015 kama anaenda uani kuwania uraisi.. Komaaa nao mpaka kieleweke.. Kama kujivua gamba basi hata aliyetumia hela za EPA kwenye uchaguzi mkuu 2005 zaidi bilion 30 aanze yeye wengine mfwatie. JK lazima awe KILONGOLA katika hili
Mwanangu Lowassa komaa nao tuu hao. Wao wanataka Membe apite 2015 kama anaenda uani kuwania uraisi.. Komaaa nao mpaka kieleweke.. Kama kujivua gamba basi hata aliyetumia hela za EPA kwenye uchaguzi mkuu 2005 zaidi bilion 30 aanze yeye wengine mfwatie. JK lazima awe KILONGOLA katika hili
Acha ligi kijana..umeazimia kuandika dini..umeandika didi..mwingine anaweza asikuelewe....Hakuna anayemwandama JK kwa dini yake..haya ni maneno ya kupotosha ama kuukwepa ukweli...JK ameshindwa kuongoza nchi hii iko wazi hata ukuiwauliza watoto wa darasa lasaba wanaojitambua watakueleza...Mwinyi alikuwa raisi Tanzania nani alimuandama kwa dini yake?? embu tumia akili yako katika kuchanganua mambo sio ku copy and paste kila propaganda chafu zinazoenezwa na Magamba...Tanzania hatuchagui rais kwa dini na ndio maana 2005 alishinda kwa asilimia 85% je hii ilikuwa ni wa dini moja wamemchagua..kati ya hiyo 85% leo haifiki hata 40% watu wamechoshwa na uongozi mbaya wa Magamba na uoga na uvumilivu wa watanzania ndio sababu mpaka leo 2011..Magamba yanatawala.....Amka kijana!!
Na huko ndiko tunako elekea,lowasa anafanya kila njia ili kuweza kumuaribia JK hasa kitika serikali yake,ndio maana kwa sasa Lowasa ana mtumia sana kubenea ili kuweza kuwaharibia wakina sitta na mwakyembe ili tu aweze kuyumbisha serikali ya jk.Na kwa hili atafanikiwa tu maana inaonekana amejipanga,hata ukisoma mwanahalisi ya leo kuna kitu unaweza gundua,Mwanahalisi wanachokifanya kwa sasa ni kuwapiga Mwakyembe na Sitta kwa ishu ya CCJ toleo lililopita na toleo la wiki hii mada nyingi ni zile zile.Wanaanza kwa kuwapiga mapacha watatu kidogo halafu wanahamia kwa Sitta na mwakyembe na hili ndio dhumuni la mwanahalisi kwa sasa.
Lowasa atamuharibiaje JK ? kwani nani ni raisi wa nchi hii. JK ni dhaifu ndio na hiyo ndo loophole anayotumia Lowasa. Angekuwa Lowasa ndo Rais na JK ndo PM mambo yangekuwa tofauti. Lowansa anagetumia madaraka yake yote kufanya chochote kwenda na rythm ya public.
Ndio maana japo simubali sana JK naona ana uvumilivu sijui upole sijui ni umbayuwayu wa ajabu ambao hauna hata cehmbe ya maslahi kwa taifa.