Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

Lowassa alimaanisha watachukua NCHI YA RULA kupima kura watakazopata karatasi za nusu nchi tu
 
Mwanadamu anaweza kujitahidi kuzuia kila jambo asilolipenda litokee kwake, lakini wakati ukifika
litatokea tu.mwaka huu watu watashangaa sana maana wakati umefika.Rais wa China Mau alipendwa sana na wananchi wake kiasi kwamba hawakutaka afe lakini wakati ulipofika alikufa.Mzee Nelson Mandela madaktari walijitahidi sana kuokoa uhai wake lakini wakati ulipofika alikufa.mwaka huu hata kama zingefanywa mbinu za namna gani it is the time of changes ni wakati wa mabadiliko tu.hakuna atakayeweza kuzuia wakati umefika
siku kampeni zikianza mtashangaa sana jinsi watu watakavyobadilika hamtaamini kabisa

Kila jambo na wakati wake
 
MUSSA ALLAN; Sasa hivi unachezea timu gani mwenzetu? Sikuoni ukiimba wimbo wa kijani!. Umekosea tyuni au una maanisha? Nifungue Mkuu.

Kahamia airtel kimyakimya!ha ha ha ha
 
Hebu wadau mnisaidie mlioko maeneo kama haya: Shinyanga na mikoa ya magharibi,unguja na tabora je wanasemaje huko kuhisu Lowassa na ukawa tusije tukananganyika bila kuwa na utafiti wa.kweli
 
Wewe upo kanda ya ziwa lipi?maana kwa hapa Mwanza ni LOWASA tu.
 
Kwani hujasikia kwamba manispaa ya Tabora wadiwan wamehamia CDM!
 
Unaulizia vumbi store? Lowassa na UKAWA ni kama maji.. usipoyanywa utayaoga!!
 
Lowassa ni Kanda ya Kaskazini 90%,Kanda ya Kati 50 %, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Ziwa, 90 %Magufuli, Nyanda za juu kusini 50 %, Kanda ya Kusini inategemea watapokea Vipi kuondoka kwa Lipumba na ushiriki wa Kampeni wa Benard Membe. Baada ya Kaskazini Kanda hii inafuata kwa kupungua Mapenzi binafsi kwa Mkuu wa Nchi
 
Kila mkoa, wilaya, kata, vijiji, vitongoji na mitaa iliyopo Tanzania vimeshindwa kuhimili mafuriko ya bwana mamvi. Yaani kifupi ni hivi kila pembe ya Tanzania kumetapakaa mafuriko ya Lowasa.
 
Kuhusu Pemba sizungumzii chochot maana Ukombozi wa tanzania ndiko ulikoanzia, CCM imefutika miaka 20 iliyopita, na kwa halia Unguja ya sasa Ukawa haitokosa 50%. Kwa hesabu ya haraka haraka tu Ukawa kwa Zanziba wana 75%.
2010 Lipumba alipata zaidi ya Asilimia 60 Zanzibar
 
Kila mkoa, wilaya, kata, vijiji, vitongoji na mitaa iliyopo Tanzania vimeshindwa kuhimili mafuriko ya bwana mamvi. Yaani kifupi ni hivi kila pembe ya Tanzania kumetapakaa mafuriko ya Lowasa.

October utakuja kulia hapa kura zimeibiwa.

Kura hazipigiwi JF, watu wako field wanapiga kazi.
 
Habarini
Watanzania wezangu niwaombe tuipe ukawa miaka 5 tuone nchi yetu itapiga hatua kwa kiasi gani maana tumevumilia miaka 54 ila bado tuna hali ngumu ya kimaisha kwa sasa hebu tubadilike mwaka huu tuelimishane nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha watu wanapiga kura ili kuondoa ccm miaka mitano hii.
 
Habarini
Watanzania wezangu niwaombe tuipe ukawa miaka 5 tuone nchi yetu itapiga hatua kwa kiasi gani maana tumevumilia miaka 54 ila bado tuna hali ngumu ya kimaisha kwa sasa hebu tubadilike mwaka huu tuelimishane nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha watu wanapiga kura ili kuondoa ccm miaka mitano hii.



Mkuu tafuta watu wakuongeza kura za ushindi wa mafuriko, nchi yetu hii usijali
 
Mungu atuongoze, awape moyo na wale ambao wanavunjwa moyo.Sote tuwe nia ya dhati ya kuifikisha Ikulu-UKAWA.
 
Back
Top Bottom