Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Habarini wanajamvi

Humu ndani zimetokea mada za kila aina za kumchafua EL, lakini kikubwa ni mara baada ya kuhama CCM ndio zinaibuka mada hizo, eti mara Lowasa mgonjwa, fisadi.Hivi nyie mnaondika hizo mada za kila aina mnazani kumbadilisha mtu mzima Mwenye akili zake timamu anayejua kusain in na out hapa Jamii forum kama mimi mnaweza kumbadisha mawazo?.Hata muongee nini kura yangu ni kwa Lowasa tu.Labda hizo mada zenu mkawadanganye wanakijiji.

kijijini wameamka, ccm imekuwa ukoma kwao.
 
Eti Magufuli anajifariji kuwa atapata kura za sunami. Ataziyoa wapi? Nami nampa Lowasa
 
October 25th, siendi kanisani.
Nitakuwa wa kwanza kituoni.
 
wewe ni sawa na samaki mmoja aliyechina katika konteina la mapanki yaani hata harufu yako hatuisikii bora hata usipoteze muda kwenda piga kura, nunua sembe na mchicha siku hiyo utafune na familia yako huku ukiangalia luningani ukaa inachukua nchi asubuhi na mapema....luku ntakuchangia mkuu


somen nyakat jaman nchi hii si yakuongozwa nakiongoz lelemama kwa binafis siwez kumpa kura yangu lowasa sawa mi mwanachadema lakn lowasa siwez kumpa kura yangu
 
Kwa hali ya jana ile pale kwenye yale maandamano tulivokuwa wengi,,na kila nliekuwa naongea nae anasema ni lazima apige kura,vijana wengi walikuwa wanasema kwamba walivoacha shughuri zao na kwenda kumsindikiza lowasa. na tar 25 October watakavoacha shughuri zao na kwenda kumpigia kura lowasa na madiwani na wabunge,,sasa niambieni atashindwa vipi?? Akishindwa ntajiua kwa kweli
 
Kajiue Mapama wale vijana laki moja wanakutia wazimu
 
R.I.P in advance, Ukawa ilikupenda lakini, umependa zaidi kutangulia,
 
Ni furaha ilioje unaamka tar, 26 habari ya kwanza ni anguko la CCM.
 
Mimi nitajisikia vibaya, ila nitaona vizuri. Kwi, kwi, kwi, kwiiiiiiiiiiiiii.
 
Back
Top Bottom