Lowassa Vs. Membe - Tanzania's own "Thrilla in Manila"?

Nchi isikabiziwe kwa mafisadi wataifisidi mpaka iwe ni kama laana kwa vizazi vinavyokuja post by Abuu nazal.
 
Mnyisanzu, kwanza hakuna ugomvi wowote kati ya watu hawa bali wanatofauti tuu katika comon interest ya urais wa 2015.

Kuna viongozi ambao ni born leader na made leader. Membe ni made leader na Lowassa ni born leader. Made leader anammaind born leader!

Kwa vile Ben alikuwa foreign na akawa rais, then JK alikuwa foreign akawa rais, Membe anaamini sasa ni zamu yake maana yeye ndiye yuko foreign!.

Lowassa was born to lead kutukomboa Watanzania!. Uwezo wa Membe mnaujua?. Ni afadhali ya JK mara mia!. Kama JK ndio ametufikisha hapa!, Membe si ndio atatuteketeza kabisa!. Hapa mtu ni EL tuu!.

Pasco utaacha lini kumtetea lowasa jamani! mimi naamini upo kufurahisha baraza tu watu waweze kudiscuss but sidhani kwa great thinker kama ww ni vizuri kujaribu kumsafisha huyu jamaaa

mi nakuambia bora ya membe kuliko lowasa, lowas ni MWIZI tena FISADI jamani pasco lol! au umetumwa nigawie na mimi peasa na ma V8 mliyopewa na lowasa

jk bomu lakini sio kama membe na lowasa, the 2015 president is Mwakyembe!
 
membe kuwa raisi wa nchi!!!???nchi ipi hiyo.huu ni utani sasa,membe kuwa raisi ni sawa na kutengeneza chips za boga.:yawn:
 
Mnyisanzu, kwanza hakuna ugomvi wowote kati ya watu hawa bali wanatofauti tuu katika comon interest ya urais wa 2015.

Kuna viongozi ambao ni born leader na made leader. Membe ni made leader na Lowassa ni born leader. Made leader anammaind born leader!

Kwa vile Ben alikuwa foreign na akawa rais, then JK alikuwa foreign akawa rais, Membe anaamini sasa ni zamu yake maana yeye ndiye yuko foreign!.

Lowassa was born to lead kutukomboa Watanzania!. Uwezo wa Membe mnaujua?. Ni afadhali ya JK mara mia!. Kama JK ndio ametufikisha hapa!, Membe si ndio atatuteketeza kabisa!. Hapa mtu ni EL tuu!.
Pasco,
Naona umekosea. Lowassa was not born to lead us. One who leads us does not steal from us. Can you imagine Moses stealing from the sons of Israel in the desert?
 
Ndugu yangu Kiungani, heshima ni muhimu sana. Alhaj Membe na JK sio mashemeji. Ni watoto wa baba mmoja mama mbalimbali.

Baba yao ni muislam, Mama wa JK ni muislam, mama wa Alhaj Membe ni mkristo mkatoliki, tena alikuwa sister. Mama wa Membe alipatwa na Mzee K, alipokuwa hapa DSM, akagoma kuolewa akaenda kwao huko Lindi.

JK alipohamishiwa Lindi kukazi akamtafuta mdogo wake na kuanza kumpromoti na anataka kumrithisha kiti cha Urais.

Kumbe udini ndio kigezo cha kuwa kiongozi; oops asanteni kwa prove kwamba udini upo na itabidi tuagawane nchi siku ikifika
 
Sidhani watu kukosoana ni ugomvi, kuna tofauti kati watu kukoseana na watu kugombana, Hakuna ugomvi rasmi kati ya hawa watu, hoja zikipingana na jambo la kawaida na sio ugomvi.
 
membe alibaniwa na lowassa kwenye baraza la kwanza la mawaziri akaishiwa kupewa unaibu waziri ugomvi ukaanzia hapo
 
Mnyisanzu, kwanza hakuna ugomvi wowote kati ya watu hawa bali wanatofauti tuu katika comon interest ya urais wa 2015.

Kuna viongozi ambao ni born leader na made leader. Membe ni made leader na Lowassa ni born leader. Made leader anammaind born leader!

Kwa vile Ben alikuwa foreign na akawa rais, then JK alikuwa foreign akawa rais, Membe anaamini sasa ni zamu yake maana yeye ndiye yuko foreign!.

Lowassa was born to lead kutukomboa Watanzania!. Uwezo wa Membe mnaujua?. Ni afadhali ya JK mara mia!. Kama JK ndio ametufikisha hapa!, Membe si ndio atatuteketeza kabisa!. Hapa mtu ni EL tuu!.

Acha unafki ww!! unamkosoa membe kwa lipi ? na unampamba lowassa kwa lipi? najua huenda ni mmoja wa wanaonufaika na ufisadi au ulifurahia serekali ilipolipa fidia kubwa kwa maamuzi ya kijinga,yapapara na yakiwehu yaliyofanywa na lowassa i.e alipovunja mkataba na dawasco na alipoamrisha kuvunjwa kwa lile gorofa dar.
 
Naskia wanajipanga ktk mbio za uraji rahis 2015,kila mmoja anazichanga sa hivi,mwenye link na EL aniunganishe kama mpambe kanda ya ziwa na madhahabu
 
Re: Ni nini hasa kilichowagombanisha Lowassa na Alhajj Membe?

quote_icon.png
By Pasco
Mnyisanzu, kwanza hakuna ugomvi wowote kati ya watu hawa bali wanatofauti tuu katika comon interest ya urais wa 2015.

Kuna viongozi ambao ni born leader na made leader. Membe ni made leader na Lowassa ni born leader. Made leader anammaind born leader!

Kwa vile Ben alikuwa foreign na akawa rais, then JK alikuwa foreign akawa rais, Membe anaamini sasa ni zamu yake maana yeye ndiye yuko foreign!.

Lowassa was born to lead kutukomboa Watanzania!. Uwezo wa Membe mnaujua?. Ni afadhali ya JK mara mia!. Kama JK ndio ametufikisha hapa!, Membe si ndio atatuteketeza kabisa!. Hapa mtu ni EL tuu!.



ama kweli hivi ndyo CCM wanakuja 2015

sina uhakika kama wanamsikia au hata wanamjua slaa

mana kati ya hao wawili hakuna wa kupambana nae

hata waibe zote watu watakataa



 
Bunge committee’s trip abroad raises eyebrows

Tuesday, 26 June 2012 23:04

By Mkinga Mkinga
The Citizen Reporter

Dar es Salaam. Members of the Parliamentary Committee on Foreign Affairs, Defence and Security left the country yesterday for a tour of several embassies.The chairman of the committee, Mr Edward Lowassa (Monduli – CCM), told reporters at the Julius Nyerere International Airport shortly before the team’s departure that their major mission was to assess the performance of the country’s diplomatic missions.

But in a quick rejoinder, the minister for Foreign Affairs and International Corporation, Mr Bernard Membe, wondered why the committee had decided to conduct such visits at a time when Parliament is discussing the national budget.
Among other things, the committee oversees the activities under Mr Membe’s docket. It also deals with the ministry of East African Cooperation as well as the Defence and National Security dockets.

But Mr Lowassa told reporters that in the assessment, about 20 members of the committee would focus on the implementation of the economic diplomacy policy, which the embassies are supposed to undertake.
Among the countries whose embassies would be visited by the team are Belgium, Switzerland, US, UK, Japan, China, Germany, Canada, India, Malaysia and Sweden.

Mr Lowassa said his committee has been divided into six sub-committees. He will lead teams which would visit the UK, US and Canada. Other members of the team would include Vita Kawawa (Namtumbo – CCM), Khalifa Suleiman Khalifa (Gando – CUF), Rachel Mashishanga (Special Serats – Chadema) and Beatrice Shelukindo (Kilindi – CCM).

His deputy chairman Mussa Zungu and Brigadier General Hassan Ngwilizi, Betty Machangu as well as Mussa Hassan Mussa will form a team which will visit Japan and China, while Berlin and Stockholm embassies would be visited by Anna Abdallah, John Shibuda and Augustino Massele.

Mr Mohammed Seif Khatib, Hilda Ngoye and Anastazia Wambura will visit Brussels and Geneva whilst Zephania Chiligati, Eugen Mwaiposa and Masoud Abdallah Salim will tour Rome and Paris.

Mr Lowassa defended his committee for leaving Parliament during an important session, arguing that they were pursuing their duties in compliance with Parliament’s Standing Rules and Regulations.

But asked separately about the visit, Mr Membe who is not part of the trip wondered how the committee could leave the Budget sessions in Dodoma for a trip which could have been made at another time.

“I heard that the committee will be visiting our foreign embassies but not those in Africa…you should ask yourself why they always visit embassies in Europe, Asia and America and not in Africa. If the trip is for the said purpose why not visit our African embassies?” Mr Membe asked.

He said such trips were necessary but they should not coincide with the more important Budget session.
Meanwhile, commenting on youth unemployment Mr Lowassa reiterated that it was a time bomb which the government should concentrate on defusing before it was too late.

He warned that a delay in solving the problem could plunge the country into chaos, giving Tunisia, Libya, Egypt and other Arab states as examples where unemployed youth have spearheaded uprisings.


- Are about to get some answers on the Tsh 300Bn in Swiss Bank accounts, on who are the culprits?
 
Back
Top Bottom